Tanzania yaendeleza mikakati kufikia usawa wa kijinsia

Tanzania yaendeleza mikakati kufikia usawa wa kijinsia

Dar es Salaam. Ili kufikia usawa wa kijinsia nchini kupitia Programu ya Jukwaa la Kizazi chenye Usawa (GEF), Tanzania imejizatiti kutekeleza uwiano sawa kati ya wanaume na wanawake.

Kamati ya Kitaifa ya Ushauri (GEF) ilianzishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Desemba 2021 kwa ajili kufuatilia na kushauri kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa jukwaa hilo.

Akizungumza leo Jumatano Septemba 18, 2024 jijini Dar es Salaam kwenye mkutano wa ulioandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la uwezeshaji wanawake (UN Women), mshauri wa Rais na Mwenyekiti wa GEF, Angellah Kairuki amesema Tanzania inatekeleza mpango wa malezi na makuzi kwa kuhakikisha baba na mama wanafanya biashara ili kutokwamishwa suala la malezi.

“Ili kuhakikisha hayo yanatekeleza ndio maana tunahusisha sekta binafsi na asasi nyingine za kiraia. Tunataka tuone katika ngazi za uongozi kuwe na wanawake na wanaume akitolea mfano bodi za wakurugenzi,” amesema Kairuki.

Amesema waliandaa mpango kazi huo wa miaka sita na Serikali itahakikisha kila hatua inashirikisha sekta binafsi.

“Wanavyotoa fursa za ajira kwa wanawake, uongozi, umiliki wa wanawake kwenye hisa na tunaamini tutaendelea kupiga hatua zaidi kimataifa huku ikiwa ni faida kwa uchumi wa nchi,” amesema Kairuki.

“Tanzania imeahidi kuinua programu za kitaifa katika sekta mbalimbali za malezi ya watoto na kuanzisha vituo vya kulelea watoto katika ngazi ya kijiji, sehemu za kazi na sokoni,” amesema.

Katika programu hiyo, Tanzania imetekeleza ahadi nne kwa kuteua vituo vya GEF katika mikoa yote 26 ya Tanzania bara, mikoa mitano ya Zanzibar na ndani ya mamlaka za Serikali za mitaa nchi nzima.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa UN Women, Dk Mitra Sadananda amesema ahadi ya Tanzania ya kuendeleza usawa wa kijinsia imewezesha wanawake kiuchumi.

“Lengo letu ni kukuza sekta ya binafsi inayowajibika kwa kuhakikisha upatikanaji sawa wa wanawake, ushiriki, sauti, wakala na usalama katika sera na desturi zote mahali pa kazi, sokoni na jamii,”amesema  Dk Sadananda.

Aidha, Mtendaji Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) Suzanne Ndomba-Doran, amesema wanataka kutengeneza usawa wa kijinsia katika maeneo ya kazi.

“Chama chetu kina programu maalumu inayotoa mafunzo kwa wanawake waliopo sekta binafsi na hadi sasa wamehudhuria takribani 497.

“Tunafundisha uongozi, mawasiliano, kuingia katika vikao vya bodi lengo ili wapate nafasi mbalimbali za uongozi katika sehemu zao za kazi,” amesema Ndomba-Doran.

Mkurugenzi Mkuu Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Raphael Maganga amesema wanahakikisha usawa wa kijinsia ni suala linalopewa kipaumbele katika taasisi za sekta binafsi.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania today declared the end of Marburg virus disease outbreak after recording no new cases over 42 days since the death of the last confirmed case on 28 January 2025.

The outbreak, in which two confirmed and eight probable cases were recorded (all deceased), was the second the country has experienced. Both this outbreak, which was declared on 20 January 2025, and the one in 2023 occurred in the north-eastern Kagera region.

In response to the latest outbreak, Tanzania’s health authorities set up coordination and response systems, with support from World Health Organization (WHO) and partners, at the national and regional levels and reinforced control measures to swiftly detect cases, enhance clinical care, infection prevention as well as strengthen collaboration with communities to raise awareness and help curb further spread of the virus.

Growing expertise in public health emergency response in the African region has been crucial in mounting effective outbreak control measures. Drawing on experience from the response to the 2023 Marburg virus disease outbreak, WHO worked closely with Tanzanian health authorities to rapidly scale up key measures such as disease surveillance and trained more than 1000 frontline health workers in contact tracing, clinical care and public health risk communication. The Organization also delivered over five tonnes of essential medical supplies and equipment.

“The dedication of frontline health workers and the efforts of the national authorities and our partners have paid off,” said Dr Charles Sagoe-Moses, WHO Representative in Tanzania. “While the outbreak has been declared over, we remain vigilant to respond swiftly if any cases are detected and are supporting ongoing efforts to provide psychosocial care to families affected by the outbreak.”

Building on the momentum during the acute phase of the outbreak response, measures have been put in place to reinforce the capacity of local health facilities to respond to potential future outbreaks. WHO and partners are procuring additional laboratory supplies and other equipment for disease detection and surveillance and other critical services.

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Source: allafrica.com

Continue Reading