Vijiji vinane Kisiwani Pemba vimekosa huduma ya maji

Vijiji vinane Kisiwani Pemba vimekosa huduma ya maji

VIJIJI 8 PEMBA WALIA NA ZAWA

Na Mwandishi Wetu, Pemba

Vijiji vinane Kisiwani Pemba vimekosa huduma ya maji safi na salama huku wakiilalamilia Mamlaka ya Maji Zanzibar kushindwa kutatua tatizo la maji katika Vijiji vyao.

Vijiji vikivyokosa maji ni katika Wilaya ya Micheweni Mkoa Kaskazini Pemba.

Wakizungumza kwa nyakato tofauti, wananchi wamesema huduma ya maji si ya uhakika, ni ya kubahatisha hali inayowafanya kupata usumbufu.

Zaidi ya wakaazi 6,000 katika Vijiji vya Kichekwani, Nduaga, Tundumwe, Mkunguni, Msasani na Momogu hawana maji safi na salama.

Magonjwa yatokanayo na maji yameondolewa kama tatizo la afya ya jamii katika maeneo mengi ya visiwa vya Pemba na Unguja, lakini maambukizi yanabaki kuwa suala ambalo maji safi hayapatikani

Wakaazi hao wamesema wanalazimika kununua maji ambayo wanayatumia kwa ajili ya kupikia na kunywa.

Wakaazi hao wanatumia maji ya bahari kwa ajili ya kukoshea vyombo na shughuli nyengine.

Kurata Bakar Said amesema huduma ya maji ya ZAWA imekuwa adimu na hawajui lini wataondokana na dhiki ya maji.

Fatma Mohamed Awadhi amesema kuwa maji ya ZAWA yamekuwa tunu kwao huku mifereji yao imebakia kuwa pambo ndani ya nyumba zao.

Sheha wa Shehia ya Shumba Mjini, Rahila Ramadhan Juma amesema amesema malalamiko ya wananchi ni mengi kuhusu ukosefu wa huduma ya maji.

” Kwa hakika, huduma ya maji ya ZAWA katika Shehia yangu ni tatizo sugu, wapo wananchi wananunua maji, wasiokuwa na uwezo wanatumia maji ya bahari” Alisema Sheha Rahila.

Tanzania, Zanzibar, Tatizo la Maji Kisiwani Pemba

Leaders in Tanzania linked to destruction of the environment

The Tanzanian government has said that there are some leaders in the country for their personal interests who are contributing to the destruction of the environment including water sources and causing rivers to dry up. 12 families of leaders including ministers, politicians and judges are accused of being involved in the destruction of the water sources of the Ruaha Mkumu River.Continue Reading

Climate change: Empty water taps for weeks, a wake-up call

Tanzania: Empty water taps for weeks wake-up call

Tanzania: Empty water taps for weeks wake-up call. At least for regulated bottled water businesses, we are assured of safety. But for the water from dubious sources, including those close to sewers, there may be a spike of diseases like cholera, and diarrhea, among others.Continue Reading

Protecting Water Sources – Tanzania State Directives

Tanzania Water Crisis: VICE-PRESIDENT Dr Philip Mpango has directed Regional Commissioners to supervise the countrywide campaign of planting water friendly trees along water sources, while ordering people who have built houses on mountainous sources of water to immediately vacate in order to protect the areas.Continue Reading

MGAO WA MAJI WAWATESA WAZANZIBARI

Wananchi wengi hasa katika maeneo ya Mjini Unguja, wanalalamikia ukosefu wa maji safi na salama huku Mamlaka ya Maji Zanzibar ikikabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ujuzi na wataalam katika masuala ya uandisi wa Maji na fani nyengine.Continue Reading

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year’s Most Read News Stories

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania today declared the end of Marburg virus disease outbreak after recording no new cases over 42 days since the death of the last confirmed case on 28 January 2025.

The outbreak, in which two confirmed and eight probable cases were recorded (all deceased), was the second the country has experienced. Both this outbreak, which was declared on 20 January 2025, and the one in 2023 occurred in the north-eastern Kagera region.

In response to the latest outbreak, Tanzania’s health authorities set up coordination and response systems, with support from World Health Organization (WHO) and partners, at the national and regional levels and reinforced control measures to swiftly detect cases, enhance clinical care, infection prevention as well as strengthen collaboration with communities to raise awareness and help curb further spread of the virus.

Growing expertise in public health emergency response in the African region has been crucial in mounting effective outbreak control measures. Drawing on experience from the response to the 2023 Marburg virus disease outbreak, WHO worked closely with Tanzanian health authorities to rapidly scale up key measures such as disease surveillance and trained more than 1000 frontline health workers in contact tracing, clinical care and public health risk communication. The Organization also delivered over five tonnes of essential medical supplies and equipment.

“The dedication of frontline health workers and the efforts of the national authorities and our partners have paid off,” said Dr Charles Sagoe-Moses, WHO Representative in Tanzania. “While the outbreak has been declared over, we remain vigilant to respond swiftly if any cases are detected and are supporting ongoing efforts to provide psychosocial care to families affected by the outbreak.”

Building on the momentum during the acute phase of the outbreak response, measures have been put in place to reinforce the capacity of local health facilities to respond to potential future outbreaks. WHO and partners are procuring additional laboratory supplies and other equipment for disease detection and surveillance and other critical services.

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Source: allafrica.com

Continue Reading