Dar es Salaam. Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi linalochapishwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Daniel Makaka amepewa tuzo ya uandishi bora mwaka 2022 kwa upande wa magezeti kutokana na mchango wake katika kuandika habari zinazogusa jamii.
Tuzo hizo ambazo zimeandaliwa na Kampuni ya Eangle Entertainment zimetolewa usiku wa kuamkia leo Jumatatu Desemba 26, 2022 zikihusisha baadhi ya waandishi wa habari wa Wilaya ya Sengerema na watu wengine mbalimbali.
Makaka amepewa tuzo hiyo kutokana na habari yake aliyoiandika ambayo ilisaidia mwanafunzi aliyekuwa ameolewa na mwalimu na kushindwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano.
Habari hiyo iliyompa ushindi Makaka aliiandika mwaka 2018 na kuendelea kuifuatilia, ambapo baada ya habari hiyo, mwalimu huyo ambaye alimuoa mwanafunzi huyo mwaka 2016-18, alikamatwa na baadaye mwanafunzi alifanikiwa kujiunga kidato cha tano.
Hata hivyo, baada ya mwanafunzi huyo kuhitimu kidato cha sita alifaulu na sasa anaendelea na masomo Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Mwanza.
Akizungumza na Mwananchi baada ya kupokea tuzo hiyo, Makaka amesema kuwa tuzo hiyo imempa ari ya kufanya kazi kwa bidii.
“Nimefurahi kupata tuzo hii, itazidi kunipa ari ya kufanya kazi kwa bidi, ingawa kipindi kile wakati nimeibua sakata hilo wapo ambao walinichukia lakini kwa vile niliona ni habari inayogusa jamii niliamua kuendelea nayo” amesema Makaka na kuongeza
“Kama mwandishi nitazidi kuandika habari zinazoibua changamoto za wananchi ili waweze kupata suluhu za changamoto hizo”
Mkurugenzi wa Kampuni ya Eagle Entertainment ambao ni waandaaji wa tuzo hizo, Hasani Kuku amesema kuwa wanatoa tuzo hizo ili kuleta chachu ya uchapa kazi kwa wahabari kuibua mambo yanayoihusu jamii.
Tuzo hizo pia zimetolewa kwa watu mbalimbali akiwamo, mbunge wa Sengerema Hamis Tabasamu, aliyepata tuzo ya heshima sambamba na Mkuu wa wilaya ya Sengerema, Senyi Ngaga naye amepata tuzo ya heshima kutokana na mchango wao wa kusimamia vema ukusanyaji wa mapato na miradi ya maendeleo.
Wengine waliopata tuzo hizo ni wasanii bora ambapo msanii Lidia Juwakali ambaye alipata tuzo mbili, MC Wilimu Buhilwa aliibuka mshindi.
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
Tanzania’s opposition party ACT Wazalendo honours veteran politician under new policy
Unguja. Opposition party ACT Wazalendo today officially bids farewell to its former Chairman, Juma Duni Haji, also known as Babu Duni, as part of a new policy designed to honor retired senior leaders at a ceremony held at Kiembesamaki, Zanzibar.
The initiative highlights the party’s commitment to recognizing and supporting individuals who have served with dedication and integrity.
Babu Duni, who stepped down earlier this year, was succeeded by Othman Masoud, now the First Vice President of Zanzibar.
The policy aims to provide ongoing respect and support to retired leaders, ensuring their continued recognition and contribution to the party’s development.
“Recognizing their significant contributions to the development and prosperity of the party, this policy ensures that retired leaders continue to be acknowledged and respected by both the party and the community,” the policy states.
To benefit from this policy, leaders must not have left or been expelled from the party. They must have served the party with honor and dedication. The national leadership committee will determine whether a leader has fulfilled these criteria.
The policy seeks to honor retired leaders, protect their dignity, acknowledge their contributions, leverage their ideas for the party’s growth, and support them to the best of the party’s ability.
In honoring these leaders, the party will provide a vehicle, the type of which will be determined by the national leadership committee. Additionally, they will receive a monthly allowance, with the amount also set by this committee.
Other benefits include health insurance. If a leader does not own a home, the party will cover their rent at a rate decided by the committee.
The leadership committee may also grant special recognition based on the leader’s contributions. Retired leaders will participate in decision-making meetings according to procedures outlined in the party’s constitution.
Depending on the party’s resources at the time, the policy may also apply to retired deputy chairpersons for both the mainland and Zanzibar, the Secretary-General, Deputy Secretary-General for both mainland and Zanzibar, and the party’s Attorney General.
Additionally, leaders, executives, or members with exceptional contributions to the party’s protection, advocacy, and defense may also benefit, as determined by the leadership committee.
Currently, those who are eligible for benefits under this policy include Juma Duni Haji (retired party Chairman) and Zitto Kabwe (retired party leader).Continue Reading
Zanzibar airport operators decry job losses over Dubai deal
Tanzania air operators say over 600 workers are set to lose their jobs after the semi-autonomous government of Zanzibar awarded a Dubai-based company exclusive rights to handle ground services at a refurbished airport.
The Tanzania Air Operators Association (Taoa) said in a statement that the contract awarded to Dnata, which is registered at the London Stock Exchange, was in breach of the law banning any company from having exclusive rights to ground-handling services at major airports.Continue Reading
How diplomatic intervention kept Air France, KLM in Zanzibar
It has, however, emerged, that the Netherland and France sought a diplomatic solution to a standoff at the Abeid Aman Karume International Airport, warning that it could disrupt Air France and KLM flights into Zanzibar, and later Dar es Salaam.Continue Reading