Mwelekeo mpya matumizi ya magari ya umeme Tanzania

Mwelekeo mpya matumizi ya magari ya umeme Tanzania

Mwelekeo mpya matumizi ya magari ya umeme Tanzania

Dar es Salaam. Wakati mwamko wa matumizi ya vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme ikiwemo pikipiki na magari ukiongezeka nchini, wadau kwa kushirikiana na Serikali wamekutana kujadili mfumo utakaotoa mwongozo wa uingizaji na utumiaji wa vyombo hivyo.

Uwepo wa mafundi wabobezi, uingizaji wa vyombo hivyo, gharama, taratibu za usajili, utambuzi na uelewa ni miongoni mwa yaliyojadiliwa katika warsha hiyo.

Warsha hiyo ya maendeleo ya mfumo wa kitaifa wa kuhamia matumizi ya umeme (e-mobility) imefanyika leo Desemba 17, 2024 jijini Dar es Salaam.

 Imeelezwa moja ya faida ya matumizi ya vifaa mwendo vinavyotumia umeme ni pamoja na kutochafua mazingira, gharama ndogo za kuchajisha na kupunguza hewa ukaa na hewa joto.

Miongoni mwa vigingi vinavyoikabili sekta hiyo hapa nchini ni uhaba wa wataalamu, kodi kubwa na changamoto za kisera.

Kwa mujibu wa ripoti ya E-Mobility Alliance iliyotolewa Machi 2023, Tanzania ina vyombo vya moto vinavyotumia umeme 5,000 idadi ambayo ni ndogo kutokana na uelekeo wa dunia katika matumizi ya nishati safi, lakini ni kubwa kwa nchi za Afrika Mashariki.

Pengine idadi ya vyombo hivyo ingekuwa zaidi ya hiyo, lakini ripoti hiyo inaeleza uwepo wa changamoto hizo kama kodi kubwa katika bidhaa hizo, uelewa mdogo wa jamii, umbali wa huduma za umeme na kutokuwepo kwa sera za wazi.

Akizungumza na Mwananchi Digital kwenye warsha hiyo, Meneja wa Ubunifu na Teknolojia kutoka Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk Gerald Kafuku amesema kwa sasa muundo wa kisera unatengenezwa na utaunganishwa kisha utapelekwa wizara za fedha na uchukuzi kwa ajili ya kuingizwa kwenye mwaka ujao wa fedha 2024/25.

 “Ziingizwe kwenye sheria ya kodi ili kuwe na mazingira wezeshi yatakayofahamika kitaifa kwa ajili ya kutumika kusajili vyombo hivyo na hata miundombinu ya kuchajia. Tunafikiria hata watu wenye vituo vya mafuta wawe na sehemu za kuchajia hivyo inabidi waelewe ndio maana tumekutana ili kujadili,” amesema Dk Kafuku.

 “Wenzetu Taasisi ya Nishati Jadidifu ya Elico Foundation tuliokutana nao hii leo wanaandaa muundo wa kisera kwa upande wa pikipiki za matairi mawili na matatu, halafu kama Taifa tunaandaa muundo wa kisera wa ujumla kwa vyombo vyote,” amebainisha.

Mkurugenzi Mtendaji wa Elico, Sisty Basil amesema wameamua kushirikiana na Serikali kuanzia kujifunza kwa nchi zilizoendelea kwenye uendeshaji wa vyombo hivyo.

Amesema waliamua kwenda na Serikali kujifunza kwa nchi zilizoendelea kama China juu ya changamoto, vituo vya kuchajia, sehemu za kubadilishia betri ili kupata ujuzi zaidi.

“Baada ya kujifunza tukagundua tuwe na sera moja ya kushusha bei ya uingizaji, kuwa na vyuo vitakavyozalisha mafundi pale tutakapokuwa na magari, hivyo tumeamua kukutana kujadiliana tuliyoyaona huko na mapendekezo yetu kwenye rasimu ya sera ikiwemo kutatua changamoto,” amesema.

