Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na China

Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na China

Dar es Salaam. Tanzania imeahidi kuendeleza ushirikiano zaidi na nchi ya China ikiwa ni kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia ambao umedumu kwa zaidi ya nusu karne.

Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Aprili 15, 2024 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya uhusiano kati ya China na Tanzania zilizofanyika jijini Dar es Salaam ambapo zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa nchi hizo mbili.

Waziri Makamba amesema waasisi wa mataifa hayo mawili, Mwalimu Julius Nyerere, Sheikh Abeid Karume, Mao Zedong, Premier Zhou Enlai na wengine walianzisha na kujenga mshikamano ambao hauna budi kuuendeleza kwa nguvu zote.

“Hayati Mwalimu Nyerere alifungua njia alipotembelea Beijing Februari 1965, Waziri Mkuu wa China Zhou Enlai naye alikuja Juni mwaka huohuo.”

“Hata viongozi wa sasa, Rais Xi Jinping alitembelea Tanzania Machi 2013 wakati Rais Samia Suluhu Hassan alitembelea Beijing Novemba 2022 tangu wakati huo ustawi katika nyanja za maisha umekua ikiwa ni pamoja na elimu ya juu utalii na utamaduni,” amesema Makamba.

Amesema China ina historia kubwa hapa nchini akitolea mfano ujenzi wa reli ya Tanzania Zambia (Tazara) yenye urefu wa kilomita 1,868.

Hata sasa kampuni na wawekezaji wa Kichina wameendelea kuwekeza nchini katika ujenzi wa miundombinu kama barabara, kongani ya viwanda na hata Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano na maeneo mengine ya kimkakati. 

Amesema Rais Samia na Xi Jinping waliunganisha uhusiano kwa mikakati ya kina ya ubia wa ushirikiano, “kimsingi nchi hizi zimeunda ushirikiano wa kimkakati katika ngazi za kisiasa, kiuchumi na kijamii. 

Akizungumza kwenye hafla hiyo,  Balozi wa China nchini, Chen Mingjian amesema katika kuhakikisha maendeleo ya Tanzania yanazidi kushika kasi nchi ya China imejizatiti kuwekeza zaidi kwenye uchumi wa buluu, kidijitali na viwanda.

Mingjian amesema China wanafurahia uhusiano na Tanzania kama ulivyoasisiwa na viongozi waliopita ndiyo maana  watu wa Jamhuri ya China wanaongoza kwa uwekezaji hapa nchini.

“China inabakia kuwa mshirika mkubwa zaidi wa biashara wa Tanzania kwa miaka minane mfululizo, mwaka 2023 kiasi cha biashara baina ya nchi hizi  mbili kilifikia Dola za Marekani bilioni 8.78 ambayo ni zaidi ya Sh22.6 trilioni,” amebainisha Mingjian.

Akieleza matumaini yake katika miaka 60 ijayo ya ushirikiano wa nchi hizo mbili, Rais na Mtendaji Mkuu Kituo cha Sera za Kimataifa Afrika, Balozi Omary Mjenga amesema diplomasia itaongezeka zaidi na anauona uhusiano utakuwa zaidi ya hapa.

“Vyuo vya Kichina vinafundisha Kiswahili na hapa vinafundisha Kichina, hivyo itafikia pahala tunasikilizana vizuri matokeo yake uhusiano wa kitamaduni, uchumi utazidi kukua zaidi ya hapa,” amesema Balozi Mjenga.

Naye, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema maana ya diplomasia ni kuishi kwa kuelewana, na nchi hizi zimeelewana kwa muda mrefu katika Nyanja mbalimbali.

Ameshauri kwamba kinachotakiwa kufanywa hivi sasa ni kuongeza suala kama la uzalishaji wa mazao ambayo yanahitajika kwa kiasi kikubwa nchini China, jambo ambalo ni faida kwa uchumi wa nchi.

“Watu hawa wanataka vitu vingi vya uchumi na imefikia wakati wanawafundisha watu wetu kulima kilimo cha kisasa cha maparachichi ambayo yanahitajika huko kwao, kwa hiyo unaona ni jinsi gani kuna umuhimu na ushirikiano huu wenye tija,” amesema Butiku.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model

Tanzania is winning the battle against maternal and newborn deaths, as the latest numbers reveal a significant decline.

“Tanzania is committed to reducing maternal and newborn mortality and ensuring safe deliveries as part of the national development plan. The Safer Births Bundle of Care is one of the key strategies supporting this effort,” said Dr. Benjamin Kamala, the Senior Research Scientist at Haydom Lutheran Hospital and Principal Investigator for the program, leading its implementation across five regions in Tanzania.

A groundbreaking study published in the New England Journal of Medicine shows that the innovative health program in Tanzania – centered on regular, on-the-job training for healthcare workers – reduced maternal deaths by 75% and early newborn deaths by 40%. The three-year study, conducted across 30 high-burden healthcare facilities in Tanzania, tracked approximately 300,000 mother-baby pairs under the Safer Births Bundle of Care (SBBC) programme. The programme focuses on improving care for mothers and babies during the day of birth, the critical time when a woman goes into labor and delivers her baby.

