SMZ yaondoa zuio uchimbaji mawe Pemba

SMZ yaondoa zuio uchimbaji mawe Pemba

SMZ yaondoa zuio uchimbaji mawe Pemba

Pemba. Kutokana na kilio cha wananchi kisiwani Pemba cha kuzuiwa kuchimba mawe, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeondoa zuio hilo lakini ikiwataka kuzingatia utaratibu uliowekwa katika uchimbaji.

Kwa takriban mwezi mmoja SMZ ilizuia uchimbaji wa mawe ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira. Uamuzi huo ulilalamikiwa na wananchi wakieleza kukosa kipato.

Wakizungumza leo Novemba 14, 2024 Gombani, kisiwani Pemba ulikotangazwa uamuzi wa kuondoa zuio hilo, baadhi ya wananchi wamesema wamepitia wakati mgumu kuendesha maisha kutokana na zuio hilo.

Abdalla Mohammed Faki, amesema zuio hilo limemuathiri kwa kuwa hana kazi nyingine ya kufanya.

Ameiomba Serikali kuweka utaratibu maalumu wa uchimbaji mawe na siyo kuweka zuio kwa kuwa kazi hiyo ndiyo inayowapatia kipato cha kuendesha familia.

Kwa upande wake, Hamad Mkubwa amesema licha ya uwepo wa uharibifu wa mazingira, Serikali iweke mkakati maalumu wa upandaji miti kwenye maeneo yaliyotumika kuchimba mchanga na mawe.

Waziri wa Maji, Nishati na Madini, Shaibu Hassan Kaduara amesema Serikali imewaruhusu kuendelea na shughuli zao, kikubwa inawasisitiza kutunza mazingira kutokana mabadiliko ya tabiachi.

Amesema Serikali inatambua kuwa kazi hizo ni sehemu zao za kujipatia kipato lakini ni vyema kuzingatia athari za kimazingira.

Waziri amewataka kufukia mashimo ili ardhi itumike kwa shughuli zingine.

“Tumeamua kuondoa zuio la uchimbaji wa mawe ili kuwapa fursa wananchi kuendeleza shughuli zao za kiuchimi lakini wanapaswa kuzingatia utunzaji mazingira kwa kupanda miti ili kudhibiti athari za kimazingira,” amesema.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Addis Ababa, January 20, 2025</Strong> — Tanzania has declared a Marburg virus disease (MVD) outbreak after confirming one case and identifying 25 suspected cases in the Kagera Region of Northwestern Tanzania. The Marburg virus, a highly infectious and often fatal disease, is similar to Ebola and is transmitted to humans from fruit bats and monkeys. This outbreak marks the nation’s second encounter with the deadly virus, following the outbreak in Bukoba District of Kagera Region in March 2023, which resulted in nine cases and six deaths.

In response to this urgent threat, the Africa CDC is mobilizing strong support to help Tanzania contain the outbreak. A team of twelve public health experts will be deployed as part of an advance mission in the next 24 hours. The multidisciplinary team includes epidemiologists, risk communication, infection prevention and control (IPC), and laboratory experts to provide on-ground support for surveillance, IPC, diagnostics, and community engagement.

The Director-General of Africa CDC, Dr. Jean Kaseya, has engaged with Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan and the Minister of Health to ensure coordinated efforts and secure political commitment for the response.

“Africa CDC stands firmly with Tanzania in this critical moment. To support the government’s efforts, we are committing US$ 2 million to bolster immediate response measures, including deploying public health experts, strengthening diagnostics, and enhancing case management. Building on Tanzania’s commendable response during the 2023 outbreak, we are confident that swift and decisive action, combined with our support and those of other partners, will bring this outbreak under control,” Dr. Kaseya stated.

Africa CDC has recently supported efforts to enhance the diagnostic and sequencing capacity of public health laboratories in Tanzania. PCR Test kits and genomic sequencing reagents have been dispatched, with additional supplies in the pipeline. To ensure rapid identification and confirmation of cases, the institution will also provide technical assistance to strengthen detection and genome sequencing for better characterization of the pathogen. Additionally, support will be provided to improve case management protocols and enhance the capacity to deliver safe and effective treatment.

Africa CDC is committed to working closely with the Government of Tanzania, regional partners, international organizations, and global stakeholders, including the World Health Organization, to stop the spread of the Marburg virus.

Source: allafrica.com

Continue Reading