Pato, uchumi wa Zanzibar wapaa

Pato, uchumi wa Zanzibar wapaa

Pato, uchumi wa Zanzibar wapaa

Dar es Salaam. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Uchumi wa Zanzibar umekua kutoka asilimia 5.1 kutoka mwaka 2021 hadi asilimia 7.5 mwaka 2024.

Mbali ya uchumi pia pato la taifa (GDP) limeifikia Sh6.28 trilioni mwaka 2024 kutoka Sh4.2 trilioni mwaka 2020.

Ameyasema hayo wakati akiwasilisha utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya uchaguzi wa mwaka 2020 upande wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika siku ya pili ya Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, leo Jumapili, Januari 19, 2025 jijini Dodoma.

“Kwenye eneo la elimu, bajeti Wizara ya Elimu imeongezeka kutoka Sh265 bilioni mwaka fedha 2021/22 hadi kufikia Sh830 mwaka 2024/25 sawa na ongezeko la asilimia 212.6 kupitia bajeti hiyo,” amesema.

Abdulla amesema kutokana na ongezeko la bajeti hiyo skuli mpya 116 zenye madarasa zaidi ya 2,773 zikiwemo skuli 35 zenye ghorofa zikiwa na ofisi za walimu, maabara za kisasa, kumbi za kufanyia mikutano zilizopo mijini na vijijini.

Amesema uimarishwaji wa mazingira ya elimu kuanzia ngazi ya msingi, sekondari hadi vyuo umefanya kiwango cha ufaulu kuongeka kwa wanafunzi wa Zanzibar.

Akizungumzia upande wa sekta ya afya, amesema bajeti imeongezeka kutoka Sh177 bilioni mwaka wa fedha 2021 hadi Sh496 mwaka 2024. Amesema Serikali imekamilisha ujenzi wa hospitali 10 za wilaya na moja ya rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi.

“Sekta ya Maji Serikali imepeleka huduma ya maji safi na salama kote. Serikali imechimba visima 102 na kujenga matanki ya ujazo wa lita milioni 144 takribani 25, na kulaza mabomba yenye urefu wa km785.9,” ameainisha.

Amesema pia huduma ya umeme imeendelea kusambazwa katika visiwa vya Unguja na Pemba huku Seirkali ikifikisha huduma hiyo katika vijiji 222 sawa na zaidi ya asilimia 72.

“Aidha gharama za kuunganisha umeme zimepungua kutoka Sh464,000 hadi Sh200,000 kwa wateja wasiozidi urefu wa mita30,” amebainisha.

Amesema kwa upande wa utalii mchango wake katika pato la taifa imefikia asilimia 30, huku idadi ya watalii ikiongezeka kutoka 260,644 mwaka 2020 hadi kufikia 736,755 mwaka 2024 sawa na ongezeko la asilimia 183.

“Filamu ya The Royal Tour iliyoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imechangia kuongezeka watalii, pia uboreshwaji wa miundombinu, mawasiliano na uwekezaji wa hoteli za kisasa,” amebainisha Makamu huyo wa pili wa Rais Zanzibar.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

‘No Marburg Confirmed In Tanzania’, But Mpox Remains ‘Public Health Emergency’
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

‘No Marburg Confirmed In Tanzania’, But Mpox Remains ‘Public Health Emergency’

‘No Marburg Confirmed In Tanzania’, But Mpox Remains ‘Public Health Emergency’

Monrovia — The Director General of the African Centers for Disease Control, Jean Kaseya, has said the center stands ready to support Tanzania and other countries in the region where suspected cases of the infectious Marburg Virus Disease have been identified. The World Health Organization earlier this week issued an alert warning of a possible outbreak in the country, although the Tanzanian Health Ministry has said tests conducted on available samples did not show the existence of Marburg in the East African nation.

“As of the 15 of January 2025, laboratory results from all suspected individuals were negative for Marburg Virus,” Tanzanian Health Minister Jenista Mhagama said in a statement. This would have marked the country’s second experience with the highly infectious disease that recently killed over a dozen people in neighboring Rwanda. Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in 2023 in the  Kegara region, said to have been the epicenter of the new suspected cases.

At the Africa CDC online briefing on Thursday, Kaseya also said another infectious disease, Mpox, “remains a public health concern”. He said that while in December 2024, the disease had afflicted 20 countries, a new country – Sierra Leone – has been added to the number after recent outbreak there. Sierra Leonean health authorities said on January 10 that two cases of Mpox had been confirmed in the country and dozens of contacts are being traced.

With thousands of confirmed cases of Mpox across Africa and more than 1000 people having died of the disease  – mainly in Central Africa – Kaseya emphasized the need to increase testing, a theme he’s heralded before. The Africa CDC boss said over the next few months the continental health watchdog will deploy additional epidemiologists and community health workers to areas considered hot spots of infectious diseases in the region.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Britam half-year net profit hits Sh2bn on higher investment income
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Britam half-year net profit hits Sh2bn on higher investment income

Insurer and financial services provider Britam posted a 22.5 percent jump in net earnings for the half-year ended June 2024, to Sh2 billion, buoyed by increased investment income.

The rise in half-year net profit from Sh1.64 billion posted in a similar period last year came on the back of net investment income rising 2.5 times to Sh13.27 billion from Sh5.3 billion.

“We are confident in the growth and performance trend that Britam has achieved, supported by its subsidiaries in Kenya and the region. Our business is expanding its revenue base while effectively managing costs,” Britam Chief Executive Officer Tom Gitogo said.

“Our customer-centric approach is fueling growth in our customer base and product uptake, particularly through micro-insurance, partnerships, and digital channels.”

The investment income growth was fueled by interest and dividend income rising 34 percent to Sh9.1 billion, which the insurer attributed to growth in revenue and the gains from the realignment of the group’s investment portfolio.

Britam also booked a Sh3.79 billion gain on financial assets at a fair value, compared with a Sh1.8 billion loss posted in a similar period last year.

The increased investment income helped offset the 12.7 percent decline in net insurance service result to Sh2.13 billion in the wake of claims paid out rising at a faster pace than that of premiums received.

Britam said insurance revenue, which is money from written premiums, increased to Sh17.8 billion from Sh16.6 billion, primarily driven by growth in the Kenya insurance business and regional general insurance businesses, which contributed 30 percent of the revenue.

The group has a presence in seven countries in Africa namely Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, South Sudan, Mozambique, and Malawi.

Britam’s insurance service expense hit Sh13.6 billion from Sh11.3 billion, while net insurance finance expenses rose 2.6 times to Sh12.3 billion during the same period.

“Net insurance finance expenses increased mainly due to growth in interest cost for the deposit administration business driven by better investment performance. This has also been impacted by a decline in the yield curve, which has led to an increase in the insurance contract liabilities. The increase has been offset by a matching increase in fair value gain on assets,” said Britam.

Britam’s growth in profit is in line with that of other Nairobi Securities Exchange-listed insurers, which have seen a rise in profits.

Jubilee Holdings net profit in the six months increased by 22.7 percent to Sh2.5 billion on increased income from insurance, helping the insurer maintain Sh2 per share interim dividend.

CIC Insurance Group posted a 0.64 percent rise in net profit to Sh709.99 million in the same period as net earnings of Liberty Kenya nearly tripled to Sh632 million from Sh213 million, while Sanlam Kenya emerged from a loss to post a Sh282.2 million net profit.

Continue Reading