Majaliwa awapa ujumbe viongozi wa dini

Majaliwa awapa ujumbe viongozi wa dini

Manyara. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasihi viongozi wa dini nchini waendelee kukemea vikali vitendo vyote ambavyo ni kinyume na maadili ya dini na utamaduni wa Mtanzania.

Majaliwa ametoa rai hiyo leo Jumapili Machi 9, 2025 alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika ibada ya kuwekwa wakfu na kutawazwa kwa Askofu wa Pili wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kiteto, Askofu Bethuel Mlula iliyofanyika Kanisa Kuu la Anglikana la Mtakatifu Mikaeli, Kiteto mkoani Manyara.

“Ninawaomba viongozi wetu wa dini tuendelee kuliweka suala la kuimarisha malezi na kidhibiti mmomonyoko wa maadili kuwa ajenda ya kudumu. Lazima tuwe na maadili mema ili Taifa liwe endelevu,” amesema.

Aidha, Majaliwa amesema pamoja na masuala ya kiroho amewaomba viongozi wa dini waendelee kuwahamasisha waumini kuunga mkono ajenda mbalimbali za kitaifa, ikiwamo ya uhifadhi wa mazingira, kampeni ya nishati safi na upandaji miti pamoja na kushiriki katika hatua zote za uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amempongeza Askofu wa kwanza mstaafu wa kanisa hilo Askofu Isaiah Chambala kwa kazi kubwa aliyoifanya katika kipindi cha uongozi wake, pia ametumia fursa hiyo kumhakikishia ushirikiano wa kutosha kwa masilahi mapana ya Wana-Kiteto na Watanzania kwa jumla.

“Nitumie nafasi hii kuwahakikishia viongozi wetu wa dini kwamba Serikali ipo pamoja nanyi, tutaendelea kuwa na vikao vya pamoja na sisi tunathamini sana namna ambavyo mmejitoa kuiunga mkono Serikali hii”

Kwa upande wake, Askofu Mlula ameipongeza Serikali kwa jitihada kubwa zinazofanyika ili kuwaletea Watanzania maendeleo katika sekta mbalimbali nchini ikiwamo ya afya na elimu.

Aidha, Askofu Mlula ameipongeza Serikali kwa kusimamia amani umoja na utulivu iliyoasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume.

New Content Item (1)
New Content Item (1)

 “Amani ni tunu ambayo Mwenyezi Mungu ametupatia, tuitumie amani hii kujiletea maendeleo,”amesema.

Naye, Askofu wa Tanga na Askofu Mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania, Maimbo Mndolwa ametoa wito kwa wakazi wa Kiteto kwenda kuhakiki majina yao katika daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kushiriki uchaguzi mkuu wa wabunge na madiwani.

“Haki ya jina kuwepo kwenye daftari ni yako ila unaweza kuipoteza usipoitumia vizuri, tushiriki katika michakato iliyoandaliwa na Serikali.”

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease

Dodoma — Tanzania today confirmed an outbreak of Marburg virus disease in the northwestern Kagera region after one case tested positive for the virus following investigations and laboratory analysis of suspected cases of the disease.

President of the Republic of Tanzania, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, made the announcement during a press briefing alongside World Health Organization (WHO) Director-General, Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, in the country’s administrative capital Dodoma.

“Laboratory tests conducted in Kabaile Mobile Laboratory in Kagera and later confirmed in Dar es Salaam identified one patient as being infected with the Marburg virus. Fortunately, the remaining suspected patients tested negative,” the president said. “We have demonstrated in the past our ability to contain a similar outbreak and are determined to do the same this time around.”

A total of 25 suspected cases have been reported as of 20 January 2025, all of whom have tested negative and are currently under close follow-up, the president said. The cases have been reported in Biharamulo and Muleba districts in Kagera.

“We have resolved to reassure the general public in Tanzania and the international community as a whole of our collective determination to address the global health challenges, including the Marburg virus disease,” said H.E President Hassan.

WHO is supporting Tanzanian health authorities to enhance key outbreak control measures including disease surveillance, testing, treatment, infection prevention and control, case management, as well as increasing public awareness among communities to prevent further spread of the virus.

“WHO, working with its partners, is committed to supporting the government of Tanzania to bring the outbreak under control as soon as possible, and to build a healthier, safer, fairer future for all the people of Tanzania,” said Dr Tedros. “Now is a time for collaboration, and commitment, to protecting the health of all people in Tanzania, and the region, from the risks posed by this disease.”

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

“The declaration by the president and the measures being taken by the government are crucial in addressing the threat of this disease at the local and national levels as well as preventing potential cross-border spread,” said Dr Matshidiso Moeti, WHO Regional Director for Africa. “Our priority is to support the government to rapidly scale up measures to effectively respond to this outbreak and safeguard the health of the population,”

Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in March 2023 – the country’s first – in Kagera region, in which a total of nine cases (eight confirmed and one probable) and six deaths were reported, with a case fatality ratio of 67%.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Marburg virus is transmitted to people from fruit bats and spreads among humans through direct contact with the bodily fluids of infected people, surfaces and materials. Although several promising candidate medical countermeasures are currently undergoing clinical trials, there is no licensed treatment or vaccine for effective management or prevention of Marburg virus disease. However, early access to treatment and supportive care – rehydration with oral or intravenous fluids – and treatment of specific symptoms, improve survival.

Source: allafrica.com

Continue Reading