NBS yawabana wazalishaji wa takwimu nchini

NBS yawabana wazalishaji wa takwimu nchini

Dodoma. Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) imekabidhi ripoti ya utafiti ya Sheria ya Takwimu, lengo likiwa ni kuiwezesha Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kuweka mfumo utakaowezesha wazalishaji wote wa takwimu rasmi kuwasilisha takwimu zao katika ofisi hiyo.

Mwenyekiti wa LRCT, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Winfrida Korosso amesema hayo leo Jumatatu Machi 24, 2025 wakati wakikabidhi ripoti za utafiti kwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro.

Pamoja na ripoti ya Sheria ya Taifa ya Takwimu, LRCT imekabidhi utafiti kuhusu mfumo wa sheria zinazosimamia vyama vya ushirika nchini.

Akizungumza kabla ya kukabidhi, Jaji Winfrida amesema mapitio ya Sheria ya Takwimu yalitokana na ombi la NBS yanayolenga kuwezesha kuwekwa kwa mfumo utakaowezesha wazalishaji wote wa takwimu rasmi kuwasilisha takwimu zao katika ofisi hiyo.

“Kwa sababu ofisi hiyo (NBS) ndio chombo chenye mamlaka ya kusimamia, kuratibu na kuhifadhi takwimu rasmi nchini na kurahisisha utaratibu ama mfumo wa upatikanaji wa takwimu kutoka kwenye mamlaka husika moja kwa moja,”amesema.

Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria (LCRT) Jaji wa Mahakama ya Rufani, Winfrida Korosso akizungumza wakati akiwasilisha ripoti za utafiti wa sheria katika Ofisi ya Wizara ya Katiba na Sheria katika mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.

Amesema mfumo huo ni badala ya njia inayotumika sasa ambayo kila mzalishaji wa takwimu rasmi, anazitunza na kuzisambaza bila kuziwasilisha NBS.

Jaji Winfrida amesema lengo la mabadiliko hayo ni kuifanya NBS kuwa chimbuko la takwimu zote hapa nchini, pia ndio inayoongoza na kutoa miongozo mbalimbali kuhusu takwimu rasmi za Serikali.

“Tume imebaini kuna changamoto za kisera, kisheria na kiutawala zinazochangia kukosekana kwa mazingira wezeshi ya uwasilishaji wa takwimu rasmi kwenye ofisi hiyo ambayo ndiye anasimamia kanzidata za Taifa, mratibu na msimamizi wa takwimu rasmi,”amesema.

Akizungumza baada ya kupokea ripoti hizo, Dk Ndumbaro ameiagiza tume hiyo kutengeneza utaratibu unaoeleweka wa utunzi na marekebisho ya sheria, ambao utatumika na kila mtu ambaye anataka kutunga ama kufanya marekebisho ya sheria nchini.

“Na katika utaratibu huo Tume ya Kurekebisha Sheria ndio anakuwa controller (mwongozaji), tusikilize maelezo ya wadau na mahitaji yao lakini tufanye utafiti, ulinganifu na sheria nyingine, nchi nyingine na mambo mengine ya Katiba na ndipo tutakuja na sheria,”amesema.

Amesema haipendezi Serikali kupeleka muswada bungeni unagonga mwamba na kurudi serikalini kwa sababu chombo cha kufanya utafiti wa sheria ambacho ni tume hakikutumika.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Addis Ababa, January 20, 2025</Strong> — Tanzania has declared a Marburg virus disease (MVD) outbreak after confirming one case and identifying 25 suspected cases in the Kagera Region of Northwestern Tanzania. The Marburg virus, a highly infectious and often fatal disease, is similar to Ebola and is transmitted to humans from fruit bats and monkeys. This outbreak marks the nation’s second encounter with the deadly virus, following the outbreak in Bukoba District of Kagera Region in March 2023, which resulted in nine cases and six deaths.

In response to this urgent threat, the Africa CDC is mobilizing strong support to help Tanzania contain the outbreak. A team of twelve public health experts will be deployed as part of an advance mission in the next 24 hours. The multidisciplinary team includes epidemiologists, risk communication, infection prevention and control (IPC), and laboratory experts to provide on-ground support for surveillance, IPC, diagnostics, and community engagement.

The Director-General of Africa CDC, Dr. Jean Kaseya, has engaged with Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan and the Minister of Health to ensure coordinated efforts and secure political commitment for the response.

“Africa CDC stands firmly with Tanzania in this critical moment. To support the government’s efforts, we are committing US$ 2 million to bolster immediate response measures, including deploying public health experts, strengthening diagnostics, and enhancing case management. Building on Tanzania’s commendable response during the 2023 outbreak, we are confident that swift and decisive action, combined with our support and those of other partners, will bring this outbreak under control,” Dr. Kaseya stated.

Africa CDC has recently supported efforts to enhance the diagnostic and sequencing capacity of public health laboratories in Tanzania. PCR Test kits and genomic sequencing reagents have been dispatched, with additional supplies in the pipeline. To ensure rapid identification and confirmation of cases, the institution will also provide technical assistance to strengthen detection and genome sequencing for better characterization of the pathogen. Additionally, support will be provided to improve case management protocols and enhance the capacity to deliver safe and effective treatment.

Africa CDC is committed to working closely with the Government of Tanzania, regional partners, international organizations, and global stakeholders, including the World Health Organization, to stop the spread of the Marburg virus.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Popular
Chief Editor

Insecurity prompts Zanzibar to review its lucrative island leasing

The Tanzanian central government is planning to boost its security presence in the Zanzibar archipelago. A commission tasked with auditing the country’s security forces was appointed in July by President Samia Suluhu Hassan. It says it is concerned about the situation in the country’s Indian Ocean islands that are under the control of the semi-autonomous Zanzibar local government.Continue Reading