Sh26 bilioni za Aga Khan, AFD kupambana na saratani Tanzania, Kenya

Sh26 bilioni za Aga Khan, AFD kupambana na saratani Tanzania, Kenya

Sh26 bilioni za Aga Khan, AFD kupambana na saratani Tanzania, Kenya

Dar es Salaam. Serikali ya Ufaransa imeingia makubaliano na Taasisi ya Huduma za Afya Aga Khan ya miaka minne ya kutoa huduma ya chanjo ya saratani ya kizazi sambamba na matibabu ya saratani ya matiti kwa wanawake 800,000 Tanzania.

Mradi huo ambao pia utainufaisha nchi ya Kenya, Tanzania pekee wasichana 200,000 wenye miaka tisa watapatiwa huduma ya chanjo ya kuwakinga na saratani ya mlango wa kizazi (HPV) na wasichana 600,000 nchini Kenya wenye miaka 10 hadi 14.

Pia, wanawake 400,000 wa Tanzania watafanyiwa uchunguzi wa saratani ya matiti kupitia mradi huo, lengo la mradi mzima ni kutoa elimu ya saratani kwa watu milioni 7.4.

Akizungumza baada ya kuingia makubaliano hayo leo Jumanne Januari 28, 2025 jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Huduma za Afya Aga Khan, Dk Zeenat Sulaiman Khan amesema mradi huo utainufaisha mikoa sita ya Tanzania.

Ameitaja mikoa hiyo ni pamoja na Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma, Arusha, Kilimanjaro na Zanzibar huku akitaja pia kaunti nne za Kenya ambazo ni Mombasa, Kisumu, Kilifi na Homa bay.

Dk Zeenat amesema sababu ya mradi huo kuelekezwa katika mikoa sita ni baada ya utafiti kufanyika na kuonekana mikoa hiyo inachangamoto na pia ni kutokana na kipaumbele cha Serikali.

“Tunashirikiana kwa karibu na Serikali ya Ufaransa na msaada wao umekuwa muhimu sana kwa miaka mingi, mradi huu utaleta maendeleo katika matibabu ya saratani,” amesema Mkurugenzi mtendaji huyo.

Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Anne Sophie Av’e amesema ni hatua nzuri kuanzisha ushirikiano na Taasisi ya Aga Khan, akisisitiza ushirikiano huo utakuwa mfano wa namna taasisi za kimataifa zinavyoshirikiana kuchochea maendeleo kwenye sekta ya afya.

“Kwa kujumuisha uwezo wetu kama Serikali ya Ufaransa na uzoefu wa wataalamu kutoka taasisi za Tanzania, hatuendi tu kujenga mfumo imara wa sekta ya afya, tunakwenda kuimarisha uhusiano wetu na kujifunza zaidi,” amesema Balozi Anne Sophie Av’e.

Amesema mwanamke anapopatwa na maradhi athari yake ni kubwa kuanzia ngazi ya familia hadi jamii, hivyo kuimarisha afya ya mwanamke ni kujenga jamii iliyobora.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo Ufaransa (AFD), Remy Rioux amesema kwa zaidi ya miaka 15 wanafanya kazi bega kwa bega na Serikali ya Tanzania hususan zile za kusaidia maendeleo kwa Watanzania.

Ameyataja maeneo yanayonufaika na AFD kwa Tanzania ni pamoja na sekta maji, nishati, usafirishaji na afya.

“Tunajivunia sasa afya ni mali ya umma, tunajivunia kushirikiana na Aga Khan na kituo maarufu cha saratani cha ufaransa Institut Curie katika uzinduzi wa mradi huu wa saratani ya wanawake Africa Mashariki (EA-CWCP) kwamba unakwenda kuleta kwa wanawake wanaokumbana na changamoto ya maradhi haya,” amesema Rioux.

Awali, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dk Seif Shekalaghe amesema utekelezaji wa mradi huo unaendana na azma ya Serikali ya kudhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza akidokeza mradi huo utasaidia udhibiti wa saratani nchini.

Dk Shekalaghe amesema mradi huo unapaswa kuwajengea uwezo wataalamu wa afya kuanzia ngazi ya wilaya na siyo ngazi ya Taifa pekee, kwa sababu wagonjwa wengi wanafika Hospitali tayari ugonjwa umesambaa maeneo mengi mwilini.

“Wagonjwa wengi wanaofika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) ugonjwa unakuwa ymeshafika hatua za juu zaidi, wataalamu wa ngazi ya wilaya wakijengewa uwezo, watatambua ugonjwa katika hatua za awali,” amesema Dk Shekalaghe.

Amesisitiza utekelezaji wa mradi huo uambatane na utoaji wa elimu kwa wananchi dhidi ya dalili za awali za saratani.

Amesema lengo ni watu wachukue hatua mapema kwenda hospitali, lakini bila elimu, ugonjwa huo utazidi kuongezeka.

Hata hivyo, kwa mujibu wa Aga Khan, idadi ya wagonjwa wa saratani nchini Kenya na Tanzania inaongezeka, na kwa sasa kesi mpya takribani  100,000 na vifo 60,000 hutokea kila mwaka.

“Changamoto hii ni kubwa zaidi kwa wanawake, ambao ni asilimia 61 ya kesi za saratani Afrika Mashariki. Hivyo ujio wa mradi huo unategemewa kuwanufaisha  takribani watu milioni 7.4 Tanzania na Kenya, na mradi mzima utagharimu Euro 10 milioni (takriban Sh27 bilioni,)” amesema Dk Shekalaghe.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model

Tanzania is winning the battle against maternal and newborn deaths, as the latest numbers reveal a significant decline.

“Tanzania is committed to reducing maternal and newborn mortality and ensuring safe deliveries as part of the national development plan. The Safer Births Bundle of Care is one of the key strategies supporting this effort,” said Dr. Benjamin Kamala, the Senior Research Scientist at Haydom Lutheran Hospital and Principal Investigator for the program, leading its implementation across five regions in Tanzania.

A groundbreaking study published in the New England Journal of Medicine shows that the innovative health program in Tanzania – centered on regular, on-the-job training for healthcare workers – reduced maternal deaths by 75% and early newborn deaths by 40%. The three-year study, conducted across 30 high-burden healthcare facilities in Tanzania, tracked approximately 300,000 mother-baby pairs under the Safer Births Bundle of Care (SBBC) programme. The programme focuses on improving care for mothers and babies during the day of birth, the critical time when a woman goes into labor and delivers her baby.

Maternal health is a key focus of the United Nations Sustainable Development Goals (SDGs), specifically Target 3.1, which aims to reduce the global maternal mortality ratio to fewer than 70 deaths per 100,000 live births by 2030.

Tanzania’s program combines continuous, simulation-based training for frontline healthcare workers alongside innovative clinical tools to improve labour monitoring (fetal heart rate monitoring) and newborn resuscitation.It also uses data to drive ongoing improvements, ensuring that healthcare workers have the skills, confidence, and competence to manage birth-related complications for both mothers and newborns.

“We work closely with healthcare workers, equipping them with the necessary tools to improve the quality of care, ensuring they can effectively manage both mothers and babies during and after childbirth,” Dr. Kamala said, which helps them build on over a decade of innovative research and collaboration to improve care during childbirth.

“To give you a sense of the scale of the burden of maternal and newborn mortality in Tanzania when the Safer Births Bundles of Care program was in early development in 2015/16, there were around 556 maternal deaths per 100,000 live births and 25 neonatal deaths per 1,000 live births,” he said.

The published study demonstrates the “transformative impact” of the Safer Births Bundle of Care program conducted across 30 hospitals in five high-burden regions of Tanzania, where there were about 300,000 mother-baby pairs.

