TFC yaomba kurejeshwa wizara ya ushirika, uwakilishi bungeni

TFC yaomba kurejeshwa wizara ya ushirika, uwakilishi bungeni

TFC yaomba kurejeshwa wizara ya ushirika, uwakilishi bungeni

Dodoma. Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania Bara (TFC) limezungumzia changamoto kubwa wanazokutana nazo kutokana na kukosa uwakilishi bungeni na Wizara ya Ushirika na kuomba kurejeshwa kwa wadhifa huo kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa 29 wa TFC, Mwenyekiti wa Shirikisho, Charles Jishuli, alisema kuwa, licha ya umuhimu wa ushirika katika maendeleo ya uchumi wa taifa, hakuna uwakilishi wa moja kwa moja wa sekta hii bungeni wala kuwa na Wizara ya Ushirika.

Jishuli alikumbusha historia ya ushirika kama sehemu muhimu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kabla ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, ambapo ushirika ulikuwa ni mojawapo ya jumuiya za CCM, pamoja na jumuiya za Vijana, Wazazi, na Wanawake.

Hata hivyo, alisema kuwa baada ya mfumo wa vyama vingi kuingia, jumuiya za wafanyakazi na ushirika zilitengwa kutoka CCM, na wafanyakazi sasa wana uwakilishi bungeni, jambo ambalo halipo kwa ushirika.

“Katika hali hii, tumeona kuwa tunahitaji kurejeshwa kwa Wizara ya Ushirika, kama ilivyokuwa awali. Hii itasaidia kuleta mpango maalumu wa bajeti kwa ajili ya vyama vya ushirika na kuhakikisha tunapata msaada wa kisera utakaosaidia kutatua changamoto zinazotukabili,” alisema Jishuli.

Jishuli aliomba kupitia Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe, ambaye alikuwapo kama mgeni rasmi kwenye mkutano huo, ombi hili lifikishwe kwa Rais Samia Suluhu Hassan, ili kutoa msukumo wa kurejeshwa kwa Wizara ya Ushirika na kupewa uwakilishi wa vyama vya ushirika ndani ya Bunge.

Hata hivyo, Kigahe ambaye alimuwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Selemani Jafo aliyekuwa mgeni rasmi, alisema ombi hilo wamelipokea kama Serikali.

Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Dk Benson Niege, amebainisha kuwa wameanzisha mfumo mpya wa kuviweka vyama vya ushirika katika madaraja kulingana na utendaji wao.

Dk Niege alisema kuwa madaraja haya yatapimwa kwa kuzingatia vigezo vya utendaji wa menejimenti, usimamizi wa wanachama na ufanisi wa usimamizi wa hesabu za vyama kupitia vitabu rasmi.

“Kwa mfano, kuna vyama vikubwa vinavyokuwa na mtaji mkubwa, lakini vikiwa na hati chafu za kifedha. Hivyo, kila chama kitawekwa katika daraja kulingana na utendaji wake. Chama kitakachokuwa kwenye daraja la kwanza kitakuwa na utendaji bora na usimamizi mzuri,” alisema Dk Niege.

Aidha, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe, aliwataka viongozi wa vyama vya ushirika kujenga utamaduni wa uadilifu na kuondokana na vitendo vya dhuluma kwa wakulima, hususan katika masuala ya vipimo wakati wa msimu wa ununuzi wa mazao.

“Tusimamie kwa uangalifu vipimo wakati wa ununuzi wa mazao kutoka kwa wakulima. Vitendo vya udanganyifu kama vile lumbesa, kangomba, na future, ambavyo vinahusisha kupima kwa kufungasha, ni ukosefu wa maadili na ni kuwadhulumu wakulima,” alisisitiza Naibu Waziri Kigahe.

Pia, waliwataka kufanya ushirika ni biashara kama walivyoamua wenyewe na kwamba Serikali itawaunga mkono shabaha yao ya kuanzisha benki ya Ushirika.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit

Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus.

The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease.

While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher

Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday).

“The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district.

Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak.

Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths.

The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases.

“We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said.

She said her administration immediately investigated the WHO’s alert.

“The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added.

Cross-border transmission

The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024.

The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations.

Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”

The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts.

The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever.

Transparency urged

Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures.

“This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said.

WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important.

“We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised.

The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced.

This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk.

Source: allafrica.com

Continue Reading