Waendeshaji wa Shirika la Ndege la Tanzania wamekasirika wakati Zanzibar ikitoa vituo vya ndege kwenda Dubai

Waendeshaji wa Shirika la Ndege la Tanzania wamekasirika wakati Zanzibar ikitoa vituo vya ndege kwenda Dubai

BBC News: Waendeshaji wa Shirika la Ndege la Tanzania wamekasirika wakati Zanzibar ikitoa vituo vya ndege kwenda Dubai

• Mchakato wa kutoa zabuni kwa DNATA haukuwa “wazi, na utaratibu unaostahili haukufuatwa na ulifanyika kinyume na sheria”, ilisema taarifa hiyo.

• Opereta mpya inaanza kazi rasmi katika kituo hicho kuanzia tarehe 1 Desemba, ambacho kilijengwa kwa gharama ya $120m (£101m).

  • Pambano hili linatarajiwa kutawala siasa visiwani Zanzibar.

Waendeshaji wa Shirika la Ndege la Tanzania wamekasirika wakati Zanzibar ikitoa vituo vya ndege kwenda Dubai

Chama cha Watoa huduma za Anga Tanzania kimesema kwamba zaidi ya wafanyakazi 600 watapoteza kazi baada ya serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuipa ukiritiba kampuni moja ya Dubai shughuli za kuhudumia mizigo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.


Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Chama hicho kimsema mkataba wa DNATA unakiuka sheria inayozuia kampuni moja kupewa haki za kipekee bila ushindani katika kitoa huduma kwenye viwanja vikubwa vya ndege.


Kampuni hiyo ya DNATA iliyosajiliwa katika Soko la Hisa la London, imepewa mkataba na Serikali mkataba ambao ni ukiukaji wa sheria ya kupiga marufuku kampuni yoyote kuwa na haki ya kipekee ya kutoa huduma katika Viwanja vikubwa vya ndege hapa nchini huku wakiyaacha Makampuni ya Kizalendo yaliyoajiri watu wengi bila kazi.

 

Mchakato wa kutoa zabuni kwa Dnata haukuwa “wazi, na utaratibu unaofaa haukufuatwa na ulifanyika kinyume na sheria”, ilisema taarifa hiyo.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi alitetea uamuzi wa serikali, akisema lengo ni “kutoa viwango vya hadhi ya kimataifa” katika jengo jipya la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.

Kampuni ya Dnata imetakiwa kuanza kazi rasmi Desemba Mosi ambapo gharama za ujenzi wa jengo jipya la abiria umegharibu kiasi cha Dola 120. (£101m).

Jengo hilo jipya linatarajia kuongeza idadi ya abiria wanaotumia uwanja huo kutoka idadi ya chini ya milioni moja kwa mwaka hadi milioni 1.5, kulingana na ripoti za awali za serikali.

Utalii ndio chanzo kikuu cha mapato kwa Zanzibar na sekta ya ndege ni mdau mkubwa.


Ukiukwaji wa sheria uliofanywa kwa makusudi umesababisha mvutano baina ya makampuni ya Kizalendo huku mijadala katika siasa ikitawala ajenda ya vijana wa Kizanzibari kupoteza ajira zao kwa sababu ya manufaa ya kampuni moja ya Dubai.

Angalia pia: 

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year’s Most Read News Stories