Amesema Tanzania bado haina sera inayosimamia magari ya umeme hivyo mawasilisho hayo yataenda kwenye mapendekezo ya sera ya Tanzania ya magari ya umeme, kisha kwenda bungeni na baadaye kuwa sheria.

Mkuu wa idara ya umeme wa Chuo cha Ufundi Arusha, Mhandisi Ally Ngulugulu amesema kupatikana na teknolojia hiyo mpya ya E-Mobility wamejiandaa kuhuisha mitaala kwa ajili ya kuzalisha wataalamu watakaoendana na teknolojia hiyo ya kisasa.

Ofisa usafiri wa  Wizara ya Uchukuzi Idara ya huduma za uchukuzi, Mario Kazimoto amesema suala la vyombo vya usafiri vya umeme, linapaswa kuungwa mkono kutokana na kuwa na faida kemkem ikiwemo kutokuwa na kelele.

Amesema hata Serikali inaunga mkono akitolea mfano kuanza kwa treni ya umeme ya (SGR).

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Karume faults lease of Zanzibar Islets
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

Karume faults lease of Zanzibar Islets

Diplomat Ali Karume has faulted the decision by the revolutionary government of Zanzibar to lease the islets that surround the islands of Unguja and Pemba to private developers saying it was absolutely not in Zanzibar’s national interests.Continue Reading

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model

Tanzania is winning the battle against maternal and newborn deaths, as the latest numbers reveal a significant decline.

“Tanzania is committed to reducing maternal and newborn mortality and ensuring safe deliveries as part of the national development plan. The Safer Births Bundle of Care is one of the key strategies supporting this effort,” said Dr. Benjamin Kamala, the Senior Research Scientist at Haydom Lutheran Hospital and Principal Investigator for the program, leading its implementation across five regions in Tanzania.

A groundbreaking study published in the New England Journal of Medicine shows that the innovative health program in Tanzania – centered on regular, on-the-job training for healthcare workers – reduced maternal deaths by 75% and early newborn deaths by 40%. The three-year study, conducted across 30 high-burden healthcare facilities in Tanzania, tracked approximately 300,000 mother-baby pairs under the Safer Births Bundle of Care (SBBC) programme. The programme focuses on improving care for mothers and babies during the day of birth, the critical time when a woman goes into labor and delivers her baby.

Maternal health is a key focus of the United Nations Sustainable Development Goals (SDGs), specifically Target 3.1, which aims to reduce the global maternal mortality ratio to fewer than 70 deaths per 100,000 live births by 2030.

Tanzania’s program combines continuous, simulation-based training for frontline healthcare workers alongside innovative clinical tools to improve labour monitoring (fetal heart rate monitoring) and newborn resuscitation.It also uses data to drive ongoing improvements, ensuring that healthcare workers have the skills, confidence, and competence to manage birth-related complications for both mothers and newborns.

“We work closely with healthcare workers, equipping them with the necessary tools to improve the quality of care, ensuring they can effectively manage both mothers and babies during and after childbirth,” Dr. Kamala said, which helps them build on over a decade of innovative research and collaboration to improve care during childbirth.

“To give you a sense of the scale of the burden of maternal and newborn mortality in Tanzania when the Safer Births Bundles of Care program was in early development in 2015/16, there were around 556 maternal deaths per 100,000 live births and 25 neonatal deaths per 1,000 live births,” he said.

The published study demonstrates the “transformative impact” of the Safer Births Bundle of Care program conducted across 30 hospitals in five high-burden regions of Tanzania, where there were about 300,000 mother-baby pairs.

Maternal deaths at the start of the program were recorded at 240 per 100,000 live births, with postpartum hemorrhage and hypertensive disorders being the leading causes of death, he said. Over the 24-month study period, this number dropped to approximately 60 per 100,000 live births, representing a 75% reduction. The number of newborn deaths – which are primarily due to breathing difficulties and complications related to prematurity – declined by 40% – from 7 deaths per 1,000 live births to 4 deaths per 1,000 live births.

“These results are remarkable,” Dr. Kamala said.

According to Dr. Kamala, the 75% reduction in maternal deaths was not expected, and a key lesson was the important role of the in-situ team simulations – including for postpartum bleeding – with reflective debriefings that trained facilitators led.

“This seems to be a major part of the success of the program,” he said. “We are delighted by these results and hope that other countries adopt and scale the Safer Births Bundle of Care program… Beyond the numbers, the Safer Births Bundle of Care program has fostered a dramatic culture shift in our healthcare system,” he said. “Healthcare workers are now more confident and better equipped to handle birth-related complications for both mothers and babies.”

Maternal death drop

Dr. Kamala attributed the 60-70% reduction in newborn deaths in Geita and Manyara to several factors.

“Firstly, Manyara was the first site for implementation, giving the region more time to adapt and experience the impact of the program. Most importantly, both regions had a high burden of stillbirths and neonatal deaths, making them ideal targets for focused intervention. As a result, newborn deaths decreased by 60-70%, showcasing a clear positive impact on newborn survival,” he said.

Dr. Kamala said another possible explanation is the differences in the culture of practices, where some health facilities reported inaccurate data due to the fear of blame and shame. However, with the project’s implementation, reporting became more accurate after mplementation. Some regions, such as Tabora, reported an increase in the number of referrals to the study hospitals from other care centers after the program was implemented. These were more likely to be late admissions, which increase the likelihood of poor health outcomes, he said.

After the implementation of the program, there was a 40% decrease in newborn deaths within the first 24 hours after birth, according to the study.

Dr. Kamala said Tanzania’s remarkable progress in reducing maternal mortality by 80% is driven by strategic investments and innovative programs focused on improving maternal and child survival rates.

“Over 2,000 new healthcare facilities have been developed, free health services are being provided to expectant mothers and children under the age of five, and emergency obstetric care – including better transport to hospitals in rural areas are helping to ensure timely, life-saving interventions.

“Most importantly, the Ministry of Health works in collaboration with healthcare workers, hospitals, and development partners to strengthen the skills of frontline healthcare workers, which has been a key factor in driving this progress.

“Political leadership, alongside strategic partnerships and financing, has been crucial in driving progress in maternal and newborn health,” he said.

The program was made possible by the support of the Global Financing Facility for Women, Children, and Adolescents, Norad, UNICEF, and Laerdal Global Health, as well as the Ministry of Health and Haydom Lutheran Hospital. Their partnership and investment enabled the scaling of the Safer Births Bundle of Care to 30 hospitals and supported the research. “The government has now scaled the program to over 150 sites, and there are plans for further expansion to three regions this year and then nationally,” he said.

Dr. Kamala outlined key policy recommendations for other governments can adopt to prioritize maternal health.

“Firstly, it focuses on cost-effective and relatively simple interventions that are essential to preventing maternal and newborn deaths. For example, stronger primary healthcare that is delivered in the community and a well-trained healthcare workforce are also critical. Additionally, working in close collaboration with national, regional, and local health authorities is key.”

He said Tanzania’s approach, where the Safer Births Bundle of Care program was successfully scaled and sustained by aligning the initiative with national guidelines for obstetrical and newborn care. In addition, the creation of mentorship programs and regular supervision has helped to sustain the results.

Looking ahead

Tanzania now plans to expand to three new regions in 2025, followed by a nationwide rollout.

The success of the program has attracted interest from other countries, with Botswana, Ethiopia, Lesotho, and Namibia expressing interest in adapting the program to their healthcare system. In Nigeria, the program has already been launched in two states, Gombe and Borno, marking a significant step in its scaling.

Source: allafrica.com

Continue Reading