TMA yatoa angalizo uwepo wa mvua kubwa

TMA yatoa angalizo uwepo wa mvua kubwa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza uwepo wa mvua kubwa kwa siku tano mfululizo katika mikoa kadhaa kuanzia leo Aprili 13, 2024.

Kwa mujibu wa taarifa ya TMA, mvua zitanyesha kuanzia leo hadi Aprili 17, 2024.

Kwa siku ya leo tahadhari ya uwepo wa mvua kubwa imetolewa kwenye maeneo machache ya mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

“Tahadhari ya upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayozidi mita mbili, imetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi (mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba,” imeandikwa kwenye taarifa hiyo.

TMA imetoa pia angalizo la uwepo wa athari kubwa, ikitabiriwa kuwapo mafuriko kwa baadhi ya maeneo na kuathiriwa baadhi ya shughuli za kiuchumi, uvuvi na usafirishaji baharini.

Aprili 14, 2024

TMA imetoa tahadhari ya uwepo wa mvua kubwa Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

“Tahadhari ya upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayozidi mita mbili, imetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi (mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba),” imeeleza TMA.

Aprili 15, 2024

Mvua kubwa inatarajiwa kunyesha katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Aprili 16, 2024

Angalizo la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Taarifa imeeleza pia uwepo wa upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita mbili kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara (pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).

Aprili 17, 2024

Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara (pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba) inatarajiwa kuwa na mvua kubwa.

TMA pia imetoa angalizo la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita mbili, kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara (pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’
Top News
Chief Editor

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Monrovia — The Rwanda Minister of State responsible for Health, Dr. Yvan Butera, cautioned that while the country is beginning to see positive signals in its fight against the Marburg virus, the outbreak is “not yet over”. He, however, expressed hope that  “we are headed in that direction”. The minister said the epidemiology trend, since the disease was first discovered in the country more than a month ago, is moving towards fewer cases.

Dr. Butera, who was giving updates during an online briefing yesterday, said in the past two weeks, only two deaths were recorded while 14 people recovered from the disease. He said Rwanda was expanding its testing capacity with 16,000 people already inoculated against the disease.

The priority right now, Butera said, is “rapid testing and detection”.

Marburg is a highly virulent disease transmitted through human-to-human contact or contact with an infected animal. The fatality rate of cases, which has varied over the period, is more than 50%, according to the World Health Organization.  WHO said the highest number of new confirmed cases in Rwanda were reported in the first two weeks of the outbreak. There’s been a “sharp decline” in the last few weeks, with the country now tackling over 60 cases.

At Thursday’s briefing, a senior official of the Africa Centers for Disease Control, Dr. Ngashi Ngongo, said mpox – the other infectious disease outbreak that countries in the region are fighting – was been reported in 19 countries, with Mauritius being the latest country to confirm a case. He said although no new cases have been recorded in recent weeks in several countries where outbreaks occurred previously –  including Cameroon, South Africa, Guinea, and Gabon – Uganda confirmed its first Mpox death. This, he said, is one of two fatalities reported outside Central Africa.

Dr. Ngashi revealed that there was an increase in cases in Liberia and Uganda. He said mpox cases were still on an upward trend.

“The situation is not yet under control.”

Source: allafrica.com

Continue Reading