Tanzania inauza asilimia tano tu ya asali yake nje ya nchi

Tanzania inauza asilimia tano tu ya asali yake nje ya nchi

Tabora. Tani 31,611 za asali kati ya 33,276 inayozalishwa nchini kila mwaka sawa na asilimia 95 huuzwa katika masoko ya ndani huku tani 1,663 sawa na asilimia tano pekee ndiyo inauzwa katika soko la kimataifa.

Taarifa hiyo imetolewa jana Ijumaa Agosti 16, 2024, na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Dunstan Kitandula wakati wa hafla ya utiaji saini wa makubaliano (MoU) ya uuzwaji wa asali ya Tanzania katika soko la Jamhuri ya Watu wa China.

Kitandula ametaja baadhi ya sababu zinazokwamisha asali na mazao yake yanayozalishwa nchini kutouzwa nje,  kuwa ni pamoja na kutokidhi viwango vinavyoweza kuifanya ikidhi kuuzwa katika soko la kimataifa.

“Wafanyabiashara watatakiwa  kukidhi vigezo vya kimataifa vya usalama wa chakula  na afya ikiwa ni pamoja na kusajili kampuni zao kwenye mifumo  ya kimataifa ya udhibiti wa afya na usalama wa vyakula, afya na mimea na ulinzi wa mazingira,”ameeleza.

Kutokana na changamoto hizo, Kitandula amesema Serikali imeanza utekelezaji wa mpango wa udhibiti wa mabaki ya kemikali na mfumo wa ufuatiliaji wa ubora wa asali ili kuiwezesha kukidhi viwango vya kimataifa.

Pia ametaja uamuzi wa Serikali kuweka msamaha wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kuwa unalenga kujenga mazingira rafiki kwa wakulima na wazalishaji wa asali, ili  waweze kuzalisha bidhaa hiyo katika viwango vya kimataifa.

Akizungumza kwa niaba ya Serikali ya China, Waziri na Katibu wa Kamati ya CPC ya Utawala Mkuu wa Forodha ya Jamhuri ya Watu wa China, Yu Jianhua amesema makubaliano hayo yanafungua milango ya soko la asali ya Tanzania kwa raia zaidi ya bilioni 1.4 wa nchi hiyo.

Amesema idadi ya wakazi wa nchi hiyo inategemea kutumia tani milioni 38 za asali kila mwaka hivyo kuifanya bidhaa za asali kutoka Tanzania kutoepukika na kufungua milango kwa wafanyabiashara wa asali wa Tanzania.

“China ni moja ya nchi zenye watu wengi duniani inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya bilioni mbili,  hivyo kitendo cha soko la asali ya Tanzania kupata fursa kuuzwa kwetu itasaidia biashara kuwa endelevu kwa kua wahitaji ni wengi,“amesema.

Kwa upande wake,  mfanyabiashara wa asali mkoani Tabora, Sophie Feruz ameitaka Serikali kuhimiza utekelezaji wa makubaliano hayo miongoni mwa watendaji wa Serikali na wafanyabiashara kwa vitendo ili ulete tija kwa kuiingizia nchi mapato na fedha za kigeni.

“Makubaliano hayo ya uuzwaji wa asali nje ya nchi yasimamiwe na wafanya biashara wa zao hilo wapewe fursa ya kuuza wenyewe huko China na kusiwepo na watu wa kati ambao watatunyonya na kushindwa kufaidika na uwepo wa soko hilo kubwa zaidi duniani, ‘’ amesema.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit

Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus.

The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease.

While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher

Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday).

“The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district.

Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak.

Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths.

The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases.

“We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said.

She said her administration immediately investigated the WHO’s alert.

“The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added.

Cross-border transmission

The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024.

The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations.

Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”

The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts.

The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever.

Transparency urged

Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures.

“This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said.

WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important.

“We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised.

The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced.

This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk.

Source: allafrica.com

Continue Reading