Watanzania 56 waliozamia Afrika Kusini, wahukumiwa kulipa faini Sh50,000 kila mmoja

Watanzania 56 waliozamia Afrika Kusini, wahukumiwa kulipa faini Sh50,000 kila mmoja

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu Watanzania 56 kulipa faini ya Sh50,000 kila mmoja au kwenda jela miezi mitatu, baada ya kupatikana na hatia ya kwenda Afrika Kusini bila kufuata taratibu za uhamiaji.

Wamehukumiwa adhabu hiyo katika kesi ya jinai namba 9930/2024. Wote  wamelipa faini.

Hukumu imetolewa jana Jumatano  Aprili 17, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Gwantwa Mwankuga baada ya washtakiwa kukiri kosa na mahakakama kutiwa hatiani kwa kosa hilo.

Hakimu Mwankuga amesema washtakiwa wametiwa hatiani kama walivyoshtakiwa na wamekiri shtaka lao, hivyo anawahukumu kila mshitakiwa kulipa faini Sh50,000 na wakishindwa kulia watatumikia kifungo cha miezi mitatu jela kila mmoja.

Awali, wakili wa Serikali kutoka Idara ya Uhamiaji, Raphael Mpuya akishirikiana na Wakili Ezekiel Kibona, waliwasomea washtakiwa mashtaka.

Wanadaiwa Aprili 11, 2024 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), wilayani Ilala walitenda kosa hilo.

Inaelezwa washtakiwa wakiwa raia wa Tanzania, waliondoka isivyo halali nchini kueleleka Afrika Kusini.

Baada ya kusomewa shtaka walikiri kutenda kosa ndipo upande wa mashtaka ulipowasomewa hoja za awali.

Mpuya alidai kwa nyakati tofauti waliondoka nchini bila kufuata utaratibu, bila kuwa na hati ya kusafiria au nyaraka yoyote na pia walishindwa kupita kwenye mipaka rasmi iliyoainishwa na sheria za uhamiaji ikishirikiana na Serikali ili kujua madhumuni ya safari zao.

Wanadaiwa kuingia Afrika Kusini isivyo halali wakijua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria.

Alidai baada ya kurejeshwa nchini na kuhojiwa na Uhamiaji, washtakiwa walikiri kuondoka nchini wakiwa hawana hati za kusafiria, hivyo walifikishwa mahakamani.

Wakili Mpuya, baada ya kuwasomea maelezo alidai upande wa mashtaka hauna rekodi za makosa ya nyuma dhidi ya washtakiwa. Aliiomba Mahakama itoa adhabu ili iwe fundisho kwa vijana wengine.

“Tunaiomba Mahakama itoe adhabu kwa mujibu wa sheria ili iwe fundisho kwa vijana wengine wenye nia ovu wanaoenda Afrika Kusini bila kufuata utaratibu, jambo ambalo ni kinyume cha sheria,” amesema Mpuya.

Kabla ya hakimu kutoa adhabu, washtakiwa kwa nyakati tofauti waliomba kupunguziwa adhabu kwa wakidai wamekaa mahabusu muda mrefu nchini Afrika Kusini, hivyo wamejifunza na wanajutia kosa walilotenda.

Akitoa hukumu, Hakimu Mwankuga amesema amezingatia maelezo yaliyotolewa na upande wa mashtaka kuwa washtakiwa hawana rekodi za makosa ya jinai na jinsi washtakiwa walivyokiri kwa dhati shtaka.

“Kutokana na mazingira hayo na jinsi washtakiwa walivyojutia kosa lao, Mahakama hii inawahukumu kulipa faini ya Sh50,000 kila mmoja au kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela kila mmoja,” ameamuru Hakimu Mwankuga.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Addis Ababa, January 20, 2025</Strong> — Tanzania has declared a Marburg virus disease (MVD) outbreak after confirming one case and identifying 25 suspected cases in the Kagera Region of Northwestern Tanzania. The Marburg virus, a highly infectious and often fatal disease, is similar to Ebola and is transmitted to humans from fruit bats and monkeys. This outbreak marks the nation’s second encounter with the deadly virus, following the outbreak in Bukoba District of Kagera Region in March 2023, which resulted in nine cases and six deaths.

In response to this urgent threat, the Africa CDC is mobilizing strong support to help Tanzania contain the outbreak. A team of twelve public health experts will be deployed as part of an advance mission in the next 24 hours. The multidisciplinary team includes epidemiologists, risk communication, infection prevention and control (IPC), and laboratory experts to provide on-ground support for surveillance, IPC, diagnostics, and community engagement.

The Director-General of Africa CDC, Dr. Jean Kaseya, has engaged with Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan and the Minister of Health to ensure coordinated efforts and secure political commitment for the response.

“Africa CDC stands firmly with Tanzania in this critical moment. To support the government’s efforts, we are committing US$ 2 million to bolster immediate response measures, including deploying public health experts, strengthening diagnostics, and enhancing case management. Building on Tanzania’s commendable response during the 2023 outbreak, we are confident that swift and decisive action, combined with our support and those of other partners, will bring this outbreak under control,” Dr. Kaseya stated.

Africa CDC has recently supported efforts to enhance the diagnostic and sequencing capacity of public health laboratories in Tanzania. PCR Test kits and genomic sequencing reagents have been dispatched, with additional supplies in the pipeline. To ensure rapid identification and confirmation of cases, the institution will also provide technical assistance to strengthen detection and genome sequencing for better characterization of the pathogen. Additionally, support will be provided to improve case management protocols and enhance the capacity to deliver safe and effective treatment.

Africa CDC is committed to working closely with the Government of Tanzania, regional partners, international organizations, and global stakeholders, including the World Health Organization, to stop the spread of the Marburg virus.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’
Top News
Chief Editor

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Monrovia — The Rwanda Minister of State responsible for Health, Dr. Yvan Butera, cautioned that while the country is beginning to see positive signals in its fight against the Marburg virus, the outbreak is “not yet over”. He, however, expressed hope that  “we are headed in that direction”. The minister said the epidemiology trend, since the disease was first discovered in the country more than a month ago, is moving towards fewer cases.

Dr. Butera, who was giving updates during an online briefing yesterday, said in the past two weeks, only two deaths were recorded while 14 people recovered from the disease. He said Rwanda was expanding its testing capacity with 16,000 people already inoculated against the disease.

The priority right now, Butera said, is “rapid testing and detection”.

Marburg is a highly virulent disease transmitted through human-to-human contact or contact with an infected animal. The fatality rate of cases, which has varied over the period, is more than 50%, according to the World Health Organization.  WHO said the highest number of new confirmed cases in Rwanda were reported in the first two weeks of the outbreak. There’s been a “sharp decline” in the last few weeks, with the country now tackling over 60 cases.

At Thursday’s briefing, a senior official of the Africa Centers for Disease Control, Dr. Ngashi Ngongo, said mpox – the other infectious disease outbreak that countries in the region are fighting – was been reported in 19 countries, with Mauritius being the latest country to confirm a case. He said although no new cases have been recorded in recent weeks in several countries where outbreaks occurred previously –  including Cameroon, South Africa, Guinea, and Gabon – Uganda confirmed its first Mpox death. This, he said, is one of two fatalities reported outside Central Africa.

Dr. Ngashi revealed that there was an increase in cases in Liberia and Uganda. He said mpox cases were still on an upward trend.

“The situation is not yet under control.”

Source: allafrica.com

Continue Reading