Wakulima wa parachichi wafunguliwa soko China

Wakulima wa parachichi wafunguliwa soko China

Dar es Salaam. Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (Fao), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), limesaidia kampuni tatu za Tanzania kupata soko la parachichi nchini China.

Mafanikio hayo yanatokana na ushirikiano kati ya Serikali na wadau katika sekta ya kilimo na biashara.

Soko hilo limepatikana baada ya TPHPA kuwezeshwa kufuata utaratibu unaohitajiwa na Mamlaka Kuu ya Forodha wa China (GACC).

Msaada huo ulitolewa kuypitia mradi wa Kuimarisha Afya ya Mimea Tanzania kwa Usalama wa Chakula Ulioboreshwa, (STREPHIT), unaolenga kuboresha upatikanaji wa mazao ya kilimo salama na ya ubora wa juu kwa masoko ya kitaifa na kimataifa.

Akizungumzia soko hilo kupitia taarifa iliyotolewa na Fao leo Jumatano Septemba 4, 2024, Meneja wa Ufuatiliaji wa Afya ya Mimea na Uwezeshaji wa Biashara wa TPHPA, Mdili Katemani amesema,”kwa msaada kutoka kwa mshirika wetu Fao, tumekamilisha kwa mafanikio taratibu zinazohitajika na soko la China na kuruhusu wakulima na wazalishaji kuuza aina tatu za parachichi mbichi ambazo ni Hass, Fuerte na Pinkertons.”

Katemani ambaye pia ni Mratibu wa Kitaifa wa Mradi wa STREPHIT amesisitiza kuwa,  mafanikio haya ni matokeo ya juhudi za pamoja za Serikali ya Tanzania, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan  na msaada wa kiufundi kutoka kwa Fao.

Ili wazalishaji wa ndani waweze kuuza parachichi China, wanapaswa kusajiliwa na GACC kupitia TPHPA.

Aidha, mashamba ya uzalishaji, vituo vya upakiaji na kampuni za kuondoa vijidudu lazima zisajiliwe na TPHPA ili kupata nambari za ufuatiliaji zinazohitajika kwa utambulisho wa wauzaji.

Zaidi ya hayo, mashamba haya yanapaswa kuzingatia mbinu bora za kilimo na usimamizi wa wadudu ili kudhibiti wadudu wa karantini kama vile nzi wa matunda, viwavi jeshi na vidukari.

Ufungaji, uhifadhi na usafirishaji wa parachichi lazima pia ufuate itifaki zote zilizokubaliwa kati ya Tanzania na China.

Mbali na parachichi, China imekuwa ikipokea mazao ya kilimo kutoka Tanzania, ikiwamo kahawa, soya, ufuta, korosho na mazao ya baharini.

Wakati wa ziara yake ya kidiplomasia nchini China mwaka 2023, Rais Samia alitia saini Itifaki ya Mahitaji ya Usafi wa Mimea kwa Mauzo ya Parachichi Mbichi kutoka Tanzania kwenda China, hatua iliyofungua njia kwa upatikanaji huu wa soko kihistoria.

Chini ya mradi wa STREPHIT, unaotekelezwa na Fao kupitia Umoja wa Ulaya (EU) na Serikali ya Tanzania, juhudi zinaendelea kuhakikisha mahitaji yote muhimu yanatimizwa ili kuweka mazao ya kilimo ya Tanzania katika soko la kimataifa.

Tanzania tayari inauza parachichi kwa nchi mbalimbali, zikiwamo India, Uholanzi, Kenya, Uingereza, Umoja wa Falme za Kiarabu, Afrika Kusini na Ufaransa.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit

Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus.

The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease.

While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher

Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday).

“The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district.

Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak.

Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths.

The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases.

“We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said.

She said her administration immediately investigated the WHO’s alert.

“The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added.

Cross-border transmission

The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024.

The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations.

Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”

The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts.

The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever.

Transparency urged

Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures.

“This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said.

WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important.

“We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised.

The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced.

This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk.

Source: allafrica.com

Continue Reading