Kabla ya uteuzi huo, Chacha alikuwa mfanyakazi katika sekta binafsi.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Ijumaa Januari 20, 2023 na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said imesema, Adil Fauz George ameteuliwa kuwa mkurugenzi wa idara ya usimamizi na uratibu wa shughuli za utalii katika kamisheni ya utalii.
“Kabla ya uteuzi huo George alikuwa mfanyakazi wa sekta binafsi,” imesema taarifa hiyo.
Katibu mkuu mstaafu, Yakout Hassan Yakout ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamisheni ya utumishi wa umma huku Ali Saleh Mwinyi ameteuliwa tena kwa kipindi cha pili kuwa mwenyekiti wa bodi ya shirika la magazeti.
Taarifa hiyo imesema Dk Mwinyi amemteua Safia Ali Rijaal ambaye ni mstaafu katika utumishi wa umma kuwa mwenyekiti bodi ya shirika la huduma za maktaba Zanzibar na Ussy Khamis Debe ameteuliwa kuwa katibu mtendaji wa baraza la taifa la watu wenye ulemavu
Uteuzi huo unaanza leo Januari 20, 2023
Source: mwananchi.co.tz
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
‘Sovereignty alone won’t solve Zanzibar economic woes’
The ruling party in Zanzibar on Monday , March 13, responded to growing demands for full autonomy in the Islands, saying sovereignty doesn’t guarantee economic strength.Continue Reading
Dissecting the role of the insurance ombudsman in Tanzania
The basic purpose of an insurance plan is to provide financial security to you and your family in case of your misfortunes during the policy tenure.Continue Reading
For years, a UK mining giant was untouchable in Zambia for pollution until a former miner’s son took them on
For years, the people in the villages around Chingola in Zambia endured frequent health challenges and dead fish floating around in their water source, but that was just the beginning of their nightmare.Continue Reading