VIJIJI 8 PEMBA WALIA NA ZAWA
Na Mwandishi Wetu, Pemba
Vijiji vinane Kisiwani Pemba vimekosa huduma ya maji safi na salama huku wakiilalamilia Mamlaka ya Maji Zanzibar kushindwa kutatua tatizo la maji katika Vijiji vyao.
Vijiji vikivyokosa maji ni katika Wilaya ya Micheweni Mkoa Kaskazini Pemba.
Wakizungumza kwa nyakato tofauti, wananchi wamesema huduma ya maji si ya uhakika, ni ya kubahatisha hali inayowafanya kupata usumbufu.
Zaidi ya wakaazi 6,000 katika Vijiji vya Kichekwani, Nduaga, Tundumwe, Mkunguni, Msasani na Momogu hawana maji safi na salama.
Wakaazi hao wamesema wanalazimika kununua maji ambayo wanayatumia kwa ajili ya kupikia na kunywa.
Wakaazi hao wanatumia maji ya bahari kwa ajili ya kukoshea vyombo na shughuli nyengine.
Kurata Bakar Said amesema huduma ya maji ya ZAWA imekuwa adimu na hawajui lini wataondokana na dhiki ya maji.
Fatma Mohamed Awadhi amesema kuwa maji ya ZAWA yamekuwa tunu kwao huku mifereji yao imebakia kuwa pambo ndani ya nyumba zao.
Sheha wa Shehia ya Shumba Mjini, Rahila Ramadhan Juma amesema amesema malalamiko ya wananchi ni mengi kuhusu ukosefu wa huduma ya maji.
” Kwa hakika, huduma ya maji ya ZAWA katika Shehia yangu ni tatizo sugu, wapo wananchi wananunua maji, wasiokuwa na uwezo wanatumia maji ya bahari” Alisema Sheha Rahila.
Tanzania, Zanzibar, Tatizo la Maji Kisiwani Pemba
Leaders in Tanzania linked to destruction of the environment
The Tanzanian government has said that there are some leaders in the country for their personal interests who are contributing to the destruction of the environment including water sources and causing rivers to dry up. 12 families of leaders including ministers, politicians and judges are accused of being involved in the destruction of the water sources of the Ruaha Mkumu River.Continue Reading
VP told of 12 powerful families destroying Tanzania water ecosystem
Twelve “powerful’ families have been put in the spotlight to Tanzania Vice President, Dr Philip Mpango for allegedly owning a ranch in Usangu that is blocking the Ihefu Valley, consequently limiting water supply to the Great Ruaha RiverContinue Reading
Villagers on Pemba Island lack clean sanitized water
Eight villages on Pemba Island have lacked clean and safe water service while complaining to the Zanzibar Water Authority for failing to solve the water problem in their villages.Continue Reading
Vijiji vinane Kisiwani Pemba vimekosa huduma ya maji
Vijiji vinane Kisiwani Pemba vimekosa huduma ya maji safi na salama huku wakiilalamilia Mamlaka ya Maji Zanzibar kushindwa kutatua tatizo la maji katika Vijiji vyao.Continue Reading
Water Crisis in Tanzania – Time for Technology and Innovation Solutions
During the COP27 summit in Egypt, the city of Dar es Salaam and other parts of Tanzania face severe water shortages that were brought on by drought.Continue Reading
Tanzania: Empty water taps for weeks wake-up call
Tanzania: Empty water taps for weeks wake-up call. At least for regulated bottled water businesses, we are assured of safety. But for the water from dubious sources, including those close to sewers, there may be a spike of diseases like cholera, and diarrhea, among others.Continue Reading
Protecting Water Sources – Tanzania State Directives
Tanzania Water Crisis: VICE-PRESIDENT Dr Philip Mpango has directed Regional Commissioners to supervise the countrywide campaign of planting water friendly trees along water sources, while ordering people who have built houses on mountainous sources of water to immediately vacate in order to protect the areas.Continue Reading
Dereliction of duty and endless water crises in Dar es Salaam Tanzania
Once Dar es Salaam residents in Tanzania enjoyed reliable water supply by the authorities, but those days are long gone. Why?Continue Reading
MGAO WA MAJI WAWATESA WAZANZIBARI
Wananchi wengi hasa katika maeneo ya Mjini Unguja, wanalalamikia ukosefu wa maji safi na salama huku Mamlaka ya Maji Zanzibar ikikabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ujuzi na wataalam katika masuala ya uandisi wa Maji na fani nyengine.Continue Reading
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
Mbeto on Mwinyi: He created today’s affluent people
The CCM Secretary of Ideology and Publicity (Zanzibar), Mr Khamis Mbeto Khamis, said the late President Ali Hassan Mwinyi was the architect of the current class of affluent people.Continue Reading
Fast Satellite Internet in Kenya by June
Elon Musk’s satellite Internet firm Starlink announced it will launch in Kenya in the second quarter of this year.Continue Reading
Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak
Tanzania today declared the end of Marburg virus disease outbreak after recording no new cases over 42 days since the death of the last confirmed case on 28 January 2025.
The outbreak, in which two confirmed and eight probable cases were recorded (all deceased), was the second the country has experienced. Both this outbreak, which was declared on 20 January 2025, and the one in 2023 occurred in the north-eastern Kagera region.
In response to the latest outbreak, Tanzania’s health authorities set up coordination and response systems, with support from World Health Organization (WHO) and partners, at the national and regional levels and reinforced control measures to swiftly detect cases, enhance clinical care, infection prevention as well as strengthen collaboration with communities to raise awareness and help curb further spread of the virus.
Growing expertise in public health emergency response in the African region has been crucial in mounting effective outbreak control measures. Drawing on experience from the response to the 2023 Marburg virus disease outbreak, WHO worked closely with Tanzanian health authorities to rapidly scale up key measures such as disease surveillance and trained more than 1000 frontline health workers in contact tracing, clinical care and public health risk communication. The Organization also delivered over five tonnes of essential medical supplies and equipment.
“The dedication of frontline health workers and the efforts of the national authorities and our partners have paid off,” said Dr Charles Sagoe-Moses, WHO Representative in Tanzania. “While the outbreak has been declared over, we remain vigilant to respond swiftly if any cases are detected and are supporting ongoing efforts to provide psychosocial care to families affected by the outbreak.”
Building on the momentum during the acute phase of the outbreak response, measures have been put in place to reinforce the capacity of local health facilities to respond to potential future outbreaks. WHO and partners are procuring additional laboratory supplies and other equipment for disease detection and surveillance and other critical services.
Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.
In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.
Source: allafrica.com