Kuanguka kwa roketi katika kijiji cha Poland cha Przewodow. Nini kinafahamika hadi sasa?

Kuanguka kwa roketi katika kijiji cha Poland cha Przewodow. Nini kinafahamika hadi sasa?

Siku mojabaada ya roketi ku kuanguka katika kijiji cha  Przewoduv  mashariki mwa Poland karibu na mpaka na Ukraine, na kuwauwa watu maafisa nchini Poland wanasema lilitengenezwa na Urusi. Hatahivyo  Shirika la habari la Associated Press, likiwanukuu maafisa wa Marekani, limeandika kwamba kombora hilo limedaiwa kuwa lilifyatuliwa na Ukraine kwa lengo la kudungua kombora la Urusi. 

 Ukweli kwamba kombora lililoangushwa halikufyatuliwa kutoka Urusi  pia ulielezewa na rais wa Marekani Joe Biden.

“Kombora lililotengenezwa Urusi “

Wizara ya mambo ya nje ya Poland ilikuwa ya kwanza kutangaza kuwa kombora lililotengenezwa Urusi limeanguka nchini mwake majira ya saa nne na dakika 54 asubuhi.    

 Kufuatia kuanguka kwa kombora hili, Waziri wa Poland wa mashauri ya  Zbigniew Rau alimuita balozi wa Urusi  kumtaka maelezo ya moja kwa moja kuhusiana na kisa hicho, imesema taarifa ya shirika la  AP.

Maelezosawa na hayo pia yalitolewa  rais wa Andrzej Duda. “Kuna uwezekano mkubwa kwamba kombora lilitengenezwa na Urusi, lakini uchunguzi bado unaendelea ,” aliwaambia waandishi wa habari , kulingana na shiruka la habari la  Reuters. 

Rais Duda alisema kwamba hakuna ushahidi  kuhusu ni nani hasa aliyefyatua kombora hilo , na akaelezea matumaini kwamba hili lilikuwa ni suala la kipekee. 

Maelezo kuhusu ulinzi wa anga  wa Ukraine   

Ruka Twitter ujumbe

Maelezo ya video,Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje

Mwisho wa Twitter ujumbe

Jumatano asubuhi  shirika la habari la Associated Press, liliwanukuu  maafisa watatu wa Marekani ambao halikuwataja majina, wakisema kuwa kombora lililoanguka Poland linaaminiwa kuwa lilifyatuliwa na mifumo ya ulinzi wa anga ya Ukraine.

 Maelezo kwamba kombora lilifyatuliwa na Urusi awali yalihojiwa na Rais wa Marekani Joe Biden, ambaye aliitisha mkutano wa dharura wa viongozi wanchi wanachama wa  G7 na  NATO, walioshiriki mkutano wa G20  mjini  Bali.

 “Kulingana na mtazamo wa mambo yalivyo,  huenda Urusi haikufyatua kombora, lakini tutaona ,”  alisema Bide baada ya mkutano. 

Waziri mkuu wa Uingereza  Rishi Sunak, akizungumza na waandishi wa habari mjini Bali, hakurudia maeneo ya Biden kwamba huenda kombora halikuwa la Urusi. Alisisitizia juu ya haja ya kubaini ukweli kwanza, lakini akasema : “Lazima sote tuwe wazi: hakina kitu kama hiki kingetokea kama hapangekuwa na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.” Ukweli kwamba jeshi la NATO liliweza kuifuatilia roketi iliyolipuka katika Poland.

Kulingana na CNN, ndege ya kombora ilirekodiwa na ndege ya  uchunguzi ya NATO, ambnayo ilikuwa ikifanya upelelezi katika anga la Poland.  

Kuhusu ni nani aliyefyatua kombora hili, haikuelezwa na CNN, ambayo ilieleza tu kwamba walikusanya ujasusi, ikiwa ni pamoja na kuona mabaki ya kombora vyaliyoachwa na rada, ambavyo vilihamishiwa katika nchi za NATO na Poland. 

G

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

 
Maelezo ya picha,

Kijiji cha  Poland cha Pshevoduv  kiko karibu na mpaka na Ukraine  

 

Roketi ilianguka katika Poland  mchana wa tarehe 15 Novemba  saa   tis ana dakika 40 (17:40 kwa saa za Moscow ),  wakati jeshi la Urusi lilipokuwa likiupiga makombora mji wa Kyiv  na miji mingine, ikiwemo ya magharibi. Lilipiga  na kuwauwa watu wawili.  

 Kijiji cha Pshevoduv, ambako tukio lilitokea, kiko kilomita tano kutoka kwenye mpaka na Ukraine.

 Wizara ya ulinzi ya Ukraine ilisema kuwa hakuna mashambulio  ya Ukraine ambayo yalilenga karibu na mpaka wa Ukraine na Poland siku ile, na picha zilizochapishwa za vifusi hazikuhusiana na silaha za Urusi. Taarifa kwamba kombora la Urusi huenda liliangukia upande wa Poland zilitajwa kama  “uchokozi wa makusudi ili kuifanya hali kuwa mbaya zaidi ”  katika wizara ya ulinzi ya Urusi. 

 Baadaye , wizara ya ulinzi ya Urusi pia ilisema kuwa vipande vya roketi vilitambuliwa na wataalamu wa Urusi kweney picha  kama sehemu ya  kombora aina ya  S-300 la kuzuia mashambulio ya anga ambalo ni la vikosi vya Ukraine.   

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, katika hotuba yake ya jioni siku moja kabla, alisema kwamba “Ni mara ngapi Ukraine imesema kwamba nchi gaidi haitakomea katika nchi yetu? Poland, nchi za  Baltic – ni muda tu kabla ugaidi wa Urusi ufike mbali zaidi ,” alisema Zelensky.

