Kabla ya uteuzi huo, Chacha alikuwa mfanyakazi katika sekta binafsi.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Ijumaa Januari 20, 2023 na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said imesema, Adil Fauz George ameteuliwa kuwa mkurugenzi wa idara ya usimamizi na uratibu wa shughuli za utalii katika kamisheni ya utalii.
“Kabla ya uteuzi huo George alikuwa mfanyakazi wa sekta binafsi,” imesema taarifa hiyo.
Katibu mkuu mstaafu, Yakout Hassan Yakout ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamisheni ya utumishi wa umma huku Ali Saleh Mwinyi ameteuliwa tena kwa kipindi cha pili kuwa mwenyekiti wa bodi ya shirika la magazeti.
Taarifa hiyo imesema Dk Mwinyi amemteua Safia Ali Rijaal ambaye ni mstaafu katika utumishi wa umma kuwa mwenyekiti bodi ya shirika la huduma za maktaba Zanzibar na Ussy Khamis Debe ameteuliwa kuwa katibu mtendaji wa baraza la taifa la watu wenye ulemavu
Uteuzi huo unaanza leo Januari 20, 2023
Source: mwananchi.co.tz
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
Zanzibar Airport Authority to audit ground handlers
Unguja. The Zanzibar Airports Authority (ZAA) is set to conduct an audit on ground handling companies that currently operate at the Abeid Amani Karume Airport with effect from Monday. The week-long audit is set to include Transworld, ZAT and the newcomer Dnata Zanzibar who were licensed in June plus exclusive rights to manage Terminal 3 building by ZAA.Continue Reading
Ankaya Village: Experience active living and wise investment in Zanzibar
Ankaya Village offers more than just a place to live—it’s a lifestyle choice that’s as enriching as it is rewardingContinue Reading
Top US investor sells 600m Safaricom shares in dividend protest
An American multinational investment management firm is selling millions of shares held in Safaricom in protest over delays in dividend repatriation amid the fall of the telco’s valuation to below Sh600 billion.Continue Reading