Wafanyabiashara Shaoyang kushirikiana na wenzao Tanzania kibiashara

Wafanyabiashara Shaoyang kushirikiana na wenzao Tanzania kibiashara

Dar es Salaam. Jumuiya ya wafanyabiashara katika Manispaa ya Shaoyang nchini China, imesema inalenga kushirikiana na wenzao wa Tanzania ili kukuza uhusiano uliopo kibiashara baina ya nchi hizo.

Kadhalika, imedokeza mpango wa kuanzisha ghala la bidhaa zake nchini, litakalotumika kupokea bidhaa za mitambo na umeme kutoka China.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi, Mei 23, 2024 na Naibu Meya ya jiji hilo, He Yuan katika kikao chake na jumuiya za wafanyabiashara waliopo nchini Tanzania.

Amesema pamoja na mambo mengine mkutano huo pia, umelenga kubadilishana mawazo ya biashara na kutambua fursa zilizopo katika masoko ya kimataifa.

Kwa mujibu wa naibu meya huyo, jiji hilo lipo katika mpango wa kuanzisha ghala nje ya nchi ili kusaidia usafirishaji wa bidhaa za mitambo na umeme na kujumuisha bidhaa nyepesi za viwandani.

“Pamoja na mazao ya kilimo ya Tanzania kama vile asali na chai, bidhaa za walaji kama vile vito na viungo, zote ni sehemu kuu za muunganiko na fursa muhimu za ushirikiano kati ya pande mbili,” amesema.

Katika hotuba yake hiyo, amesema kiwango cha biashara kimekuwa kati ya nchi hizo, kutoka Yuan 103,000 (sawa na Sh36 milioni) hadi Yuan milioni 140 (sawa na Sh50 bilioni) ya sasa.

“Idadi kutoka kwa utendaji halisi iliongezeka kutoka 1 hadi 39, bidhaa tatu za juu za kuagiza na kuuza nje zilikuwa za mitambo na umeme, mifuko na masanduku na njiti,” amesema.

Kwa upande mwingine, Mkurugenzi Zeing Jianping wa Ofisi ya Biashara ya Manispaa ya Shaoyang ameeleza mipango ya kupanua ghala lao la mtandao nchini.

Amesema mpango huo, unalenga kuleta bidhaa nyingi za Shaoyang katika soko la Tanzania na hivyo kuimarisha mtandao wa biashara ya mtandaoni.

“Tanzania hapa tuna mjumbe, anafanya kazi ya kuwa na ghala Dar es Salaam, hapo baadaye ghala hili kupitia mjumbe wetu litaleta bidhaa nyingi za Shaoyang Tanzania, hivyo mtandao wa biashara mtandao  na ghala umekuwa ukipanuka,” alieleza.

Akiozungumza katika mkutano huo, Mkuu wa Chemba ya Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Wilaya ya Kinondoni, Anthony Mbunda amesisitiza umuhimu wa jukwaa hilo katika kuwezesha ushirikiano kati ya wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi.

“Wafanyabiashara wa China wanapokuja hapa, wanakuja kama wawekezaji. Kama wawekezaji, wanatupa fursa. Sasa tuna faida ya kujifunza kutoka kwao. Wakija wanaleta teknolojia zao, na watu wetu watapata nafasi ya kufundishwa teknolojia hizi,” ameeleza.

Mjasiriamali aliyebobea katika vipodozi vya asili kutoka Ilala, Zaynab Issa amesema kuna faida za kiuchumi za kusafirisha bidhaa za ndani kwenye masoko ya kimataifa.

“Fikiria kama leo, mimi kama mfanyabiashara ningeweza kuuza nje bidhaa zangu za ndani kwenye masoko ya kimataifa. Hii ina maana tunakuza uchumi wa nchi. Hata hivyo, pia ni kipengele muhimu kitakachorahisisha ufikiaji wa nyenzo ambazo ni adimu kwetu, na wakati mwingine nyenzo zingine hazipatikani kwao. Hapo ndipo umuhimu wa ushirikiano unapokuja,” anafafanua.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease

Dodoma — Tanzania today confirmed an outbreak of Marburg virus disease in the northwestern Kagera region after one case tested positive for the virus following investigations and laboratory analysis of suspected cases of the disease.

President of the Republic of Tanzania, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, made the announcement during a press briefing alongside World Health Organization (WHO) Director-General, Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, in the country’s administrative capital Dodoma.

“Laboratory tests conducted in Kabaile Mobile Laboratory in Kagera and later confirmed in Dar es Salaam identified one patient as being infected with the Marburg virus. Fortunately, the remaining suspected patients tested negative,” the president said. “We have demonstrated in the past our ability to contain a similar outbreak and are determined to do the same this time around.”

A total of 25 suspected cases have been reported as of 20 January 2025, all of whom have tested negative and are currently under close follow-up, the president said. The cases have been reported in Biharamulo and Muleba districts in Kagera.

“We have resolved to reassure the general public in Tanzania and the international community as a whole of our collective determination to address the global health challenges, including the Marburg virus disease,” said H.E President Hassan.

WHO is supporting Tanzanian health authorities to enhance key outbreak control measures including disease surveillance, testing, treatment, infection prevention and control, case management, as well as increasing public awareness among communities to prevent further spread of the virus.

“WHO, working with its partners, is committed to supporting the government of Tanzania to bring the outbreak under control as soon as possible, and to build a healthier, safer, fairer future for all the people of Tanzania,” said Dr Tedros. “Now is a time for collaboration, and commitment, to protecting the health of all people in Tanzania, and the region, from the risks posed by this disease.”

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

“The declaration by the president and the measures being taken by the government are crucial in addressing the threat of this disease at the local and national levels as well as preventing potential cross-border spread,” said Dr Matshidiso Moeti, WHO Regional Director for Africa. “Our priority is to support the government to rapidly scale up measures to effectively respond to this outbreak and safeguard the health of the population,”

Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in March 2023 – the country’s first – in Kagera region, in which a total of nine cases (eight confirmed and one probable) and six deaths were reported, with a case fatality ratio of 67%.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Marburg virus is transmitted to people from fruit bats and spreads among humans through direct contact with the bodily fluids of infected people, surfaces and materials. Although several promising candidate medical countermeasures are currently undergoing clinical trials, there is no licensed treatment or vaccine for effective management or prevention of Marburg virus disease. However, early access to treatment and supportive care – rehydration with oral or intravenous fluids – and treatment of specific symptoms, improve survival.

Source: allafrica.com

Continue Reading

CCM ready to task state organs on Zanzibar Airport deal
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

CCM ready to task state organs on Zanzibar Airport deal

Ruling party Chama Cha Mapinduzi-Zanzibar has said it is ready to task state organs to investigate some of the claims against its government that have been raised by opposition politicians on the Abeid Amani Karume International Airport (AAKIA).Continue Reading