 Jumatano , mshauri katika ofisi ya rais Zelensky, Mikhail Podolyak, alisema kwamba urusi kwa vyovyote vile inahusika kwa vifo vilivyotokea katika Przevoduv.

 “Lengo, njia za kuua, hatari, kuongeza mzozo – haya yote ni Urusi pekee. Na hakuna maelezo mengine ya sababu ya kupiga makomboraya ziada.  

 Kwasababu wakati nchi inayochokoza inapofyatua makombara mengi ya ya masafa mengi kuvuka eneo zima la Ulaya kwa silaha zake zilizopitwa na wakati za  Soviet   (class X missiles),  maafa yanatokea haraka au baadaye katika maeneo ya mataifa

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year’s Most Read News Stories

Britam half-year net profit hits Sh2bn on higher investment income
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Britam half-year net profit hits Sh2bn on higher investment income

Insurer and financial services provider Britam posted a 22.5 percent jump in net earnings for the half-year ended June 2024, to Sh2 billion, buoyed by increased investment income.

The rise in half-year net profit from Sh1.64 billion posted in a similar period last year came on the back of net investment income rising 2.5 times to Sh13.27 billion from Sh5.3 billion.

“We are confident in the growth and performance trend that Britam has achieved, supported by its subsidiaries in Kenya and the region. Our business is expanding its revenue base while effectively managing costs,” Britam Chief Executive Officer Tom Gitogo said.

“Our customer-centric approach is fueling growth in our customer base and product uptake, particularly through micro-insurance, partnerships, and digital channels.”

The investment income growth was fueled by interest and dividend income rising 34 percent to Sh9.1 billion, which the insurer attributed to growth in revenue and the gains from the realignment of the group’s investment portfolio.

Britam also booked a Sh3.79 billion gain on financial assets at a fair value, compared with a Sh1.8 billion loss posted in a similar period last year.

The increased investment income helped offset the 12.7 percent decline in net insurance service result to Sh2.13 billion in the wake of claims paid out rising at a faster pace than that of premiums received.

Britam said insurance revenue, which is money from written premiums, increased to Sh17.8 billion from Sh16.6 billion, primarily driven by growth in the Kenya insurance business and regional general insurance businesses, which contributed 30 percent of the revenue.

The group has a presence in seven countries in Africa namely Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, South Sudan, Mozambique, and Malawi.

Britam’s insurance service expense hit Sh13.6 billion from Sh11.3 billion, while net insurance finance expenses rose 2.6 times to Sh12.3 billion during the same period.

“Net insurance finance expenses increased mainly due to growth in interest cost for the deposit administration business driven by better investment performance. This has also been impacted by a decline in the yield curve, which has led to an increase in the insurance contract liabilities. The increase has been offset by a matching increase in fair value gain on assets,” said Britam.

Britam’s growth in profit is in line with that of other Nairobi Securities Exchange-listed insurers, which have seen a rise in profits.

Jubilee Holdings net profit in the six months increased by 22.7 percent to Sh2.5 billion on increased income from insurance, helping the insurer maintain Sh2 per share interim dividend.

CIC Insurance Group posted a 0.64 percent rise in net profit to Sh709.99 million in the same period as net earnings of Liberty Kenya nearly tripled to Sh632 million from Sh213 million, while Sanlam Kenya emerged from a loss to post a Sh282.2 million net profit.

Continue Reading

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit

Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus.

The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease.

While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher

Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday).

“The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district.

Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak.

Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths.

The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases.

“We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said.

She said her administration immediately investigated the WHO’s alert.

“The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added.

Cross-border transmission

The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024.

The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations.

Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”

The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts.

The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever.

Transparency urged

Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures.

“This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said.

WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important.

“We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised.

The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced.

This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk.

Source: allafrica.com

Continue Reading

‘No Marburg Confirmed In Tanzania’, But Mpox Remains ‘Public Health Emergency’
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

‘No Marburg Confirmed In Tanzania’, But Mpox Remains ‘Public Health Emergency’

‘No Marburg Confirmed In Tanzania’, But Mpox Remains ‘Public Health Emergency’

Monrovia — The Director General of the African Centers for Disease Control, Jean Kaseya, has said the center stands ready to support Tanzania and other countries in the region where suspected cases of the infectious Marburg Virus Disease have been identified. The World Health Organization earlier this week issued an alert warning of a possible outbreak in the country, although the Tanzanian Health Ministry has said tests conducted on available samples did not show the existence of Marburg in the East African nation.

“As of the 15 of January 2025, laboratory results from all suspected individuals were negative for Marburg Virus,” Tanzanian Health Minister Jenista Mhagama said in a statement. This would have marked the country’s second experience with the highly infectious disease that recently killed over a dozen people in neighboring Rwanda. Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in 2023 in the  Kegara region, said to have been the epicenter of the new suspected cases.

At the Africa CDC online briefing on Thursday, Kaseya also said another infectious disease, Mpox, “remains a public health concern”. He said that while in December 2024, the disease had afflicted 20 countries, a new country – Sierra Leone – has been added to the number after recent outbreak there. Sierra Leonean health authorities said on January 10 that two cases of Mpox had been confirmed in the country and dozens of contacts are being traced.

With thousands of confirmed cases of Mpox across Africa and more than 1000 people having died of the disease  – mainly in Central Africa – Kaseya emphasized the need to increase testing, a theme he’s heralded before. The Africa CDC boss said over the next few months the continental health watchdog will deploy additional epidemiologists and community health workers to areas considered hot spots of infectious diseases in the region.

Source: allafrica.com

Continue Reading