Wafanyabiashara Shaoyang kushirikiana na wenzao Tanzania kibiashara

Wafanyabiashara Shaoyang kushirikiana na wenzao Tanzania kibiashara

Dar es Salaam. Jumuiya ya wafanyabiashara katika Manispaa ya Shaoyang nchini China, imesema inalenga kushirikiana na wenzao wa Tanzania ili kukuza uhusiano uliopo kibiashara baina ya nchi hizo.

Kadhalika, imedokeza mpango wa kuanzisha ghala la bidhaa zake nchini, litakalotumika kupokea bidhaa za mitambo na umeme kutoka China.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi, Mei 23, 2024 na Naibu Meya ya jiji hilo, He Yuan katika kikao chake na jumuiya za wafanyabiashara waliopo nchini Tanzania.

Amesema pamoja na mambo mengine mkutano huo pia, umelenga kubadilishana mawazo ya biashara na kutambua fursa zilizopo katika masoko ya kimataifa.

Kwa mujibu wa naibu meya huyo, jiji hilo lipo katika mpango wa kuanzisha ghala nje ya nchi ili kusaidia usafirishaji wa bidhaa za mitambo na umeme na kujumuisha bidhaa nyepesi za viwandani.

“Pamoja na mazao ya kilimo ya Tanzania kama vile asali na chai, bidhaa za walaji kama vile vito na viungo, zote ni sehemu kuu za muunganiko na fursa muhimu za ushirikiano kati ya pande mbili,” amesema.

Katika hotuba yake hiyo, amesema kiwango cha biashara kimekuwa kati ya nchi hizo, kutoka Yuan 103,000 (sawa na Sh36 milioni) hadi Yuan milioni 140 (sawa na Sh50 bilioni) ya sasa.

“Idadi kutoka kwa utendaji halisi iliongezeka kutoka 1 hadi 39, bidhaa tatu za juu za kuagiza na kuuza nje zilikuwa za mitambo na umeme, mifuko na masanduku na njiti,” amesema.

Kwa upande mwingine, Mkurugenzi Zeing Jianping wa Ofisi ya Biashara ya Manispaa ya Shaoyang ameeleza mipango ya kupanua ghala lao la mtandao nchini.

Amesema mpango huo, unalenga kuleta bidhaa nyingi za Shaoyang katika soko la Tanzania na hivyo kuimarisha mtandao wa biashara ya mtandaoni.

“Tanzania hapa tuna mjumbe, anafanya kazi ya kuwa na ghala Dar es Salaam, hapo baadaye ghala hili kupitia mjumbe wetu litaleta bidhaa nyingi za Shaoyang Tanzania, hivyo mtandao wa biashara mtandao  na ghala umekuwa ukipanuka,” alieleza.

Akiozungumza katika mkutano huo, Mkuu wa Chemba ya Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Wilaya ya Kinondoni, Anthony Mbunda amesisitiza umuhimu wa jukwaa hilo katika kuwezesha ushirikiano kati ya wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi.

“Wafanyabiashara wa China wanapokuja hapa, wanakuja kama wawekezaji. Kama wawekezaji, wanatupa fursa. Sasa tuna faida ya kujifunza kutoka kwao. Wakija wanaleta teknolojia zao, na watu wetu watapata nafasi ya kufundishwa teknolojia hizi,” ameeleza.

Mjasiriamali aliyebobea katika vipodozi vya asili kutoka Ilala, Zaynab Issa amesema kuna faida za kiuchumi za kusafirisha bidhaa za ndani kwenye masoko ya kimataifa.

“Fikiria kama leo, mimi kama mfanyabiashara ningeweza kuuza nje bidhaa zangu za ndani kwenye masoko ya kimataifa. Hii ina maana tunakuza uchumi wa nchi. Hata hivyo, pia ni kipengele muhimu kitakachorahisisha ufikiaji wa nyenzo ambazo ni adimu kwetu, na wakati mwingine nyenzo zingine hazipatikani kwao. Hapo ndipo umuhimu wa ushirikiano unapokuja,” anafafanua.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading