Sh32.3 bilioni kuimarisha huduma za afya Zanzibar

Sh32.3 bilioni kuimarisha huduma za afya Zanzibar

 Unguja. Wizara ya Afya Zanzibar, imeingia mkataba na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (Unicef) wa ununuzi wa vifaa kwa ajili kuboresha huduma za afya hususani mama na mtoto kisiwani hapa.

Kupitia mkataba huo wa manunuzi wenye thamani ya Dola za Marekani 12.5 milioni (Sh32.3 bilioni), Unicef itasaidia utoaji wa dawa muhimu na bidhaa za lishe, vifaa vya matibabu kwa ajili ya vituo vya afya vilivyofanyiwa ukarabati, magari kwa ajili ya idara ya huduma za kinga na timu ya uratibu wa miradi.

Kazi nyingine itakayofanywa ni kutoa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) na mtandao kwa vitengo 142 vya afya ya msingi (PHCU+).

Akizungumza wakati wa kusaini makubaliano hayo leo Jumanne, Mei 21, 2024 Waziri wa Afya, Ahmed Mazrui amesema ushirikiano huo ni hatua kubwa kuelekea kuendeleza mfumo wa huduma ya afya kupitia Mpango wa Uwekezaji wa Afya ya Mama na Mtoto Tanzania (TMCHIP).

 Mpango huo unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, ulianza mwaka 2023 hadi 2027 kwa Dola za Marekani 25 milioni (Sh64.7 bilioni).

“Mpango huu sio tu mpango bali ni safari ya mageuzi inayolenga kuunda mfumo thabiti wa utoaji wa huduma za afya ambao unamhudumia kila mtu, hasa makundi yaliyo hatarini zaidi ambayo ni kinamama, watoto na vijana. 

 “Tumedhamiria kuinua viwango vya matunzo katika kila ngazi, kuhakikisha kwamba kila mama na mtoto wanapata huduma bora zaidi za afya,” amesema  

 Kadhalika wataimarisha na kuboresha upatikanaji na utumiaji wa mifumo ya kielektroniki katika huduma ya afya. 

 “Tunalenga kufanya huduma za afya ya uzazi ziwe rahisi zaidi hasa kwa vijana, katika vituo vya afya na ndani ya jamii,” amesema Mazrui. 

 Naye mwakilishi wa Unicef nchini Tanzania, Elke Wisch amesema ushirikiano huo ulioanzishwa kati ya Amesema Serikali, Unicef na WB, unaashiria dhamira ya washirika wote katika kuweka vipaumbele vya ustawi wa wanawake na watoto na kuweka msingi mzuri wa afya ya Zanzibar.

 Amesema Unicef ina uzoefu wa miaka kadhaa katika eneo hili na iko katika nafasi ya kipekee ya kuchota utaalamu na mbinu bora duniani kote, ili kuifanya Zanzibar kuwa mfano wa ubora katika afya ya kidijitali.

Miongoni mwa mafanikio muhimu ya ushirikiano wa afya ya kidijitali kati ya Serikali ya Zanzibar na Unicef ni kubuni na kuendeleza maoni ya wateja, ijulikanayo kama (Zan Afya Maoni), na kubuni na kutengeneza zana ya kidijitali inayounga mkono usimamizi wa wafanyakazi wa afya.

“Kupitia mkataba huu, Unicef ina furaha kuchangia katika kuboresha utoaji wa huduma kupitia ununuzi wa vifaa vya matibabu vya ubora wa juu na bidhaa nyingine za afya, ikiwa ni pamoja na maabara, na vifaa vya ICT,” amesema Wisch.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading