Siku mojabaada ya roketi ku kuanguka katika kijiji cha Przewoduv mashariki mwa Poland karibu na mpaka na Ukraine, na kuwauwa watu maafisa nchini Poland wanasema lilitengenezwa na Urusi. Hatahivyo Shirika la habari la Associated Press, likiwanukuu maafisa wa Marekani, limeandika kwamba kombora hilo limedaiwa kuwa lilifyatuliwa na Ukraine kwa lengo la kudungua kombora la Urusi.
Ukweli kwamba kombora lililoangushwa halikufyatuliwa kutoka Urusi pia ulielezewa na rais wa Marekani Joe Biden.
“Kombora lililotengenezwa Urusi “
Wizara ya mambo ya nje ya Poland ilikuwa ya kwanza kutangaza kuwa kombora lililotengenezwa Urusi limeanguka nchini mwake majira ya saa nne na dakika 54 asubuhi.
Kufuatia kuanguka kwa kombora hili, Waziri wa Poland wa mashauri ya Zbigniew Rau alimuita balozi wa Urusi kumtaka maelezo ya moja kwa moja kuhusiana na kisa hicho, imesema taarifa ya shirika la AP.
Maelezosawa na hayo pia yalitolewa rais wa Andrzej Duda. “Kuna uwezekano mkubwa kwamba kombora lilitengenezwa na Urusi, lakini uchunguzi bado unaendelea ,” aliwaambia waandishi wa habari , kulingana na shiruka la habari la Reuters.
Rais Duda alisema kwamba hakuna ushahidi kuhusu ni nani hasa aliyefyatua kombora hilo , na akaelezea matumaini kwamba hili lilikuwa ni suala la kipekee.
Maelezo kuhusu ulinzi wa anga wa Ukraine
Jumatano asubuhi shirika la habari la Associated Press, liliwanukuu maafisa watatu wa Marekani ambao halikuwataja majina, wakisema kuwa kombora lililoanguka Poland linaaminiwa kuwa lilifyatuliwa na mifumo ya ulinzi wa anga ya Ukraine.
Maelezo kwamba kombora lilifyatuliwa na Urusi awali yalihojiwa na Rais wa Marekani Joe Biden, ambaye aliitisha mkutano wa dharura wa viongozi wanchi wanachama wa G7 na NATO, walioshiriki mkutano wa G20 mjini Bali.
“Kulingana na mtazamo wa mambo yalivyo, huenda Urusi haikufyatua kombora, lakini tutaona ,” alisema Bide baada ya mkutano.
Waziri mkuu wa Uingereza Rishi Sunak, akizungumza na waandishi wa habari mjini Bali, hakurudia maeneo ya Biden kwamba huenda kombora halikuwa la Urusi. Alisisitizia juu ya haja ya kubaini ukweli kwanza, lakini akasema : “Lazima sote tuwe wazi: hakina kitu kama hiki kingetokea kama hapangekuwa na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.” Ukweli kwamba jeshi la NATO liliweza kuifuatilia roketi iliyolipuka katika Poland.
Kulingana na CNN, ndege ya kombora ilirekodiwa na ndege ya uchunguzi ya NATO, ambnayo ilikuwa ikifanya upelelezi katika anga la Poland.
Kuhusu ni nani aliyefyatua kombora hili, haikuelezwa na CNN, ambayo ilieleza tu kwamba walikusanya ujasusi, ikiwa ni pamoja na kuona mabaki ya kombora vyaliyoachwa na rada, ambavyo vilihamishiwa katika nchi za NATO na Poland.
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Kijiji cha Poland cha Pshevoduv kiko karibu na mpaka na Ukraine
Roketi ilianguka katika Poland mchana wa tarehe 15 Novemba saa tis ana dakika 40 (17:40 kwa saa za Moscow ), wakati jeshi la Urusi lilipokuwa likiupiga makombora mji wa Kyiv na miji mingine, ikiwemo ya magharibi. Lilipiga na kuwauwa watu wawili.
Kijiji cha Pshevoduv, ambako tukio lilitokea, kiko kilomita tano kutoka kwenye mpaka na Ukraine.
Wizara ya ulinzi ya Ukraine ilisema kuwa hakuna mashambulio ya Ukraine ambayo yalilenga karibu na mpaka wa Ukraine na Poland siku ile, na picha zilizochapishwa za vifusi hazikuhusiana na silaha za Urusi. Taarifa kwamba kombora la Urusi huenda liliangukia upande wa Poland zilitajwa kama “uchokozi wa makusudi ili kuifanya hali kuwa mbaya zaidi ” katika wizara ya ulinzi ya Urusi.
Baadaye , wizara ya ulinzi ya Urusi pia ilisema kuwa vipande vya roketi vilitambuliwa na wataalamu wa Urusi kweney picha kama sehemu ya kombora aina ya S-300 la kuzuia mashambulio ya anga ambalo ni la vikosi vya Ukraine.
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, katika hotuba yake ya jioni siku moja kabla, alisema kwamba “Ni mara ngapi Ukraine imesema kwamba nchi gaidi haitakomea katika nchi yetu? Poland, nchi za Baltic – ni muda tu kabla ugaidi wa Urusi ufike mbali zaidi ,” alisema Zelensky.
Jumatano , mshauri katika ofisi ya rais Zelensky, Mikhail Podolyak, alisema kwamba urusi kwa vyovyote vile inahusika kwa vifo vilivyotokea katika Przevoduv.
“Lengo, njia za kuua, hatari, kuongeza mzozo – haya yote ni Urusi pekee. Na hakuna maelezo mengine ya sababu ya kupiga makomboraya ziada.
Kwasababu wakati nchi inayochokoza inapofyatua makombara mengi ya ya masafa mengi kuvuka eneo zima la Ulaya kwa silaha zake zilizopitwa na wakati za Soviet (class X missiles), maafa yanatokea haraka au baadaye katika maeneo ya mataifa
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
European Union Bans Air Tanzania Over Safety Concerns
Kampala — The European Commission added Air Tanzania to the EU Air Safety List, banning the airline from operating within European Union airspace. This decision follows the denial of Air Tanzania’s Third Country Operator (TCO) authorization by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), citing significant safety deficiencies.
The EU Air Safety List includes airlines that fail to meet international safety standards. Commissioner Tzitzikostas emphasized the importance of passenger safety, stating: “The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards. We strongly urge Air Tanzania to take swift action to address these safety issues. The Commission has offered its assistance to Tanzanian authorities to enhance safety performance and achieve compliance with international aviation standards.”
Air Tanzania joins several African airlines banned from EU airspace, including carriers from Angola, the Democratic Republic of Congo, Sudan, and Kenya. Notable names include Congo Airways, Sudan Airways, and Kenyan carriers Silverstone Air Services and Skyward Express. The ban reflects the EU’s strict approach to aviation safety worldwide.
Source: allafrica.com
Zanzibar Investor British Dad talks about being jailed on paradise island
British investor and hotelier Simon Wood, from Preston, Lancashire, and his wife Francesca Scalfari were locked up in a Zanzibar prison charged with money laundering. Both were released after pressure from British Embassy.Continue Reading
Kampuni ya Elon Musk kuzindua mtandao Tanzania
Huduma ya mtandao ya Elon Musk ya Starlink inatarajiwa kupatikana nchini Tanzania katika robo ya kwanza ya 2023, huku wachambuzi wakisema maendeleo hayo mapya yatakuza uchumi wa kidijitali.Continue Reading