Waziri Kombo ajivunia ushirikiano wa China na Tanzania

Waziri Kombo ajivunia ushirikiano wa China na Tanzania

Waziri Kombo ajivunia ushirikiano wa China na Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amesema mataifa ya Afrika yanapaswa kuuangalia ushirikiano wa China na Tanzania kama mfano wa maendeleo, akibainisha kuwa unatoa taswira ya maono ya pamoja kwa ajili ya mabadiliko, ustawi, na kisasa.

Balozi Kombo amesema hayo jana, Januari 26, 2025 wakati wa hafla ya kusherehekea mwaka mpya wa Kichina, akisisitiza nafasi ya ushirikiano huo kama chachu ya maendeleo ya kikanda na ustawi wa pamoja.

Akizungumza katika sherehe hizo, Waziri Kombo ameeleza kuwa mwaka uliopita, 2024, ni wa kukumbukwa kwa kuwa umeacha alama na kumbukumbu nzuri katika historia ya ushirikiano wa kiuchumi na diplomasia ya Tanzania na China.

Amezitaja baadhi ya alama na kumbukumbu hizo kuwa ni pamoja na maadhimisho ya miaka 60 ya ushirikiano wa kidiplomasia na kukua kwa urari wa biashara baina ya Tanzania na China.

Aidha, Waziri Kombo ameelezea dhima ya Serikali ya Tanzania ya kuendelea kudumisha na kukuza zaidi ushirikiano katika maeneo mbalimbali, ikiwemo biashara na uwekezaji, utalii, viwanda, elimu, teknolojia, afya, na kilimo.

 “Utulivu, uaminifu, na mafanikio ni msingi wa ushirikiano kati ya China na Tanzania. Rais Xi na Rais Samia wanashiriki maono yaliyojengwa juu ya maadili haya, yakiongoza mabadiliko, ustawi, na kisasa,” ameongeza.

Kwa upande wake, Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, naye amesisitiza uimara wa urafiki kati ya China, Tanzania, na Afrika, akisema kuwa mwaka huu unaashiria miaka 60 ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya China na Tanzania.

Amebainisha kuwa China inaendelea kuwa mshirika mkubwa wa kibiashara wa Tanzania na chanzo kikuu cha uwekezaji, huku ushirikiano wa mataifa hayo mawili ukizaa matokeo makubwa.

“China inaendelea kushikilia nafasi yake kama mshirika mkubwa wa kibiashara wa Tanzania na chanzo cha uwekezaji, huku Tanzania ikitarajiwa kuwa mgeni wa heshima tena katika Maonyesho ya Kimataifa ya Uagizaji wa Bidhaa China. Ushirikiano wa manufaa kati ya nchi hizi mbili umeleta mafanikio ya kuvutia,” amesema.

Aidha, balozi huyo ameongeza kuwa kampuni zinazofadhiliwa na China nchini Tanzania yamepiga hatua kubwa na kuchangia katika Mpango wa Ukanda na Barabara. Walimu na wanafunzi wanaokuja Tanzania wameimarisha ushirikiano wa kitamaduni kati ya mataifa hayo.

“Katika mwaka mpya, China na Tanzania zitaendelea kushirikiana kwa karibu katika safari yetu kuelekea usasa. Ushirikiano wa kimkakati wa kina kati ya mataifa haya mawili unalenga kuleta manufaa makubwa kwa maendeleo ya nchi zote mbili na kuboresha ustawi wa wananchi, huku pia ukichangia kwa kiwango kikubwa katika ujenzi wa jamii yenye mustakabali wa pamoja kwa ajili ya binadamu wote,” amesema Mingjian.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease

Dodoma — Tanzania today confirmed an outbreak of Marburg virus disease in the northwestern Kagera region after one case tested positive for the virus following investigations and laboratory analysis of suspected cases of the disease.

President of the Republic of Tanzania, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, made the announcement during a press briefing alongside World Health Organization (WHO) Director-General, Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, in the country’s administrative capital Dodoma.

“Laboratory tests conducted in Kabaile Mobile Laboratory in Kagera and later confirmed in Dar es Salaam identified one patient as being infected with the Marburg virus. Fortunately, the remaining suspected patients tested negative,” the president said. “We have demonstrated in the past our ability to contain a similar outbreak and are determined to do the same this time around.”

A total of 25 suspected cases have been reported as of 20 January 2025, all of whom have tested negative and are currently under close follow-up, the president said. The cases have been reported in Biharamulo and Muleba districts in Kagera.

“We have resolved to reassure the general public in Tanzania and the international community as a whole of our collective determination to address the global health challenges, including the Marburg virus disease,” said H.E President Hassan.

WHO is supporting Tanzanian health authorities to enhance key outbreak control measures including disease surveillance, testing, treatment, infection prevention and control, case management, as well as increasing public awareness among communities to prevent further spread of the virus.

“WHO, working with its partners, is committed to supporting the government of Tanzania to bring the outbreak under control as soon as possible, and to build a healthier, safer, fairer future for all the people of Tanzania,” said Dr Tedros. “Now is a time for collaboration, and commitment, to protecting the health of all people in Tanzania, and the region, from the risks posed by this disease.”

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

“The declaration by the president and the measures being taken by the government are crucial in addressing the threat of this disease at the local and national levels as well as preventing potential cross-border spread,” said Dr Matshidiso Moeti, WHO Regional Director for Africa. “Our priority is to support the government to rapidly scale up measures to effectively respond to this outbreak and safeguard the health of the population,”

Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in March 2023 – the country’s first – in Kagera region, in which a total of nine cases (eight confirmed and one probable) and six deaths were reported, with a case fatality ratio of 67%.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Marburg virus is transmitted to people from fruit bats and spreads among humans through direct contact with the bodily fluids of infected people, surfaces and materials. Although several promising candidate medical countermeasures are currently undergoing clinical trials, there is no licensed treatment or vaccine for effective management or prevention of Marburg virus disease. However, early access to treatment and supportive care – rehydration with oral or intravenous fluids – and treatment of specific symptoms, improve survival.

Source: allafrica.com

Continue Reading