Wataalamu wa maabara wapaza sauti Zanzibar

Wataalamu wa maabara wapaza sauti Zanzibar

Unguja. Utaratibu ulioanzishwa na Serikali wa kuendesha huduma za maabara za afya kwa utaratibu wa ubia kupitia kampuni na mashirika binafsi kwenye hospitali, umeendelea kuibua wasiwasi kwa wataalamu na wameshauri uangaliwe upya.

Mfumo huo ulianza kufanya kazi mwaka 2023 ambapo katika baadhi ya hospitali za Serikali huduma za maabara zinaendeshwa na kampuni binafsi, lengo likiwa kuleta ufanisi.

Katika risala ya wataalamu wa maabara iliyosomwa na Ussi Hamza Ussi, katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya maabara leo Aprili 21, 2024, amesema bado uendeshaji wa maabara hizo si rafiki kwa wahudumu ambao tayari wapo kwenye mfumo rasmi wa ajira wa Serikali au wanaotarajia kuingia kwenye mfumo huo.

“Wabia waliomo kwenye uendeshaji wa maabara hizo kwa sasa bado hawajatambua umuhimu wa kutumia wataalamu wa maabara wa ngazi ya kati na ile ya wabobezi.

Ussi, ambaye pia ni mtaalamu wa maabara, amesema masilahi hayatoi fursa kwa wataalamu hao kuondoka serikalini kwenda kufanya kazi kwenye maabara zenye ubia.

Wameshauri Serikali iangalie jambo hilo ili uendeshaji ubadilike na utoe fursa kwa wataalamu wa kuanzia ngazi ya Shahada ya kwanza na wabobezi wajiunge, kwani wana hamu kubwa na wana wajibu wa kuhudumia wananchi.

Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi, katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Afya, Ahmed Mazrui, amesema nia ya Serikali si kuua kada ya maabara bali kuboresha huduma.

“Nia ya Serikali si kuua kada ya maabara kama mnavyodhani bali ni kuboresha huduma kwa wagonjwa. Ninakubali, kweli Serikali haikuandaa mwongozo na utaratibu wa watumishi kwenye taasisi ambazo zinachukua ubia wa maabara zetu,” amesema Dk Mwinyi.

Hata hivyo, amewataka watendaji wa taasisi zinazohusika wakae na wabia wawashauri utaratibu mzuri wa mishahara na posho kwa mujibu wa miongozo ya Serikali, ili watumishi wa ngazi hizo ambao wapo serikalini na wale wanaotegemea kujiunga na ajira ya Serikali waone fursa hiyo na kujiunga.

Pia amezitaka taasisi za maabara kujikita katika utafiti na kuongeza nguvu kwenye taasisi hizo.

Amesema kufanya uchuguzi kwa njia za kiutafiti zitasaidia udhibiti wa maradhi kwa njia za kisayansi.

Amesema Serikali itaendelea kuziboresha maabara hizo ili ziendelee kufanya uchunguzi na utafiti wenye tija katika maradhi, vinasaba, kemikali, vyakula kwa pande zote za binaadamu, mifugo na kilimo.

Amewataka kuongeza bidii kuwatumikia wananchi wote kwa utii na kwa mujibu wa taaluma zao na viapo kwa kutoa majibu sahihi ya uchunguzi na kutunza siri kwa wanayoyagundua.

Dk Mwinyi amesema kada hiyo ina dhima kubwa kwa jamii na Serikali maana wote wanawaamini na kuwategemea.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Muslims in Pemba conduct special prayer against ZAA decision
Popular
Investment News Editor

Muslims in Pemba conduct special prayer against ZAA decision

ZANZIBAR: More than 200 Muslims in Vitongoji Village, South Pemba Region over the weekend conducted a special prayer to condemn the Zanzibar Airports Authority (ZAA) move to appoint DNATA as the sole ground handler in Terminal III of the International Airport of Zanzibar. Abeid Amani Karume.Continue Reading

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading