Serikali yapata somo la mazingira shule za Aga Khan

Serikali yapata somo la mazingira shule za Aga Khan

Dar es Salaam. Walimu wa shule za awali, msingi na sekondari nchini Tanzania watapata mafunzo maalumu kuhusu utunzaji wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi katika masomo yao ya darasani. Hii ni sehemu ya maboresho ya mitaala ya mwaka 2023 yenye lengo la kuingiza masuala haya kwenye mitalaa ya shule.

Hayo yameelezwa katika maonyesho ya programu ya elimu inayohusu mazingira yaliyofanywa na wanafunzi wa shule ya Aga Khan, iliyo chini ya Taasisi ya Elimu ya Aga Khan Tanzania (AKEST).

Akizungumza baada ya kukagua maonyesho hayo, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dk Anneth Komba amesema kwamba lengo la hatua hii ni kuhakikisha wanafunzi nchini wanapata elimu bora kuhusu utunzaji wa mazingira.

“Tutachukua uzoefu wa wenzetu na tutaweka katika mafunzo ya walimu, kuhakikisha kwamba wanafunzi nchini Tanzania wanafundishwa jinsi ya kuhifadhi mazingira yetu, jinsi ya kuepuka uchafuzi wa hali ya hewa, na kuhakikisha mazingira yetu yanakuwa safi,” amesema Dk Komba.

Dk Komba ameongeza kuwa sababu kuu ya kuanza na watoto ni kwa sababu wanachangia kwa kiasi kikubwa katika kutoa elimu kwa jamii.

“Ni muhimu kuanza na watoto kwa sababu wanachukua elimu hii na kwenda nayo nyumbani kwa wazazi wao. Hii ni njia mojawapo ya kuelimisha jamii kwa ujumla, kwani mtoto atakapokuwa na elimu hii, ataileta nyumbani na jamii inayomzunguka itanufaika pia,” amesisitiza Dk Komba.

Kuhusu upatikanaji wa elimu hii katika shule nyingine nchini, Dk Komba amesema watatoa mafunzo kwa walimu ili kuwawezesha kuingiza elimu ya mazingira katika ufundishaji na ujifunzaji wa kila somo.

“Nimefarijika sana kuona jinsi masomo yote, kuanzia hisabati hadi Kiswahili, yanavyojumuisha mambo ya utunzaji wa mazingira na kuelewa mabadiliko ya tabia nchi. Tunachukua uzoefu huu na kuutekeleza kulingana na mitaala,” ameongeza.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa AKEST, Dk Shelina Walli, amesema wanajitahidi kuhakikisha wanatembea kuelekea dunia yenye kijani kibichi.

“Mfano mdogo wa kile utakachokiona ni jinsi tulivyoingiza elimu inayohusiana na ustawi katika kila somo kwa kila ngazi. Tumepanga mitaala kwa namna ambayo hatuongezi kazi kwa walimu, hatuleti miradi mipya, tunaboresha kile tulichonacho, ambacho tunaamini kimeandaliwa na TET, kupitia uchunguzi wao,” alisema Dk Walli.

Dk Walli ameongeza kuwa kuweka wanafunzi mbele ni kuwapa fursa ya kuongoza kwa mbinu nzuri.

“Kupitia wao, tutaendelea kujifunza zaidi kwa sababu watafanya utafiti na kuleta maarifa mapya ambayo shule itaweza kuyapeleka tena kwa walimu wetu katika ufundishaji na kujifunza. Hivyo tunawasikiliza, tunawaacha waongoze shughuli, na mara nyingi tunawaomba watufundishe,” amesema.

Amesema kuwa AKEST iki tayari kushirikiana na shule zote za wadau mbalimbali ili waweze kujifunza namna wanavyotekeleza mambo mbalimbali.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Addis Ababa, January 20, 2025</Strong> — Tanzania has declared a Marburg virus disease (MVD) outbreak after confirming one case and identifying 25 suspected cases in the Kagera Region of Northwestern Tanzania. The Marburg virus, a highly infectious and often fatal disease, is similar to Ebola and is transmitted to humans from fruit bats and monkeys. This outbreak marks the nation’s second encounter with the deadly virus, following the outbreak in Bukoba District of Kagera Region in March 2023, which resulted in nine cases and six deaths.

In response to this urgent threat, the Africa CDC is mobilizing strong support to help Tanzania contain the outbreak. A team of twelve public health experts will be deployed as part of an advance mission in the next 24 hours. The multidisciplinary team includes epidemiologists, risk communication, infection prevention and control (IPC), and laboratory experts to provide on-ground support for surveillance, IPC, diagnostics, and community engagement.

The Director-General of Africa CDC, Dr. Jean Kaseya, has engaged with Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan and the Minister of Health to ensure coordinated efforts and secure political commitment for the response.

“Africa CDC stands firmly with Tanzania in this critical moment. To support the government’s efforts, we are committing US$ 2 million to bolster immediate response measures, including deploying public health experts, strengthening diagnostics, and enhancing case management. Building on Tanzania’s commendable response during the 2023 outbreak, we are confident that swift and decisive action, combined with our support and those of other partners, will bring this outbreak under control,” Dr. Kaseya stated.

Africa CDC has recently supported efforts to enhance the diagnostic and sequencing capacity of public health laboratories in Tanzania. PCR Test kits and genomic sequencing reagents have been dispatched, with additional supplies in the pipeline. To ensure rapid identification and confirmation of cases, the institution will also provide technical assistance to strengthen detection and genome sequencing for better characterization of the pathogen. Additionally, support will be provided to improve case management protocols and enhance the capacity to deliver safe and effective treatment.

Africa CDC is committed to working closely with the Government of Tanzania, regional partners, international organizations, and global stakeholders, including the World Health Organization, to stop the spread of the Marburg virus.

Source: allafrica.com

Continue Reading