Tanzania Dar es Salaam
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua nafasi za watendaji watano akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Mbarali (DC), Reuben Mfune anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa.
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu, Zuhura Yunus leo Jumanne, Januari 24, 2023, inawataja mwingine aliyetenguliwa ni Msongela Palela Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Musoma (DED), Mkoa wa Mara.
Wakurugenzi wengine wa halmashauri waliotenguliwa kwa mujibu wa taarifa hiyo ni Michael Matomora wa Iramba, Linno Pius wa Ushetu na Sunday Ndori wa Halmashauri ya Ludewa.
Januari 11, 2023, Mfune alifikishwa mahakamani akituhumiwa katika kesi ya uhujumu uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Sh51 milioni.
Source: mwananchi.co.tz
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
Dissecting the role of the insurance ombudsman in Tanzania
The basic purpose of an insurance plan is to provide financial security to you and your family in case of your misfortunes during the policy tenure.Continue Reading
Ankaya Village: Experience active living and wise investment in Zanzibar
Ankaya Village offers more than just a place to live—it’s a lifestyle choice that’s as enriching as it is rewardingContinue Reading
East African Community Bloc Dismisses Fake Common Currency
The secretariat of the East African Community (EAC) regional bloc has dismissed a post on X, formerly Twitter, which claimed that the bloc’s member countries have launched a common regional currency.Continue Reading