Rais Samia akoshwa usimamizi na makusanyo ya kodi ZRA

Rais Samia akoshwa usimamizi na makusanyo ya kodi ZRA

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema amefurahishwa na kazi inayofanywa na  Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ya ukusanyaji na usimamizi wa mapato ya Serikali.

Samia ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Agosti 24, 2024 katika maonyesho ya Tamasha la Kizimkazi alipomtembelea banda la mamlaka hiyo Mkoa wa Kusini Unguja.

Kwa mwaka wa fedha 2023/24,  ZRA imekusanya Sh718.7 bilioni kati ya malengo ya kukusanya Sh675.6 bilioni sawa na ongezeko la asilimia 106.

Rais Samia amesema hali hiyo inaisaidia Serikali kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo na kuendesha mipango yake kwa wakati.

“Ninafurahishwa na kazi mnayoifanya ya kukusanya na kusimamia Mapato ya Serikali,” amesema .

Hata hivyo, ameitaka mamlaka hiyo iendelee kufanya kazi zaidi kuwafikia walipa kodi ili ifanikiwe kukusanya kodi zaidi kwa ufanisi.

Amesema Serikali zote mbili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), zina matumaini na mamlaka za kodi, hivyo hakuna budi kwa taasisi hizo kuhakikisha zinafanya kazi zao kwa weledi ili kutimiza malengo.

Amesema Serikali zinategemea zaidi ukusanyaji wa mapato ya kodi ili ziweze kuhudumia miradi mbalimbali ya kimaendeleo pamoja na kutoa huduma za kijamii zikiwamo za afya, majisafi na salama, huduma za elimu na nyinginezo.

Tamasha la Kizimkazi limekuwa jukwaa linaloendelea kukua na kuvutia wawekezaji pamoja na wafanyabiashara mbalimbali kwa kutoa fursa ya kuonesha bidhaa au huduma zinazotolewa na kampuni au taasisi tofauti na hatimaye kuwaunganisha wauzaji na wanunuzi.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano wa ZRA, Makame Khamis amesema mamlaka hiyo imeendelea kuwa taasisi muhimu katika udhamini na ushiriki wa Tamasha la Kizimkazi kwa mwaka wa tatu mfululizo.

Amesema inayatumia maonyesho hayo kwa kutoa huduma mbalimbali ikiwamo elimu ya kodi, usajili wa walipakodi pamoja na kutoa leseni za udereva.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Addis Ababa, January 20, 2025</Strong> — Tanzania has declared a Marburg virus disease (MVD) outbreak after confirming one case and identifying 25 suspected cases in the Kagera Region of Northwestern Tanzania. The Marburg virus, a highly infectious and often fatal disease, is similar to Ebola and is transmitted to humans from fruit bats and monkeys. This outbreak marks the nation’s second encounter with the deadly virus, following the outbreak in Bukoba District of Kagera Region in March 2023, which resulted in nine cases and six deaths.

In response to this urgent threat, the Africa CDC is mobilizing strong support to help Tanzania contain the outbreak. A team of twelve public health experts will be deployed as part of an advance mission in the next 24 hours. The multidisciplinary team includes epidemiologists, risk communication, infection prevention and control (IPC), and laboratory experts to provide on-ground support for surveillance, IPC, diagnostics, and community engagement.

The Director-General of Africa CDC, Dr. Jean Kaseya, has engaged with Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan and the Minister of Health to ensure coordinated efforts and secure political commitment for the response.

“Africa CDC stands firmly with Tanzania in this critical moment. To support the government’s efforts, we are committing US$ 2 million to bolster immediate response measures, including deploying public health experts, strengthening diagnostics, and enhancing case management. Building on Tanzania’s commendable response during the 2023 outbreak, we are confident that swift and decisive action, combined with our support and those of other partners, will bring this outbreak under control,” Dr. Kaseya stated.

Africa CDC has recently supported efforts to enhance the diagnostic and sequencing capacity of public health laboratories in Tanzania. PCR Test kits and genomic sequencing reagents have been dispatched, with additional supplies in the pipeline. To ensure rapid identification and confirmation of cases, the institution will also provide technical assistance to strengthen detection and genome sequencing for better characterization of the pathogen. Additionally, support will be provided to improve case management protocols and enhance the capacity to deliver safe and effective treatment.

Africa CDC is committed to working closely with the Government of Tanzania, regional partners, international organizations, and global stakeholders, including the World Health Organization, to stop the spread of the Marburg virus.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’
Top News
Chief Editor

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Monrovia — The Rwanda Minister of State responsible for Health, Dr. Yvan Butera, cautioned that while the country is beginning to see positive signals in its fight against the Marburg virus, the outbreak is “not yet over”. He, however, expressed hope that  “we are headed in that direction”. The minister said the epidemiology trend, since the disease was first discovered in the country more than a month ago, is moving towards fewer cases.

Dr. Butera, who was giving updates during an online briefing yesterday, said in the past two weeks, only two deaths were recorded while 14 people recovered from the disease. He said Rwanda was expanding its testing capacity with 16,000 people already inoculated against the disease.

The priority right now, Butera said, is “rapid testing and detection”.

Marburg is a highly virulent disease transmitted through human-to-human contact or contact with an infected animal. The fatality rate of cases, which has varied over the period, is more than 50%, according to the World Health Organization.  WHO said the highest number of new confirmed cases in Rwanda were reported in the first two weeks of the outbreak. There’s been a “sharp decline” in the last few weeks, with the country now tackling over 60 cases.

At Thursday’s briefing, a senior official of the Africa Centers for Disease Control, Dr. Ngashi Ngongo, said mpox – the other infectious disease outbreak that countries in the region are fighting – was been reported in 19 countries, with Mauritius being the latest country to confirm a case. He said although no new cases have been recorded in recent weeks in several countries where outbreaks occurred previously –  including Cameroon, South Africa, Guinea, and Gabon – Uganda confirmed its first Mpox death. This, he said, is one of two fatalities reported outside Central Africa.

Dr. Ngashi revealed that there was an increase in cases in Liberia and Uganda. He said mpox cases were still on an upward trend.

“The situation is not yet under control.”

Source: allafrica.com

Continue Reading