Rais Samia apangua baraza la mawaziri

Rais Samia apangua baraza la mawaziri

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewahamisha wizara mawaziri mbalimbali, manaibu katibu mkuu na kuteua mabalozi wapya watano.

Pia amemteua Profesa Mohamed Janabi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Afya na Tiba. Pamoja na nafasi hiyo, Profesa Janabi ataendelea kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Uteuzi huo umetangazwa leo Jumapili, Desemba 8, 2024 na wanatarajiwa kuapishwa Jumanne, Desemba 10, 2024  kuanzia saa 5: asubuhi katika Ikulu Ndogo, Tunguu Zanzibar.

Soma majina ya walioteuliwa hapa…

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Muslims in Pemba conduct special prayer against ZAA decision
Popular
Investment News Editor

Muslims in Pemba conduct special prayer against ZAA decision

ZANZIBAR: More than 200 Muslims in Vitongoji Village, South Pemba Region over the weekend conducted a special prayer to condemn the Zanzibar Airports Authority (ZAA) move to appoint DNATA as the sole ground handler in Terminal III of the International Airport of Zanzibar. Abeid Amani Karume.Continue Reading