‘Sasa ni vigumu kubishana dhidi ya Messi kuwa mchezaji bora wa soka’

‘Sasa ni vigumu kubishana dhidi ya Messi kuwa mchezaji bora wa soka’

‘Sasa ni vigumu kubishana dhidi ya Messi kuwa mchezaji bora wa soka’

Lionel Messi alitembea peke yake kwenye mwangaza mmoja huku kukiwa na giza kwenye Uwanja wa Lusail na hatimaye kutwaa tuzo hiyo ambayo ameitafuta kwa maumivu makali katika maisha yake ya soka.

Mchezaji huyu nyota wa Argentina mwenye umri wa miaka 35 alisugua mikono yake pamoja akitarajia utukufu wake wa taji, akivaa vazi la kitamaduni la Kiarabu linalojulikana kama bisht, kabla ya kuinua Kombe la Dunia angani huku kukiwa na mlipuko ya mwangaza.

Messi alikuwa amefikia ndoto yake. Pengo katika mkusanyiko wake wa tuzo lilikuwa limezibwa baada ya fainali ya Kombe la Dunia ya kuvutia zaidi katika historia.

Sasa anaweza kuongeza Kombe la Dunia kwenye Ballons d’Or saba, Ligi za Mabingwa nne, Copa America moja, mataji 10 ya La Liga akiwa na Barcelona na taji la Ligue 1 huko Ufaransa akiwa na Paris St-Germain.

Hili ndilo kombe ambalo mamilioni ya mashabiki wa Messi sasa watatumia kama mfano katika hoja yao kwamba yeye ndiye bora zaidi kuwai kucheza mchezo huo.

Hili ni taji, karibu inchi 15 za dhahabu safi, ambalo sasa litawafanya wengi kusema Messi ndiye bora zaidi – na wale walio na mabishano ya kupinga watakuwa na ugumu wa kutetea madai yao.

Ulinganisho unapanuliwa kwa vizazi vingi, jambo ambalo linaongeza sura tofauti kwa mabishano yote, lakini hakuna anayeweza kukataa kuwa Messi ni wa kiwango moja na Pele na ambaye picha yake ilikuwa kwenye mabango mengi ya Argentina kwenye Uwanja wa Lusail siku ya Jumapili.

Bila shaka, Diego Maradona, mtangulizi wake maarufu katika jezi namba 10 ya Argentina, alikuwa na fyrsa kubwa ya kuwa mchezaji bora. Tofauti ilikuwa siku zote ni ushindi wake wa Kombe la Dunia huko Mexico miaka 36 iliyopita – ushindi ambao Messi hakuwa nao. Sasa hilo limeondolewa.

Messi daima atakuwa katika mjadala wowote kuhusu mchezaji bora zaidi, na ukweli kwamba sasa ana heshima kubwa zaidi ambayo mchezo wa kimataifa unapaswa kutoa na kuufanya mjadala wenye nguvu zaidi kuhusu sifa zake.

Unaanzaje kusimulia hadithi ya jinsi Messi alivyofikia kilele chake? Je, unasimuliaje matukio ambayo hatimaye yalipelekea Argentina kushinda Kombe la Dunia na kilele cha mashindano ambayo yatakuwa na jina la Lionel Messi milele?

Messi alipaswa kujua, kwa kuzingatia historia yake ya huzuni ya Kombe la Dunia na kukatishwa tamaa iliyoanzia 2006 na ikiwa ni pamoja na kupoteza fainali dhidi ya Ujerumani huko Rio’s Maracana mnamo 2014, kwamba hii ilikuwa heshima ambayo haingeweza kushindwa kwa urahisi.

Ukweli kwamba usiku huu wa kuvutia kwenye Uwanja wa Lusail ulikuwa na mateso mengi kwa Argentina na Messi kufikia kilele cha ushindi wao wa tatu wa Kombe la Dunia huenda ukaufanya uwe mtamu zaidi.

Na yote yalifanyika mbele ya kipaji kutoka kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ambaye, kama hajafikia hapo tayari, ataungana na Messi katika mjadala wowote kuhusu nyota wa kweli wa mchezo huo katika miaka ijayo: Mfaransa Kylian Mbappe.

Ufaransa ilionekana kutandaza zulia jekundu kwa kutawazwa kwa Messi huku wakitishia kwa dakika 80. Lusail alikuwa uwanja wa michezo wa Messi alipoifungia Argentina bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti, na kumfanya kuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya Kombe la Dunia kufunga katika hatua ya makundi, hatua ya 16 bora, robo fainali, nusu fainali na fainali katika mchuano mmoja.

Messi kisha akasaidia kuandaa bao la pili la Angel di Maria, sherehe zilianza miongoni mwa mashabiki wa Argentina hadi pambano lililokuwa likitarajiwa na Mbappe lilipobadilika kwa mtindo wa kustaajabisha.

Mbappe alifunga zikiwa zimesalia dakika 10, kisha akapiga shuti kali sekunde chache baadaye. Tabasamu la Messi kwenye skrini kubwa katika kila kona ya uwanja lilikuwa la kutoamini “sio tena”.

