Watafiti Russia waleta ujuzi wa misitu nchini

Watafiti Russia waleta ujuzi wa misitu nchini

Watafiti Russia waleta ujuzi wa misitu nchini

Morogoro. Wataalamu wa misitu kutoka Russia wametembelea Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (Tafori), ambapo wamejadiliana mambo mbalimbali ya kuitafiti yatayosaidia kuifanya sekta ya misitu nchini kuwa bora zaidi.

Katika mazungumzo hayo yaliyowahusisha pia maofisa wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), wakiongozwa na kamishna wa uhifadhi, Profesa Dos Santos Silayo, watalaamu hao waliobobea katika masuala ya utafiti wa kisayansi wa misitu walijikita kuimarisha uhusiano wa kisayansi, kielimu na kiteknolojia kati ya Tanzania na Russia kwenye sekta ya misitu na uhifadhi wa mazingira.

Katika ziara ya wataalamu hao walioongozwa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Ufundi wa Misitu cha Jimbo la Saint Petersburg, Chuo Kikuu cha Petrozavodsk na Chuo Kikuu cha Misitu na Teknolojia cha Jimbo la Voronezh walijadili maeneo ya utafiti wa pamoja, ambapo Tafori iliwasilisha tafiti muhimu ikibainisha fursa za kushirikiana katika nyanja za ikolojia, usimamizi wa misitu na teknolojia za uhifadhi wa mazingira.

Akizungumzia ushirikiano huo, Profesa Silayo amesema wanalenga katika kutatua changamoto zinazoikumba sekta ya misitu ikiwamo mabadiliko ya tabianchi, magonjwa ya mimea na matumizi ya teknolojia za kisasa kwa kutumia setilaiti na ndege zisizo na rubani (drones) katika usimamizi wa misitu.

“Ushirikiano huu unaleta pamoja wataalamu wa Tanzania na Russia na tutafaidika kupitia kubadilishana maarifa na uzoefu wa kisayansi,” amesema Profesa Silayo.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Tafori, Dk Revocatus Mushumbusi amesema watashirikiana katika utafiti wa misitu, hasa katika kukabiliana na changamoto za moto wa msitu na kuendeleza mbinu za kisasa za utafiti.

“Ushirikiano huu utatufundisha mbinu mpya na teknolojia zinazotumika Urusi, ambazo zinaweza kusaidia kuboresha uhifadhi wetu wa misitu,” amesema Dk Mushumbusi.

Katika majadiliano hayo, watafiti kutoka Russia walizungumzia mafanikio waliyoyapa kwenye matumizi ya teknolojia za kisasa za utafiti wa misitu kwa kutumia setilaiti na ndege zisizo na rubani kutathmini hali ya misitu kwa ufanisi.

Vilevile waligusia umuhimu wa utafiti wa pamoja katika maeneo ya uzalishaji wa miti bora, entomolojia na usimamizi wa misitu kwa kutumia teknolojia ya akili mnemba (AI).

Mtafiti Mkuu wa Tafori, Dk Chelestino Peter Balama amesema wamefanikiwa katika eneo la uhifadhi wa mazingira na kulinda mimea inayo hatarini kutoweka.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania's opposition party ACT Wazalendo honours veteran politician under new policy
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

Tanzania’s opposition party ACT Wazalendo honours veteran politician under new policy

Unguja. Opposition party ACT Wazalendo today officially bids farewell to its former Chairman, Juma Duni Haji, also known as Babu Duni, as part of a new policy designed to honor retired senior leaders at a ceremony held at Kiembesamaki, Zanzibar.

The initiative highlights the party’s commitment to recognizing and supporting individuals who have served with dedication and integrity.

Babu Duni, who stepped down earlier this year, was succeeded by Othman Masoud, now the First Vice President of Zanzibar.

The policy aims to provide ongoing respect and support to retired leaders, ensuring their continued recognition and contribution to the party’s development.

“Recognizing their significant contributions to the development and prosperity of the party, this policy ensures that retired leaders continue to be acknowledged and respected by both the party and the community,” the policy states.

To benefit from this policy, leaders must not have left or been expelled from the party. They must have served the party with honor and dedication. The national leadership committee will determine whether a leader has fulfilled these criteria.

The policy seeks to honor retired leaders, protect their dignity, acknowledge their contributions, leverage their ideas for the party’s growth, and support them to the best of the party’s ability.

In honoring these leaders, the party will provide a vehicle, the type of which will be determined by the national leadership committee. Additionally, they will receive a monthly allowance, with the amount also set by this committee.

Other benefits include health insurance. If a leader does not own a home, the party will cover their rent at a rate decided by the committee.

The leadership committee may also grant special recognition based on the leader’s contributions. Retired leaders will participate in decision-making meetings according to procedures outlined in the party’s constitution.

Depending on the party’s resources at the time, the policy may also apply to retired deputy chairpersons for both the mainland and Zanzibar, the Secretary-General, Deputy Secretary-General for both mainland and Zanzibar, and the party’s Attorney General.

Additionally, leaders, executives, or members with exceptional contributions to the party’s protection, advocacy, and defense may also benefit, as determined by the leadership committee.

Currently, those who are eligible for benefits under this policy include Juma Duni Haji (retired party Chairman) and Zitto Kabwe (retired party leader).Continue Reading

Britam half-year net profit hits Sh2bn on higher investment income
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Britam half-year net profit hits Sh2bn on higher investment income

Insurer and financial services provider Britam posted a 22.5 percent jump in net earnings for the half-year ended June 2024, to Sh2 billion, buoyed by increased investment income.

The rise in half-year net profit from Sh1.64 billion posted in a similar period last year came on the back of net investment income rising 2.5 times to Sh13.27 billion from Sh5.3 billion.

“We are confident in the growth and performance trend that Britam has achieved, supported by its subsidiaries in Kenya and the region. Our business is expanding its revenue base while effectively managing costs,” Britam Chief Executive Officer Tom Gitogo said.

“Our customer-centric approach is fueling growth in our customer base and product uptake, particularly through micro-insurance, partnerships, and digital channels.”

The investment income growth was fueled by interest and dividend income rising 34 percent to Sh9.1 billion, which the insurer attributed to growth in revenue and the gains from the realignment of the group’s investment portfolio.

Britam also booked a Sh3.79 billion gain on financial assets at a fair value, compared with a Sh1.8 billion loss posted in a similar period last year.

The increased investment income helped offset the 12.7 percent decline in net insurance service result to Sh2.13 billion in the wake of claims paid out rising at a faster pace than that of premiums received.

Britam said insurance revenue, which is money from written premiums, increased to Sh17.8 billion from Sh16.6 billion, primarily driven by growth in the Kenya insurance business and regional general insurance businesses, which contributed 30 percent of the revenue.

The group has a presence in seven countries in Africa namely Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, South Sudan, Mozambique, and Malawi.

Britam’s insurance service expense hit Sh13.6 billion from Sh11.3 billion, while net insurance finance expenses rose 2.6 times to Sh12.3 billion during the same period.

“Net insurance finance expenses increased mainly due to growth in interest cost for the deposit administration business driven by better investment performance. This has also been impacted by a decline in the yield curve, which has led to an increase in the insurance contract liabilities. The increase has been offset by a matching increase in fair value gain on assets,” said Britam.

Britam’s growth in profit is in line with that of other Nairobi Securities Exchange-listed insurers, which have seen a rise in profits.

Jubilee Holdings net profit in the six months increased by 22.7 percent to Sh2.5 billion on increased income from insurance, helping the insurer maintain Sh2 per share interim dividend.

CIC Insurance Group posted a 0.64 percent rise in net profit to Sh709.99 million in the same period as net earnings of Liberty Kenya nearly tripled to Sh632 million from Sh213 million, while Sanlam Kenya emerged from a loss to post a Sh282.2 million net profit.

Continue Reading