Rais Mwinyi akerwa na matokeo mabaya ya mitihani Zanzibar

Rais Mwinyi akerwa na matokeo mabaya ya mitihani Zanzibar

Unguja, Zanzibar:

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesema matokeo ya mitihani visiwani humo hayaridhishi hivyo anataka kuona mabadiliko zaidi baada ya Serikali kuboresha miundombinu ya shule.

Ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Januari 6, 2023 wakati akifungua shule ya msingi ya ghorofa ya Salum Turky Mpendae kwa Bint Hamrani ikiwa ni mwendelezo wa kusherehekea miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar ambayo yataadhimishwa Januari 12, 2023.

Hata hivyo, mwaka huu hakutakuwa na gwaride badala yake fedha zake zimeelekezwa katika sekta ya elimu.

“Naamini baada ya kuyakamilisha mambo haya, kinachofuta sasa ni kupata matokeo mazuri, hivi sasa matokeo ya wanafunzi hayaridhishi tunataka kuona matokeo mazuri zaidi huku tukiendelea kuboresha maslahi ya walimu,” amesema.

Mbali na hayo, amebainisha kuwa njia pekee ya kujenga taifa ambalo lina maendeleo ni elimu, hivyo ni lazima kipaumbele kiwe kwenye elimu na ndiyo maana serikali inafanya kila linalowezekana katika sekta hiyo.

Amesema, shule hiyo ya ghorofa ndiyo mfano wa shule zote za msingi zinavyotakiwa kuwa Zanzibar na sio za ghorofa tu bali ziwe na maabara za sayansi, maktaba, vyumba vya kompyuta na madarasa ambayo wanafunzi hawatazidi 45 kwa kila chumba.

“Hayo ndiyo Mapinduzi ya kweli ambayo tunayataka na sasa serikali inatimiza lengo likiwa ni watoto wetu wapate elimu bora na naamini ifikapo mwaka 2025 sekta hii itakuwa imepiga hatua kubwa,” amesema.

Hivyo, aliwaasa wazazi kuzingatia kuwa elimu ndiyo urithi mzuri na wenye thamani kubwa ambao mzazi anaweza kumuachia mtoto wake.

Akimkaribisha Rais Mwinyi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema bado wana deni kubwa; Wizara ya Elimu, wazazi, walimu na wananchi kuhakikisha wanashirikiana ili kupata matokeo mazuri kwa watoto wao.
“Haitasaidia kuwa na jengo zuri halafu matokeo yakawa mabaya hivyo naamini mkakati wa wizara, wazazi, viongozi wa jimbo utatuwezesha kushirikiana pamoja kuhakikisha tunabadilisha matokeo ya watoto wetu kwani miundombinu bora ya elimu ameshatuwekea kiongozi wetu,” amesema

Naye Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Lela Mohamed Mussa, amesema kupitia fedha za Uviko 19, wizara imejenga shule za msingi mpya 45 za ghorofa, kati ya hizo Unguja 23 na 22 Pemba.

Amesema tayari Wizara imeshajenga vyumba vya madarasa 1,200 kati ya vyumba vya madarasa 1,500 vilivyoahidiwa katika ilani ya CCM ya mwaka 2020/25.

Katibu Mkuu Wizara hiyo, Khamis Abdulla Said, amesema shule hiyo ya ghorofa mbili imegharimu Sh4 bilioni na ina vyumba vya madarasa 29, uwezo wa kubeba wanafunzi 1305 kwa wastani wa wanafunzi 45 kila darasa.

Amesema ina maabara, chumba cha kopyuta, viti vya kukalia maktaba, ofisi ya Mwalimu Mkuu, Ofisi ya msaidizi mwalimu mkuu, Ofisi tatu za walimu wakuu na vyoo 25.

“Pamoja na miundombinu hiyo pia serikali imeipatia viti na meza 1,305 kwa ajili ya wananfunzi na hakuna mwanafunzi atakayekaa chini,” amesema.

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year’s Most Read News Stories

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit

Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus.

The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease.

While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher

Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday).

“The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district.

Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak.

Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths.

The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases.

“We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said.

She said her administration immediately investigated the WHO’s alert.

“The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added.

Cross-border transmission

The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024.

The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations.

Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”

The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts.

The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever.

Transparency urged

Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures.

“This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said.

WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important.

“We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised.

The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced.

This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk.

Source: allafrica.com

Continue Reading