Wenye ulemavu waridhishwa na miundombinu rafiki ya afya

Wenye ulemavu waridhishwa na miundombinu rafiki ya afya

Dar es Salaam. Baadhi ya watu wenye ulemavu kutoka vyama vya siasa, wameeleza kuridhishwa na huduma nzuri na miundombinu rafiki katika huduma za afya.

Watu hao kutoka vyama vya United Democtratic Party (UDP), Democratic Party (DP), Tanzania Labor (TLP) na Union for Multiparty Democracy (UMD, wamesema hayo wakati wakizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wa wanawake wa vyama hivyo leo Jumanne Septemba 17, 2024 jijini Dar es Salaam.

Mwakilishi wa kundi hilo, Amina Mafipa ametaja huduma wanazoridhishwa nazo kuwa ni miundombinu bora ya afya kwa watu wenye ulemavu na wodi za wazazi.

Sambamba na hilo, Amina amelaani na kuwaasa wanawake kujiepusha na vitendo vya viovu vya kikatili yakiwamo mauaji yanayoendelea hapa nchini.

“Tunaalani vikali na Mungu anaona na atalaani vitendo hivi na watu wanaotenda vitendo hivi vya kikatili na kinyama,” amesema Amina.

Akizungumza katika mkutano huo, Katibu Mkuu UDP, Saum Rashid amesema Tanzania imeendelea kuwa kielelezo cha amani na utulivu katika ukanda wa Afrika Mashariki, huku hatua muhimu za kuimarisha maridhiano na mshikamano wa kitaifa zikiendelea.

“Kupitia mazungumzo ya wazi na majadiliano ya kitaifa Rais Samia amehakikisha makundi yote na vyama vya siasa vinashirikishwa kikamilifu, nakuhakikisha uhuru wa kujieleza na haki za raia zinaimarisha mazingira ya demokrasia hapa nchini,” amesema katibu huyo.

Mwenyekiti wa Wanawake TLP, Nuru Kimwaga amekemea mauaji yanayoendelea nchini, akiitaka Serikali kuwabaini wanaohusika na kuwachukulia hatua za kisheria.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading

CCM ready to task state organs on Zanzibar Airport deal
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

CCM ready to task state organs on Zanzibar Airport deal

Ruling party Chama Cha Mapinduzi-Zanzibar has said it is ready to task state organs to investigate some of the claims against its government that have been raised by opposition politicians on the Abeid Amani Karume International Airport (AAKIA).Continue Reading