Wataalamu wa maabara wapaza sauti Zanzibar

Wataalamu wa maabara wapaza sauti Zanzibar

Unguja. Utaratibu ulioanzishwa na Serikali wa kuendesha huduma za maabara za afya kwa utaratibu wa ubia kupitia kampuni na mashirika binafsi kwenye hospitali, umeendelea kuibua wasiwasi kwa wataalamu na wameshauri uangaliwe upya.

Mfumo huo ulianza kufanya kazi mwaka 2023 ambapo katika baadhi ya hospitali za Serikali huduma za maabara zinaendeshwa na kampuni binafsi, lengo likiwa kuleta ufanisi.

Katika risala ya wataalamu wa maabara iliyosomwa na Ussi Hamza Ussi, katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya maabara leo Aprili 21, 2024, amesema bado uendeshaji wa maabara hizo si rafiki kwa wahudumu ambao tayari wapo kwenye mfumo rasmi wa ajira wa Serikali au wanaotarajia kuingia kwenye mfumo huo.

“Wabia waliomo kwenye uendeshaji wa maabara hizo kwa sasa bado hawajatambua umuhimu wa kutumia wataalamu wa maabara wa ngazi ya kati na ile ya wabobezi.

Ussi, ambaye pia ni mtaalamu wa maabara, amesema masilahi hayatoi fursa kwa wataalamu hao kuondoka serikalini kwenda kufanya kazi kwenye maabara zenye ubia.

Wameshauri Serikali iangalie jambo hilo ili uendeshaji ubadilike na utoe fursa kwa wataalamu wa kuanzia ngazi ya Shahada ya kwanza na wabobezi wajiunge, kwani wana hamu kubwa na wana wajibu wa kuhudumia wananchi.

Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi, katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Afya, Ahmed Mazrui, amesema nia ya Serikali si kuua kada ya maabara bali kuboresha huduma.

“Nia ya Serikali si kuua kada ya maabara kama mnavyodhani bali ni kuboresha huduma kwa wagonjwa. Ninakubali, kweli Serikali haikuandaa mwongozo na utaratibu wa watumishi kwenye taasisi ambazo zinachukua ubia wa maabara zetu,” amesema Dk Mwinyi.

Hata hivyo, amewataka watendaji wa taasisi zinazohusika wakae na wabia wawashauri utaratibu mzuri wa mishahara na posho kwa mujibu wa miongozo ya Serikali, ili watumishi wa ngazi hizo ambao wapo serikalini na wale wanaotegemea kujiunga na ajira ya Serikali waone fursa hiyo na kujiunga.

Pia amezitaka taasisi za maabara kujikita katika utafiti na kuongeza nguvu kwenye taasisi hizo.

Amesema kufanya uchuguzi kwa njia za kiutafiti zitasaidia udhibiti wa maradhi kwa njia za kisayansi.

Amesema Serikali itaendelea kuziboresha maabara hizo ili ziendelee kufanya uchunguzi na utafiti wenye tija katika maradhi, vinasaba, kemikali, vyakula kwa pande zote za binaadamu, mifugo na kilimo.

Amewataka kuongeza bidii kuwatumikia wananchi wote kwa utii na kwa mujibu wa taaluma zao na viapo kwa kutoa majibu sahihi ya uchunguzi na kutunza siri kwa wanayoyagundua.

Dk Mwinyi amesema kada hiyo ina dhima kubwa kwa jamii na Serikali maana wote wanawaamini na kuwategemea.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading

ZAA to audit ground handlers
Popular
Investment News Editor

Zanzibar Airport Authority to audit ground handlers

Unguja. The Zanzibar Airports Authority (ZAA) is set to conduct an audit on ground handling companies that currently operate at the Abeid Amani Karume Airport with effect from Monday. The week-long audit is set to include Transworld, ZAT and the newcomer Dnata Zanzibar who were licensed in June plus exclusive rights to manage Terminal 3 building by ZAA.Continue Reading