‘Msiwe kikwazo wakimbizi kurejea nchini mwao’

‘Msiwe kikwazo wakimbizi kurejea nchini mwao’

Kibondo. Mashirika ya kuhudumia wakimbizi yaliyopo mkoani Kigoma yametakiwa kutokuwa kikwazo kwenye makubaliano yaliyowekwa na serikali za Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), ya kuhamasisha wakimbizi kujiandikisha na kurejea nchini mwao kwa hiari.

Hayo yamebainishwa Juni 20, 2024 wilayani Kibindo na Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi nchini, Sudi Mwakibasi wakati wa maadhimisho ya siku ya mkimbizi duniani yaliyofanyika katika kambi ya wakimbizi ya Nduta.

Amesema Serikali ya Tanzania inasimamia makubaliano hayo na hivyo kila mmoja anapaswa kutekeleza badala ya kuwa kikwazo.

“Kinachofanyika ni kupambania maslahi binafsi na taasisi , wakati Serikali inapambania maslahi ya watu wake na ya Warundi. Sasa haiwezekani Serikali kuumiza wakimbizi kwa sababu ya ajira, naombeni tuwasaidia wakimbizi kurejea nyumbani ili watumie fursa ya kwenda kujenga nchi yao,” amesema Mwakibasi.

Amesema ni vema viongozi wa kambi zote mbili na vyombo vya ulinzi na salama kuhakikisha vijana wa kiume kutotoka ndani ya kambi bila kibali maalumu kwani ni kinyume cha sheria na taratibu zilizopo kwani Serikali haijui wanaenda wapi na kufanya nini.

Mwakilishi wa Shirika la UNHCR nchini Tanzania, Mahoua Parums amesema kama hali inaruhusu wakimbizi hao anapenda kuwahamasisha kuangalia suluhisho la kudumu la urejeaji kwa hiari nchini mwao.

“Ndio tuna masuluhisho mengine lakini nyumbani ni nyumbani, hivyo ni vema kama hali inaruhusu waweze kurejea nyumbani kwa hiari na kwenda kuijenga nchi yao, jambo ambalo ni zuri na linaleta faraja,” amesema Parums.

Akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Kigoma, Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Kanali Aggrey Magwaza amesema hadi sasa wakimbizi ambao wamesharejea nchini kwao kwa hiari ni 170,000 huku wakimbizi waliopo hadi sasa kwa  kambi ya Nduta na Nyarugusu wakifikia 246,000.

Nao baadhi ya wakimbizi wa kambi ya Nduta,  wamesema wanaendelea kujiandikisha ili waweze kurejea nchini kwao kwa hiari,  na kwamba hakuna mwananchi anayeweza kuikimbia nchi yake bila sababu na kwenda kuwa mkimbizi kwenye nchi nyingine.

Mkimbizi Donatha Nibiza amesema Serikali ya Tanzania inatekeleza shughuli ya kuwarudisha nyumbani kwa hiari wakimbizi nchini kwao, lakini kila mkimbizi amekimbia kwa sababu zake maalumu, hivyo ni muhimu kuchukua hatua ya kuwasikiliza kwanza na kujua sababu zipi hasa zilizowafanya waweze kukimbia nchini kwao.

Iveti Nibaruza amesema yeye yupo tayari kurejea nchini kwake kwa hiari na kwamba muda wa promosheni uliotolewa na pande zote,  anauunga mkono na atatumia kipindi hicho kwenda nchini kwake kuijenga nchi yake.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’
Top News
Chief Editor

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Monrovia — The Rwanda Minister of State responsible for Health, Dr. Yvan Butera, cautioned that while the country is beginning to see positive signals in its fight against the Marburg virus, the outbreak is “not yet over”. He, however, expressed hope that  “we are headed in that direction”. The minister said the epidemiology trend, since the disease was first discovered in the country more than a month ago, is moving towards fewer cases.

Dr. Butera, who was giving updates during an online briefing yesterday, said in the past two weeks, only two deaths were recorded while 14 people recovered from the disease. He said Rwanda was expanding its testing capacity with 16,000 people already inoculated against the disease.

The priority right now, Butera said, is “rapid testing and detection”.

Marburg is a highly virulent disease transmitted through human-to-human contact or contact with an infected animal. The fatality rate of cases, which has varied over the period, is more than 50%, according to the World Health Organization.  WHO said the highest number of new confirmed cases in Rwanda were reported in the first two weeks of the outbreak. There’s been a “sharp decline” in the last few weeks, with the country now tackling over 60 cases.

At Thursday’s briefing, a senior official of the Africa Centers for Disease Control, Dr. Ngashi Ngongo, said mpox – the other infectious disease outbreak that countries in the region are fighting – was been reported in 19 countries, with Mauritius being the latest country to confirm a case. He said although no new cases have been recorded in recent weeks in several countries where outbreaks occurred previously –  including Cameroon, South Africa, Guinea, and Gabon – Uganda confirmed its first Mpox death. This, he said, is one of two fatalities reported outside Central Africa.

Dr. Ngashi revealed that there was an increase in cases in Liberia and Uganda. He said mpox cases were still on an upward trend.

“The situation is not yet under control.”

Source: allafrica.com

Continue Reading