Dar es Salaam. Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi linalochapishwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Daniel Makaka amepewa tuzo ya uandishi bora mwaka 2022 kwa upande wa magezeti kutokana na mchango wake katika kuandika habari zinazogusa jamii.
Tuzo hizo ambazo zimeandaliwa na Kampuni ya Eangle Entertainment zimetolewa usiku wa kuamkia leo Jumatatu Desemba 26, 2022 zikihusisha baadhi ya waandishi wa habari wa Wilaya ya Sengerema na watu wengine mbalimbali.
Makaka amepewa tuzo hiyo kutokana na habari yake aliyoiandika ambayo ilisaidia mwanafunzi aliyekuwa ameolewa na mwalimu na kushindwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano.
Habari hiyo iliyompa ushindi Makaka aliiandika mwaka 2018 na kuendelea kuifuatilia, ambapo baada ya habari hiyo, mwalimu huyo ambaye alimuoa mwanafunzi huyo mwaka 2016-18, alikamatwa na baadaye mwanafunzi alifanikiwa kujiunga kidato cha tano.
Hata hivyo, baada ya mwanafunzi huyo kuhitimu kidato cha sita alifaulu na sasa anaendelea na masomo Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Mwanza.
Akizungumza na Mwananchi baada ya kupokea tuzo hiyo, Makaka amesema kuwa tuzo hiyo imempa ari ya kufanya kazi kwa bidii.
“Nimefurahi kupata tuzo hii, itazidi kunipa ari ya kufanya kazi kwa bidi, ingawa kipindi kile wakati nimeibua sakata hilo wapo ambao walinichukia lakini kwa vile niliona ni habari inayogusa jamii niliamua kuendelea nayo” amesema Makaka na kuongeza
“Kama mwandishi nitazidi kuandika habari zinazoibua changamoto za wananchi ili waweze kupata suluhu za changamoto hizo”
Mkurugenzi wa Kampuni ya Eagle Entertainment ambao ni waandaaji wa tuzo hizo, Hasani Kuku amesema kuwa wanatoa tuzo hizo ili kuleta chachu ya uchapa kazi kwa wahabari kuibua mambo yanayoihusu jamii.
Tuzo hizo pia zimetolewa kwa watu mbalimbali akiwamo, mbunge wa Sengerema Hamis Tabasamu, aliyepata tuzo ya heshima sambamba na Mkuu wa wilaya ya Sengerema, Senyi Ngaga naye amepata tuzo ya heshima kutokana na mchango wao wa kusimamia vema ukusanyaji wa mapato na miradi ya maendeleo.
Wengine waliopata tuzo hizo ni wasanii bora ambapo msanii Lidia Juwakali ambaye alipata tuzo mbili, MC Wilimu Buhilwa aliibuka mshindi.
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.
Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).
Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.
While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.
“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”
Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.
Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.
Sign up for free AllAfrica Newsletters
Get the latest in African news delivered straight to your inbox
“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”
ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition
On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.
He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:
At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.
There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.
Source: allafrica.com
For years, a UK mining giant was untouchable in Zambia for pollution until a former miner’s son took them on
For years, the people in the villages around Chingola in Zambia endured frequent health challenges and dead fish floating around in their water source, but that was just the beginning of their nightmare.Continue Reading
President Samia takes on Tanzania’s web of corruption
The President takes on the web of corruption in the Tanzanian government and quasi-government institutions flagged by the newest report by Controller & Auditor-General Charles Kichere. Continue Reading