Kabla ya uteuzi huo, Chacha alikuwa mfanyakazi katika sekta binafsi.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Ijumaa Januari 20, 2023 na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said imesema, Adil Fauz George ameteuliwa kuwa mkurugenzi wa idara ya usimamizi na uratibu wa shughuli za utalii katika kamisheni ya utalii.
“Kabla ya uteuzi huo George alikuwa mfanyakazi wa sekta binafsi,” imesema taarifa hiyo.
Katibu mkuu mstaafu, Yakout Hassan Yakout ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamisheni ya utumishi wa umma huku Ali Saleh Mwinyi ameteuliwa tena kwa kipindi cha pili kuwa mwenyekiti wa bodi ya shirika la magazeti.
Taarifa hiyo imesema Dk Mwinyi amemteua Safia Ali Rijaal ambaye ni mstaafu katika utumishi wa umma kuwa mwenyekiti bodi ya shirika la huduma za maktaba Zanzibar na Ussy Khamis Debe ameteuliwa kuwa katibu mtendaji wa baraza la taifa la watu wenye ulemavu
Uteuzi huo unaanza leo Januari 20, 2023
Source: mwananchi.co.tz
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
Loud calls for investigation of Zanzibar port, ZSSF & airport
The leader of the ACT Wazalendo, Zitto Kabwe has raised three key issue that he said are hindering the economy of ZanzibarContinue Reading
Ground handling firms in Zanzibar start cutting jobs
ZAT and Transworld, companies providing ground handling services at Abeid Amani Karume International Airport, have to lay off workers to stay afloat.Continue Reading
East African Community Bloc Dismisses Fake Common Currency
The secretariat of the East African Community (EAC) regional bloc has dismissed a post on X, formerly Twitter, which claimed that the bloc’s member countries have launched a common regional currency.Continue Reading