Maternal deaths at the start of the program were recorded at 240 per 100,000 live births, with postpartum hemorrhage and hypertensive disorders being the leading causes of death, he said. Over the 24-month study period, this number dropped to approximately 60 per 100,000 live births, representing a 75% reduction. The number of newborn deaths – which are primarily due to breathing difficulties and complications related to prematurity – declined by 40% – from 7 deaths per 1,000 live births to 4 deaths per 1,000 live births.

“These results are remarkable,” Dr. Kamala said.

According to Dr. Kamala, the 75% reduction in maternal deaths was not expected, and a key lesson was the important role of the in-situ team simulations – including for postpartum bleeding – with reflective debriefings that trained facilitators led.

“This seems to be a major part of the success of the program,” he said. “We are delighted by these results and hope that other countries adopt and scale the Safer Births Bundle of Care program… Beyond the numbers, the Safer Births Bundle of Care program has fostered a dramatic culture shift in our healthcare system,” he said. “Healthcare workers are now more confident and better equipped to handle birth-related complications for both mothers and babies.”

Maternal death drop

Dr. Kamala attributed the 60-70% reduction in newborn deaths in Geita and Manyara to several factors.

“Firstly, Manyara was the first site for implementation, giving the region more time to adapt and experience the impact of the program. Most importantly, both regions had a high burden of stillbirths and neonatal deaths, making them ideal targets for focused intervention. As a result, newborn deaths decreased by 60-70%, showcasing a clear positive impact on newborn survival,” he said.

Dr. Kamala said another possible explanation is the differences in the culture of practices, where some health facilities reported inaccurate data due to the fear of blame and shame. However, with the project’s implementation, reporting became more accurate after mplementation. Some regions, such as Tabora, reported an increase in the number of referrals to the study hospitals from other care centers after the program was implemented. These were more likely to be late admissions, which increase the likelihood of poor health outcomes, he said.

After the implementation of the program, there was a 40% decrease in newborn deaths within the first 24 hours after birth, according to the study.

Dr. Kamala said Tanzania’s remarkable progress in reducing maternal mortality by 80% is driven by strategic investments and innovative programs focused on improving maternal and child survival rates.

“Over 2,000 new healthcare facilities have been developed, free health services are being provided to expectant mothers and children under the age of five, and emergency obstetric care – including better transport to hospitals in rural areas are helping to ensure timely, life-saving interventions.

“Most importantly, the Ministry of Health works in collaboration with healthcare workers, hospitals, and development partners to strengthen the skills of frontline healthcare workers, which has been a key factor in driving this progress.

“Political leadership, alongside strategic partnerships and financing, has been crucial in driving progress in maternal and newborn health,” he said.

The program was made possible by the support of the Global Financing Facility for Women, Children, and Adolescents, Norad, UNICEF, and Laerdal Global Health, as well as the Ministry of Health and Haydom Lutheran Hospital. Their partnership and investment enabled the scaling of the Safer Births Bundle of Care to 30 hospitals and supported the research. “The government has now scaled the program to over 150 sites, and there are plans for further expansion to three regions this year and then nationally,” he said.

Dr. Kamala outlined key policy recommendations for other governments can adopt to prioritize maternal health.

“Firstly, it focuses on cost-effective and relatively simple interventions that are essential to preventing maternal and newborn deaths. For example, stronger primary healthcare that is delivered in the community and a well-trained healthcare workforce are also critical. Additionally, working in close collaboration with national, regional, and local health authorities is key.”

He said Tanzania’s approach, where the Safer Births Bundle of Care program was successfully scaled and sustained by aligning the initiative with national guidelines for obstetrical and newborn care. In addition, the creation of mentorship programs and regular supervision has helped to sustain the results.

Looking ahead

Tanzania now plans to expand to three new regions in 2025, followed by a nationwide rollout.

The success of the program has attracted interest from other countries, with Botswana, Ethiopia, Lesotho, and Namibia expressing interest in adapting the program to their healthcare system. In Nigeria, the program has already been launched in two states, Gombe and Borno, marking a significant step in its scaling.

Source: allafrica.com

Continue Reading