Vigogo wa dawa za kulevya kubanwa kila kona

Vigogo wa dawa za kulevya kubanwa kila kona

Vigogo wa dawa za kulevya kubanwa kila kona

Dar es Salaam. Ni kibano kila mahali. Ndiyo inaweza kuwa tafsiri ya kilichofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) baada ya kuingia makubaliano na Shirika la Posta Tanzania (TPC) kudhibiti usafirishaji wa dawa hizo kupitia vifurushi.

Hatua hiyo imefikiwa kufuatia kuwepo kwa wimbi la watu wanaosafirisha dawa za kulevya kupitia vifurushi na mizigo kupitia posta.

Kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi za DCEA imebainika kuwa wahalifu wamekuwa wakitumia mbinu za kusafirisha dawa za kulevya kupitia vifurushi na mizigo.

Katika kipindi cha mwaka mmoja 2024 dawa zilizokamatwa ni mirungi (kilo 39,928.99), heroini (gramu 1,304.17), kokaine (gramu 673.55) na dawa tiba zenye asili ya kulevya kama morphine na codeine.

Kufuatia hilo, leo Desemba 20, DCEA imesaini hati ya makubaliano na TPC ikilenga kuimarisha udhibiti wa usafirishaji wa dawa za kulevya, kemikali bashirifu, na dawa tiba zenye asili ya kulevya kupitia mtandao wa posta.

Postamasta Mkuu, Macrice Mbodo amesema Shirika la Posta limejipanga kuhakikisha usalama wa usafirishaji wa bidhaa kupitia mtandao wake.

Akirejea sheria na miongozo ya kitaifa na kimataifa, amesema mtandao wa Posta hautaruhusu bidhaa haramu kama dawa za kulevya, silaha na nyara za Serikali kupita bila kugundulika.

“Teknolojia ya kisasa imerahisisha usafirishaji wa dawa mpya za kulevya kupitia mifumo ya kifedha ya kidijitali na majukwaa ya siri,” amesema Mbondo.

Hata hivyo, Mbondo amesema mtambo wa kisasa uliotolewa na DCEA umeimarisha uwezo wa TPC kubaini dawa hizo bila kufungua vifurushi, hatua ambayo ambayo ameitaja kama nyenzo muhimu ya kukabiliana na changamoto hiyo.

Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo amesema ushirikiano huo utahusisha mafunzo ya watumishi, kuboresha vifaa vya utambuzi, na kubadilishana taarifa kwa wakati ili kuimarisha ufanisi wa ukaguzi.

Amesema ushirikiano huo ni kengele ya tahadhari kwa wahalifu na unatoa ujumbe kwa waliokuwa wakitumia mbinu hiyo kusafirisha dawa za kulevya.

“Niendelee kutoa shukrani kwa wadau wote wanaoshiriki katika vita dhidi ya dawa za kulevya, akiwataka Watanzania kutoa taarifa za wahalifu na kushirikiana na Serikali kuhakikisha mtandao wa posta unabaki salama,” amesema Kamishna Jenerali Lyimo.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading