‘Tanzania yakua kwa kasi kibiashara Afrika’

‘Tanzania yakua kwa kasi kibiashara Afrika’

Dar es Salaam. Wakati ikielezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazokua kwa kasi Afrika na ya kimkakati wa kibiashara, Kampuni ya DHL Express imejitolea kuja na ajenda ya kulinda mazingira.

Mkurugenzi wa Kanda wa Nchi za Kusini na Afrika Mashariki wa Kampuni ya DHL Express, Fatima Sullivan amesema hayo jana Jumatano Agosti 12 jijini Dar es Salaam, kwenye meza ya mazungumzo ya maofisa watendaji wakuu wa sekta mbalimbali wa ndani na nje ya nchi yaliyoandaliwa na kampuni hiyo.

Amesema wataendelea kuziendeleza biashara ndogo na za kati kwa kuzijengea uwezo zaidi na kuhakikisha zinarasimishwa na kufanywa kwa urahisi ndani na nje Tanzania.

“Tuna bidhaa inayojulikana kama SME 360, ambayo tutahakikisha biashara ndogo na za kati na ambazo miongoni mwake kuna za kifedha na taasisi za biashara zinaendeshwa vizuri,” amesema Sullivan.

Hata hivyo, amesema DHL Express, ambayo ndiyo kampuni kubwa zaidi ya usafirishaji duniani, imejitolea kuhakikisha inafanya kazi katika mazingira safi zaidi.

“Ndege zetu zinafanya kazi duniani kote kusafirisha mizigo na hutoa kaboni nyingi. Tunafanya kazi ili kuhakikisha kuwa utoaji wa kaboni unafikia mwisho (sifuri) ifikapo mwaka 2050, “amewaambia maofisa watendaji wakuu kutoka sekta mbalimbali.

Pia, amesema kuna utafiti na majaribio ya aina mbalimbali juu ya ndege za umeme ambazo hazitoi kaboni.

“Ni utafiti wa kina ambao utachukua muda kwa sababu sisi sote tunajua sekta ya usafiri wa anga ni  nyeti,”amesema.

Sullivan pia amesisitiza kujitolea kwa DHL kwa ajenda ya kijani ambayo kupitia kwao kampuni itawashirikisha wenyeji kuhakikisha mazingira yanahifadhiwa.

“Tunapanga kutekeleza miradi mbalimbali ya uhifadhi wa mazingira ambayo itatusaidia kutoa huduma bora zaidi,” amesema Sullivan.

Kuhusu mazingira ya biashara nchini Tanzania, Sullivan amewaambia maofisa watendaji wakuu kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi tano zinazokua kwa kasi kubwa Afrika na mdau muhimu katika kanda, hivyo ni nchi ya kimkakati wa kibiashara.

Ameonyesha umuhimu wa biashara ndogo na za kati na nafasi yake katika biashara ya DHL.

Meneja wa DHL nchini Tanzania, Humphrey Pule amesema walifurahi sana kuwa mwenyeji wa meza ya mazungumzo ya wakati wa kifungua kinywa.

Amesema kampuni hiyo imewapa wadau maarifa mengi kuhusu mazingira ya biashara na jinsi gani kwa pamoja wanaweza kutatua baadhi ya changamoto zinazoathiri biashara nchini Tanzania, ikiwa ni pamoja na miundombinu na taratibu za udhibiti.

“Tunatazamia kuwa mwenyeji wa mikutano mingi zaidi kwa siku zijazo kwani ni muhimu kwa biashara,” amesema Pule.

Tukio hilo liliwaleta pamoja maofisa watendaji wakuu na baadhi ya wabia wa DHL ambao wanafanya kazi ndani na nje ya Tanzania.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading

ZAA to audit ground handlers
Popular
Investment News Editor

Zanzibar Airport Authority to audit ground handlers

Unguja. The Zanzibar Airports Authority (ZAA) is set to conduct an audit on ground handling companies that currently operate at the Abeid Amani Karume Airport with effect from Monday. The week-long audit is set to include Transworld, ZAT and the newcomer Dnata Zanzibar who were licensed in June plus exclusive rights to manage Terminal 3 building by ZAA.Continue Reading