Zungu: Jamii ijitenge na taarifa zisizo sahihi

Zungu: Jamii ijitenge na taarifa zisizo sahihi

Zungu: Jamii ijitenge na taarifa zisizo sahihi

Dar es Salaam.  Jamii imeaswa kutofungama na makundi ya watu yenye lengo la kubomoa umoja uliojengeka baina yao kwa kusambaza taarifa zisizo sahihi na kuibua chuki na taharuki.

Wito huo umetolewa leo Septemba 28, 2024 jijini Dar es Salaam na Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu katika siku ya pili ya mkutano wa 53 wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania.

Zungu amesema kila mtu katika jamii anapaswa kujiona ana wajibu wa kulinda amani na kuisaidia Serikali katika kuhakikisha wanaofanya vitendo vya uvunjifu wa amani wanachukuliwa hatua za kisheria.

Ametoa wito kwa viongozi wa dini kuiombea nchi na kuendelea kuhubiri masuala ya amani na upendo kwa waumini.

Vilevile ameipongeza jumuiya hiyo kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya athari ya kuchanganya masuala ya dini na siasa.

“Kuchanganywa kwa masuala ya dini na siasa kunaweza kuleta mkanganyiko na kuzalisha mianya ya ama wanasiasa kuitumia dini vibaya au watu wa dini kutumia siasa vibaya kwa ajili ya masilahi yao binafsi,” amesema.

Katika mkutano huo, Zungu pia amezungumzia mmomonyoko wa maadili hasa kwa vijana, akitaja utandawazi na matumizi yasiyo sahihi ya mitandao kama baadhi ya visababishi.

Amesema ili kuondokana na changamoto hiyo ni muhimu wazazi kuhakikisha wanahimiza na kusimamia watoto kupata elimu ya darasani pamoja na ya dini.

Vilevile amewataka viongozi wa dini kuhakikisha jamii inapata mafunzo sahihi ya dini ili kuwajenga kuwa na hofu ya Mungu.

“Elimu sahihi ya kimaadili mnayowapa watoto wenu ndiyo inayojenga jamii imara yenye kujenga waumini wenye maadili. Mtu hawezi kuwa mpenzi wa Mungu kisha akaacha kufanya wema kwa viumbe wengine hasa wanadamu,” amesema.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Elimu Msingi, Abdi Maulid amesema mtoto akipata elimu ya darasani na ya dini itasaidia kuzalisha wanataaluma katika fani mbalimbali wenye maadili.

Amir wa jumuiya hiyo, Khawaja Ahmad amesema madhehebu hayo yamekuwa yakifanya mkutano kila mwaka kwa lengo la kuwakutanisha waumini na kuwakumbusha wajibu wao kama binadamu hapa duniani ikiwemo kumcha Mungu.

Amesema mkutano huu unalenga kuongeza hofu ya Mwenyezi Mungu, kuhimiza kuepukana na maovu, kuchochea moyo wa huruma na upendo na kuwakumbusha waumini kuendeleza tamaduni ya kuisaidia jamii katika nyanja mbalimbali, ikiwemo utoaji wa huduma za afya, elimu na misaada ya kibinadamu kwa wenye uhitaji bila ya kujali itakadi ya imani zao.

“Vilevile  kuwaelimisha na kuwahimiza vijana kuwa na mienendo bora ya kimaisha na kuwa raia wawajibikaji kwa nchi yao, na kuwa viongozi waadilifu katika jamii kwa mustakabali wa jamii na Taifa bora,” amesema.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit

Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus.

The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease.

While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher

Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday).

“The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district.

Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak.

Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths.

The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases.

“We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said.

She said her administration immediately investigated the WHO’s alert.

“The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added.

Cross-border transmission

The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024.

The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations.

Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”

The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts.

The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever.

Transparency urged

Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures.

“This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said.

WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important.

“We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised.

The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced.

This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Top News
Investment News Editor

ZSSF money not for projects, says Ali Karume

Unguja. Veteran politician and diplomat Ali Karume has called on authorities of the Zanzibar Revolutionary Government (SMZ) to refrain from using the Zanzibar Social Security Fund money for establishing commercial projects.Continue Reading