Maternal health is a key focus of the United Nations Sustainable Development Goals (SDGs), specifically Target 3.1, which aims to reduce the global maternal mortality ratio to fewer than 70 deaths per 100,000 live births by 2030.

Tanzania’s program combines continuous, simulation-based training for frontline healthcare workers alongside innovative clinical tools to improve labour monitoring (fetal heart rate monitoring) and newborn resuscitation.It also uses data to drive ongoing improvements, ensuring that healthcare workers have the skills, confidence, and competence to manage birth-related complications for both mothers and newborns.

“We work closely with healthcare workers, equipping them with the necessary tools to improve the quality of care, ensuring they can effectively manage both mothers and babies during and after childbirth,” Dr. Kamala said, which helps them build on over a decade of innovative research and collaboration to improve care during childbirth.

“To give you a sense of the scale of the burden of maternal and newborn mortality in Tanzania when the Safer Births Bundles of Care program was in early development in 2015/16, there were around 556 maternal deaths per 100,000 live births and 25 neonatal deaths per 1,000 live births,” he said.

The published study demonstrates the “transformative impact” of the Safer Births Bundle of Care program conducted across 30 hospitals in five high-burden regions of Tanzania, where there were about 300,000 mother-baby pairs.

Maternal deaths at the start of the program were recorded at 240 per 100,000 live births, with postpartum hemorrhage and hypertensive disorders being the leading causes of death, he said. Over the 24-month study period, this number dropped to approximately 60 per 100,000 live births, representing a 75% reduction. The number of newborn deaths – which are primarily due to breathing difficulties and complications related to prematurity – declined by 40% – from 7 deaths per 1,000 live births to 4 deaths per 1,000 live births.

“These results are remarkable,” Dr. Kamala said.

According to Dr. Kamala, the 75% reduction in maternal deaths was not expected, and a key lesson was the important role of the in-situ team simulations – including for postpartum bleeding – with reflective debriefings that trained facilitators led.

“This seems to be a major part of the success of the program,” he said. “We are delighted by these results and hope that other countries adopt and scale the Safer Births Bundle of Care program… Beyond the numbers, the Safer Births Bundle of Care program has fostered a dramatic culture shift in our healthcare system,” he said. “Healthcare workers are now more confident and better equipped to handle birth-related complications for both mothers and babies.”

Maternal death drop

Dr. Kamala attributed the 60-70% reduction in newborn deaths in Geita and Manyara to several factors.

“Firstly, Manyara was the first site for implementation, giving the region more time to adapt and experience the impact of the program. Most importantly, both regions had a high burden of stillbirths and neonatal deaths, making them ideal targets for focused intervention. As a result, newborn deaths decreased by 60-70%, showcasing a clear positive impact on newborn survival,” he said.

Dr. Kamala said another possible explanation is the differences in the culture of practices, where some health facilities reported inaccurate data due to the fear of blame and shame. However, with the project’s implementation, reporting became more accurate after mplementation. Some regions, such as Tabora, reported an increase in the number of referrals to the study hospitals from other care centers after the program was implemented. These were more likely to be late admissions, which increase the likelihood of poor health outcomes, he said.

After the implementation of the program, there was a 40% decrease in newborn deaths within the first 24 hours after birth, according to the study.

Dr. Kamala said Tanzania’s remarkable progress in reducing maternal mortality by 80% is driven by strategic investments and innovative programs focused on improving maternal and child survival rates.

“Over 2,000 new healthcare facilities have been developed, free health services are being provided to expectant mothers and children under the age of five, and emergency obstetric care – including better transport to hospitals in rural areas are helping to ensure timely, life-saving interventions.

“Most importantly, the Ministry of Health works in collaboration with healthcare workers, hospitals, and development partners to strengthen the skills of frontline healthcare workers, which has been a key factor in driving this progress.

“Political leadership, alongside strategic partnerships and financing, has been crucial in driving progress in maternal and newborn health,” he said.

The program was made possible by the support of the Global Financing Facility for Women, Children, and Adolescents, Norad, UNICEF, and Laerdal Global Health, as well as the Ministry of Health and Haydom Lutheran Hospital. Their partnership and investment enabled the scaling of the Safer Births Bundle of Care to 30 hospitals and supported the research. “The government has now scaled the program to over 150 sites, and there are plans for further expansion to three regions this year and then nationally,” he said.

Dr. Kamala outlined key policy recommendations for other governments can adopt to prioritize maternal health.

“Firstly, it focuses on cost-effective and relatively simple interventions that are essential to preventing maternal and newborn deaths. For example, stronger primary healthcare that is delivered in the community and a well-trained healthcare workforce are also critical. Additionally, working in close collaboration with national, regional, and local health authorities is key.”

He said Tanzania’s approach, where the Safer Births Bundle of Care program was successfully scaled and sustained by aligning the initiative with national guidelines for obstetrical and newborn care. In addition, the creation of mentorship programs and regular supervision has helped to sustain the results.

Looking ahead

Tanzania now plans to expand to three new regions in 2025, followed by a nationwide rollout.

The success of the program has attracted interest from other countries, with Botswana, Ethiopia, Lesotho, and Namibia expressing interest in adapting the program to their healthcare system. In Nigeria, the program has already been launched in two states, Gombe and Borno, marking a significant step in its scaling.

Source: allafrica.com

Continue Reading