Wenye fani, sifa hizi ajira nje nje Polisi

Wenye fani, sifa hizi ajira nje nje Polisi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limetangaza nafasi mbalimbali za ajira kwa vijana wenye elimu ya shahada, astashahada, kidato cha sita na nne, huku moja ya sifa kwa muombaji lazima awe raia wa Tanzania wa kuzaliwa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi makao makuu Dodoma Mei 9,2024,  imeeleza miongoni mwa nafasi  hizo kwa upande wa shahada ni 74, diploma 66, na upande wa ngazi ya cheti (astashahada  ni 66).

Fani zinazotakiwa kwa kila ngazi ya elimu ni pamoja na uuguzi, famasia, wahandisi wa vyombo vya majini, kompyuta, muziki, wapima ardhi, usimamizi wa michezo na utawala.

“Waombaji wanatakiwa waandike barua kwa mkono na wasisahau namba za simu na wanapaswa kutumia anuani ya Mkuu wa Jeshi la Polisi S.L.P 961 Dodoma.

“Waombaji wote wafanye maombi kupitia kwenye mfumo wa ajira wa Polisi (Tanzania Police Force -Recruitment Portal) unaopatikana kwenye tovuti ya jeshi hilo ya; www Polisi.go.tz na mwisho wa kupokea maombi hayo ni Juni 16, 2024,” imesema taarifa hiyo

sifa za waombaji

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, sifa nyingine muombaji awe  amehitimu wa kidato cha nne na sita kuanzia mwaka 2018 hadi 2023.

“Kwa waombaji waliohitimu kidato cha nne, sita na wenye stashahada wawe na umri wa kuanzia miaka 18 hadi 25 .Wale wa  kidato cha nne wawe na ufaulu wa daraja la kwanza hadi daraja la nne  wawe na ufaulu wa alama 26 hadi 28,” imesema taarifa hiyo.

Kwa waombaji wa kidato cha sita wawe na ufaulu wa daraja la kwanza hadi daraja la tatu.Wahitimu wa shahada au stashahada wawe na umri kuanzia miaka 18 hadi 30.

Pia waombaji wawe na urefu usiopungua futi tano na nchi nane (5″8″) kwa wanaume na futi tano nchi nne (5″4″) kwa wanawake, waanapaswa kuwa na utambulisho kutoka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA),awe na uwezo wa kuongea kwa ufasaha lugha ya Kiswahili na Kiingereza,” imesema

“Anapaswa kuwa na afya njema kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari wa Serikali na awe hajaoa/kuolewa au kuwa na mtoto.

Wenye tattoo hawahusiki

“Asiwe na alama za kuchorwa mwili (tatoo), asiwe na kumbukumbu ya uhalifu na kwa waombaji wenye elimu ya kiwango cha shahada (NTA levo 8) Shahada (NTA levo 6) na astashahada level (NTA  levo 5 au NVA level 3) wanatakiwa wawe na fani zilizoanishwa kwenye tangazo hilo.,” limesema  tangazo

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Karume faults lease of Zanzibar Islets
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

Karume faults lease of Zanzibar Islets

Diplomat Ali Karume has faulted the decision by the revolutionary government of Zanzibar to lease the islets that surround the islands of Unguja and Pemba to private developers saying it was absolutely not in Zanzibar’s national interests.Continue Reading