Pato, uchumi wa Zanzibar wapaa

Pato, uchumi wa Zanzibar wapaa

Pato, uchumi wa Zanzibar wapaa

Dar es Salaam. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Uchumi wa Zanzibar umekua kutoka asilimia 5.1 kutoka mwaka 2021 hadi asilimia 7.5 mwaka 2024.

Mbali ya uchumi pia pato la taifa (GDP) limeifikia Sh6.28 trilioni mwaka 2024 kutoka Sh4.2 trilioni mwaka 2020.

Ameyasema hayo wakati akiwasilisha utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya uchaguzi wa mwaka 2020 upande wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika siku ya pili ya Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, leo Jumapili, Januari 19, 2025 jijini Dodoma.

“Kwenye eneo la elimu, bajeti Wizara ya Elimu imeongezeka kutoka Sh265 bilioni mwaka fedha 2021/22 hadi kufikia Sh830 mwaka 2024/25 sawa na ongezeko la asilimia 212.6 kupitia bajeti hiyo,” amesema.

Abdulla amesema kutokana na ongezeko la bajeti hiyo skuli mpya 116 zenye madarasa zaidi ya 2,773 zikiwemo skuli 35 zenye ghorofa zikiwa na ofisi za walimu, maabara za kisasa, kumbi za kufanyia mikutano zilizopo mijini na vijijini.

Amesema uimarishwaji wa mazingira ya elimu kuanzia ngazi ya msingi, sekondari hadi vyuo umefanya kiwango cha ufaulu kuongeka kwa wanafunzi wa Zanzibar.

Akizungumzia upande wa sekta ya afya, amesema bajeti imeongezeka kutoka Sh177 bilioni mwaka wa fedha 2021 hadi Sh496 mwaka 2024. Amesema Serikali imekamilisha ujenzi wa hospitali 10 za wilaya na moja ya rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi.

“Sekta ya Maji Serikali imepeleka huduma ya maji safi na salama kote. Serikali imechimba visima 102 na kujenga matanki ya ujazo wa lita milioni 144 takribani 25, na kulaza mabomba yenye urefu wa km785.9,” ameainisha.

Amesema pia huduma ya umeme imeendelea kusambazwa katika visiwa vya Unguja na Pemba huku Seirkali ikifikisha huduma hiyo katika vijiji 222 sawa na zaidi ya asilimia 72.

“Aidha gharama za kuunganisha umeme zimepungua kutoka Sh464,000 hadi Sh200,000 kwa wateja wasiozidi urefu wa mita30,” amebainisha.

Amesema kwa upande wa utalii mchango wake katika pato la taifa imefikia asilimia 30, huku idadi ya watalii ikiongezeka kutoka 260,644 mwaka 2020 hadi kufikia 736,755 mwaka 2024 sawa na ongezeko la asilimia 183.

“Filamu ya The Royal Tour iliyoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imechangia kuongezeka watalii, pia uboreshwaji wa miundombinu, mawasiliano na uwekezaji wa hoteli za kisasa,” amebainisha Makamu huyo wa pili wa Rais Zanzibar.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease

Dodoma — Tanzania today confirmed an outbreak of Marburg virus disease in the northwestern Kagera region after one case tested positive for the virus following investigations and laboratory analysis of suspected cases of the disease.

President of the Republic of Tanzania, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, made the announcement during a press briefing alongside World Health Organization (WHO) Director-General, Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, in the country’s administrative capital Dodoma.

“Laboratory tests conducted in Kabaile Mobile Laboratory in Kagera and later confirmed in Dar es Salaam identified one patient as being infected with the Marburg virus. Fortunately, the remaining suspected patients tested negative,” the president said. “We have demonstrated in the past our ability to contain a similar outbreak and are determined to do the same this time around.”

A total of 25 suspected cases have been reported as of 20 January 2025, all of whom have tested negative and are currently under close follow-up, the president said. The cases have been reported in Biharamulo and Muleba districts in Kagera.

“We have resolved to reassure the general public in Tanzania and the international community as a whole of our collective determination to address the global health challenges, including the Marburg virus disease,” said H.E President Hassan.

WHO is supporting Tanzanian health authorities to enhance key outbreak control measures including disease surveillance, testing, treatment, infection prevention and control, case management, as well as increasing public awareness among communities to prevent further spread of the virus.

“WHO, working with its partners, is committed to supporting the government of Tanzania to bring the outbreak under control as soon as possible, and to build a healthier, safer, fairer future for all the people of Tanzania,” said Dr Tedros. “Now is a time for collaboration, and commitment, to protecting the health of all people in Tanzania, and the region, from the risks posed by this disease.”

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

“The declaration by the president and the measures being taken by the government are crucial in addressing the threat of this disease at the local and national levels as well as preventing potential cross-border spread,” said Dr Matshidiso Moeti, WHO Regional Director for Africa. “Our priority is to support the government to rapidly scale up measures to effectively respond to this outbreak and safeguard the health of the population,”

Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in March 2023 – the country’s first – in Kagera region, in which a total of nine cases (eight confirmed and one probable) and six deaths were reported, with a case fatality ratio of 67%.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Marburg virus is transmitted to people from fruit bats and spreads among humans through direct contact with the bodily fluids of infected people, surfaces and materials. Although several promising candidate medical countermeasures are currently undergoing clinical trials, there is no licensed treatment or vaccine for effective management or prevention of Marburg virus disease. However, early access to treatment and supportive care – rehydration with oral or intravenous fluids – and treatment of specific symptoms, improve survival.

Source: allafrica.com

Continue Reading