Wajiolojia wataka bodi ya usajili

Wajiolojia wataka bodi ya usajili

Wajiolojia wataka bodi ya usajili

Tanga. Chama cha Jiolojia Tanzania (TGS) kimeitaka Serikali kuharakisha uanzishwaji wa bodi ya usajili wa wataalamu wa jiolojia wa Tanzania, kikisisitiza umuhimu wake katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu ya sekta ya madini yaliyoainishwa kwenye Dira ya Maendeleo ya 2030 ya Tanzania.

Wito huu umetolewa na Rais wa TGS, Dk Elisante Mshiu, kwenye mkutano wao wa mwaka unaofanyika jijini Tanga kwa siku tatu ambapo amesema  kutokuwepo kwa bodi hiyo kunadhoofisha uwezo wa Tanzania kufaidika kikamilifu na utaalamu wa jiolojia uliopo nchini.

“Uanzishwaji wa bodi hii utakuwa hatua kubwa, ikitoa fursa ya kuwasajili wataalamu wa jiolojia wa Tanzania kwenye ngazi ya kimataifa,” amesema Dk Mshiu wakati wa ufunguzi wa mkutano huo.

Dk Mshiu amebainisha kuwa licha ya Tanzania kuwa na takribani wataalamu wa jiolojia 4,000, ni wanne tu wanaotambuliwa kimataifa.

Pengo hili kubwa linasababisha nchi kutegemea kwa kiasi kikubwa utaalamu wa kigeni unaogharimu fedha nyingi.

Amesema kuwa nchi zote zinazofanya vizuri katika sekta ya madini zina bodi za usajili za wataalamu wa jiolojia zinazofanya kazi ipasavyo ili kudhibiti na kukuza sekta hiyo.

 Waziri wa Madini, Antony Mavunde, aliyewakilishwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Msafiri Mdibo, aliwahakikishia washiriki wa mkutano kuwa serikali imejipanga kuharakisha uanzishwaji wa bodi hiyo.

 “Serikali inatambua nafasi muhimu ya bodi hii katika kusimamia na kutekeleza miongozo ya kimaadili ili kudumisha kasi ya maendeleo ya sekta ya madini kwa mujibu wa Dira ya Maendeleo ya 2030,” amesema Mdibo kwa niaba ya Mavunde.

Kupitia mkutano huo amewahakikishia wanachama wa TGS kuwa mchakato huo uko katika hatua za mwisho.

Mdibo amesema  ukuaji mkubwa wa sekta ya madini, ambapo mapato ya taifa yameongezeka kwa asilimia 360 kutoka Sh161 bilioni mwaka 2015/16 hadi Sh 753 bilioni mwaka 2023/24.

Aidha, ajira za moja kwa moja kwenye sekta hiyo zimefikia 16,000, huku Watanzania wakichukua nafasi nyingi za juu zilizokuwa zikishikiliwa na wataalamu wa kigeni.

“Mkazo katika usimamizi wa kimaadili ni muhimu ili kuhakikisha madini yanachangia maendeleo endelevu ya kiuchumi,” ameongeza Mavunde, akiwakumbusha washiriki kuwa madini ni rasilimali isiyoweza kujirudia na lazima yachimbwe kwa uwajibikaji ili

Amesisitiza pia umuhimu wa kuoanisha uchimbaji wa madini na suluhisho la nishati safi, jambo ambalo ni kipaumbele kwa wizara wakati mahitaji ya kimataifa ya mabadiliko ya nishati yanapozidi kuongezeka.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Muslims in Pemba conduct special prayer against ZAA decision
Popular
Investment News Editor

Muslims in Pemba conduct special prayer against ZAA decision

ZANZIBAR: More than 200 Muslims in Vitongoji Village, South Pemba Region over the weekend conducted a special prayer to condemn the Zanzibar Airports Authority (ZAA) move to appoint DNATA as the sole ground handler in Terminal III of the International Airport of Zanzibar. Abeid Amani Karume.Continue Reading