Messi, bila shaka, aliivusha Argentina kwa bao lake la pili katika muda wa nyongeza lakini Ufaransa, walisawazisha tena kwa mkwaju wa penalti wa Mbappe.

Katika mazingira ya mshangao, kipa wa Argentina Emiliano Martinez aliokoa kwa mguu wake kutoka kwa Randal Kolo Muani na Kombe la Dunia likiwa mikononi mwake katika sekunde za mwisho, ingawa bado kulikuwa na wakati kwa Lautaro Martinez kufunga kwa kichwa kwa goli ambalo lilikuwa wazi.

Kusema kwamba muda wa ziada ulikuwa wenye kasi ya juu haitakuwa sawa, huku baadhi ya mashabiki hata wakificha macho yao wakati huo, huo ulikuwa mvutano usiovumilika.

Ilikuwa na mafadhaiko makubwa, ilienda kwenye mikwaju ya penalti ambayo Argentina ilishinda 4-2, njia chungu ya kusuluhisha mchezo ambao sasa utazungumzwa kila Kombe la Dunia litakapojadiliwa.

Wakati Gonzalo Montiel alipofunga kiki hilo la maamuzi, Messi alipiga magoti huku akitokwa na machozi katikati ya duara, mikono iliyoinuliwa kuelekea mbinguni kabla ya kuzikwa chini ya mashati yenye mistari ya rangi ya samawati na nyeupe.

Kisha aliomba kipaza sauti kuhutubia wafuasi wa Argentina huku kukiwa na sherehe na shangwe

Messi alitwaa Mpira wa Dhahabu kwa mchezaji bora wa michuano hiyo, mchezaji wa kwanza kushinda mara mbili tangu ilipoanzishwa mwaka 1982, baada ya kushinda tuzo hiyo mwaka 2014.

Sasa amehusika katika mabao 21 ya Argentina kwenye Kombe la Dunia – mabao 13 na ya kusaidia nane, idadi kubwa zaidi ya mchezaji yeyote kwa taifa lolote. Mabao katika fainali hii ya Kombe la Dunia yanampa mabao 793 katika maisha yake ya soka. Pia alikuwa mchezaji wa kwanza kufunga katika kila raundi katika mashindano yale yale ya Kombe la Dunia la wanaume.

Kulikuwa na takwimu moja ambayo ilikuwa muhimu zaidi ya nyingine zote usiku huu: Messi hatimaye alikuwa mshindi wa Kombe la Dunia .

Alikaa juu ya mchoro nane ambapo alipokea Kombe la Dunia na timu yake, akijivunia ukweli kwamba mwishowe anaweza kujaza nafasi hiyo kwenye kabati lake la kombe. Ilikuwa ni hatua iliyojaa marafiki na familia ya kikosi cha Argentina, nchi yao sasa imerejea kileleni mwa ulimwengu wa soka kwa mara ya kwanza tangu 1986.

Wafuasi wa Argentina walikaa kwenye viti vyao kwa zaidi ya saa moja, wakipitia kitabu cha nyimbo ambacho kimekuwa wimbo wa kampeni yao ya Kombe la Dunia, wakitoa heshima kwa mtu waliyemtegemea. Mwanaume aliyefanisha ndoto zao.

Mshtuko wa kupoteza mechi ya ufunguzi kwa Saudi Arabia ulionekana kuwa wa zamani. Alikuwa ni Messi ambaye aliweka gia ya Kombe la Dunia la Argentina kwa bao zuri dhidi ya Mexico na hakuweza kuzuilika alipolibeba hadi mwisho.

Messi alikuwa na kombe la dhahabu mikononi mwake. Ilikuwa ni dhamira iliyokamilika – dhamira iliyoanzia zaidi ya miaka 16 hadi alipoingia kama mchezaji wa akiba katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Serbia na Montenegro nchini Ujerumani.

Sura ya mwisho ya hadithi ya Messi ya Kombe la Dunia ilikuwa ya kusisimua kutoka ya kwanza hadi ya mwisho dhidi ya Ufaransa, na njama hiyo ikiwa na mabadiliko mengi. Ilitoa mwisho mzuri katika usiku usioweza kusahaulika nchini Qatar.

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year’s Most Read News Stories

Popular
Swahili News Editor

MGAO WA MAJI WAWATESA WAZANZIBARI

Wananchi wengi hasa katika maeneo ya Mjini Unguja, wanalalamikia ukosefu wa maji safi na salama huku Mamlaka ya Maji Zanzibar ikikabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ujuzi na wataalam katika masuala ya uandisi wa Maji na fani nyengine.Continue Reading

Popular
Chief Editor

Insecurity prompts Zanzibar to review its lucrative island leasing

The Tanzanian central government is planning to boost its security presence in the Zanzibar archipelago. A commission tasked with auditing the country’s security forces was appointed in July by President Samia Suluhu Hassan. It says it is concerned about the situation in the country’s Indian Ocean islands that are under the control of the semi-autonomous Zanzibar local government.Continue Reading

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading