Sarafu mtandao zawaingiza matatani walimu wanne, mfanyabiashara

Sarafu mtandao zawaingiza matatani walimu wanne, mfanyabiashara

Dodoma. Walimu wanne na mfanyabiashara mmoja wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kwa kuwadanganya kuwekeza katika sarafu za kimtandao (cryptocurrency), kisha kutoweka na fedha walizowekeza.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, ametoa taarifa leo Septemba 11, akieleza kuwa watuhumiwa walikamatwa Septemba 7, 2024, katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza kufuatia malalamiko ya wananchi waliodhulumiwa.

Ingawa Misime hakuwataja walimu hao wala shule wanazotoka, amefafanua kuwa watuhumiwa wamehusishwa na ulaghai kwa kufungua mifumo ya kampuni bandia ili kuvutia uwekezaji wa wananchi.

Majina ya baadhi ya kampuni hizo ni MEME BANK, DIGITAL WEALTH INTERNATIONAL, OCTOQUANT AI TRADING, NPAMA FUND, MINDFUL TRADE, na CELESTRIAL TG CRYPTOCURRENCY.

Misime amesema kuwa matapeli hao huanzisha kampuni hizo na kuwapa wawekezaji wa awali fedha kidogo kama faida ili kuvutia wengine wawekeze zaidi.

Hata hivyo, baada ya kukusanya kiasi kikubwa cha fedha, kampuni hizo hufungwa na matapeli hao kutoweka mtandaoni, na kuwafanya wawekezaji kushindwa kuwasiliana nao.

Jeshi la Polisi limewataka wananchi kuchukua tahadhari na kuepuka kujiingiza kwenye udanganyifu huu, kwani teknolojia ya uwekezaji wa sarafu za kimtandao bado haijaidhinishwa rasmi nchini.

Wananchi wanashauriwa kutoa taarifa wanapoona ulaghai wowote unaohusisha uwekezaji mtandaoni au biashara za aina hiyo, ili kuepusha kupoteza fedha zao.

Misime amesisitiza kuwa ni muhimu kuhakikisha uhalali wa makampuni au watu wanaohamasisha biashara za mtandaoni kabla ya kujiingiza, kwani wengi wamejikuta wakiibiwa fedha kutokana na kuingia kwenye matapeli wa mtandaoni.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

High Court rejects Transworld’s application
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

High Court rejects Transworld’s application

The High Court in Dar es Salaam has struck out an application in which Transworld Aviation, a ground handler at the Abeid Aman Karume International Airport (AAKIA) was seeking permission to sue the Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).Continue Reading

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading