Serikali yaipa  MSD mtaji wa Sh100 bilioni

Serikali yaipa  MSD mtaji wa Sh100 bilioni

Dodoma. Bunge la Tanzania limepitisha Bajeti ya Wizara ya Afya ya Sh1.31 trilioni huku Bohari ya Dawa (MSD), wakipewa Sh100 bilioni ili kuwaongezea mtaji.

Kwa muda mrefu kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, imekuwa ikilalamika kuhusu ukosefu wa mtaji kwa MSD na kuitaka Serikali iwape mtaji wa Sh561.5 bilioni ili kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya.

Leo jioni ya Jumatatu, Mei 13, 2024 akijibu hoja za wabunge waliochangia kwenye bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2024/25, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema fedha hizo zilitolewa wiki iliyopita.

“Kwa mara ya kwanza Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetoa Sh100 bilioni kwa ajili ya mtaji wa MSD. Nimepata fedha hizi kutoka kwa Waziri wa Fedha wiki iliyopita,” amesema.

Amesema haijawahi kutokea katika miaka minne tangu alipoanza kuongoza wizara hiyo, Serikali kutoa fedha nyingi kama mtaji kwa MSD.

Amesema Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amemweleza anaangalia kabla ya Juni 30, 2024, anaweza kutoa fedha nyingine.

Kuhusu ubora wa huduma, Ummy amesema Serikali imejenga vituo vya afya na kuwa Watanzania hawatawapima kwa vifaa tiba na majengo walioyajenga bali wanataka huduma bora za afya.

“Hiki ni kipengele cha pili katika vipaumbele vyetu (katika bajeti) tutazingatia weledi na maadili ya watumishi wa afya, nidhamu, upatikanaji wa dawa pamoja na huduma zote na hii inawezekana,”amesema.

Amesema hilo linawezekana kwa kuwa   Profesa Mohammed Janabi ameweza kulifanya hilo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).

Amesema pamoja na kuongeza upatikanaji wa dawa wanaenda kuangalia usimamizi wa utoaji huduma za afya kuanzia ngazi za chini.

Amesema wanafanya mapitio ya muundo wa kamati za uendeshaji afya za mikoa, halmashauri, kuangalia muundo, majukumu na ujuzi wao ili waweze kuwasimamia kikamilifu na kuweza kuwapima.

Kuhusu posho ya kuitwa kazini, Waziri Ummy amesema ni kweli mwaka jana Serikali ilibadilisha posho nyingine, isipokuwa hiyo.

“Tumeshamuandikia Waziri wa Utumishi analifanyia kazi, madaktari tunaamini posho ya kuitwa kazini, ya kuchunguza maiti itaongezwa pamoja na sare kwa ajili ya wauguzi,” amesema.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease

Dodoma — Tanzania today confirmed an outbreak of Marburg virus disease in the northwestern Kagera region after one case tested positive for the virus following investigations and laboratory analysis of suspected cases of the disease.

President of the Republic of Tanzania, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, made the announcement during a press briefing alongside World Health Organization (WHO) Director-General, Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, in the country’s administrative capital Dodoma.

“Laboratory tests conducted in Kabaile Mobile Laboratory in Kagera and later confirmed in Dar es Salaam identified one patient as being infected with the Marburg virus. Fortunately, the remaining suspected patients tested negative,” the president said. “We have demonstrated in the past our ability to contain a similar outbreak and are determined to do the same this time around.”

A total of 25 suspected cases have been reported as of 20 January 2025, all of whom have tested negative and are currently under close follow-up, the president said. The cases have been reported in Biharamulo and Muleba districts in Kagera.

“We have resolved to reassure the general public in Tanzania and the international community as a whole of our collective determination to address the global health challenges, including the Marburg virus disease,” said H.E President Hassan.

WHO is supporting Tanzanian health authorities to enhance key outbreak control measures including disease surveillance, testing, treatment, infection prevention and control, case management, as well as increasing public awareness among communities to prevent further spread of the virus.

“WHO, working with its partners, is committed to supporting the government of Tanzania to bring the outbreak under control as soon as possible, and to build a healthier, safer, fairer future for all the people of Tanzania,” said Dr Tedros. “Now is a time for collaboration, and commitment, to protecting the health of all people in Tanzania, and the region, from the risks posed by this disease.”

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

“The declaration by the president and the measures being taken by the government are crucial in addressing the threat of this disease at the local and national levels as well as preventing potential cross-border spread,” said Dr Matshidiso Moeti, WHO Regional Director for Africa. “Our priority is to support the government to rapidly scale up measures to effectively respond to this outbreak and safeguard the health of the population,”

Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in March 2023 – the country’s first – in Kagera region, in which a total of nine cases (eight confirmed and one probable) and six deaths were reported, with a case fatality ratio of 67%.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Marburg virus is transmitted to people from fruit bats and spreads among humans through direct contact with the bodily fluids of infected people, surfaces and materials. Although several promising candidate medical countermeasures are currently undergoing clinical trials, there is no licensed treatment or vaccine for effective management or prevention of Marburg virus disease. However, early access to treatment and supportive care – rehydration with oral or intravenous fluids – and treatment of specific symptoms, improve survival.

Source: allafrica.com

Continue Reading