Madaktari wa wanyama 120 waondolewa sifa

Madaktari wa wanyama 120 waondolewa sifa

Dar es Salaam. Baraza la Veterinari Tanzania (TVA) limewafutia usajili madaktari wa wanyama 120 kwa kushindwa kutimizwa matakwa ya sheria ya baraza hilo.

Uamuzi wa kuwaondolea sifa wataalamu hao umefikiwa na baraza hilo katika kikao chake kilichoketi Desemba 23, 2024.

Taarifa iliyotolewa Desemba 30, 2024 na Baraza la Vetenari, inaeleza kuwa, kwa mamlaka iliyopatiwa kwa kifungu 25 (a), (b)(i)(ii) ya Sheria ya Veterinaria, sura 319, taarifa inatolewa kwa umma ya kuwa usajili wa madaktari wa wanyama 120 umefutwa.

“Baraza la Veterinari Tanzania katika kikao kilichofanyika Desemba 23, 2024 majina ya madaktari hao yameondolewa kwenye rejesta ya madaktari,” inaeleza taarifa hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kutoka ofisi ya Msajili wa Baraza la Vetenari madaktari hao hawaruhusiwi kujihusisha na shughuli yoyote inayohusiana na utoaji wa huduma ya afya ya wanyama.

“Majina ya madktari wa wanyama waliofutwa kwenye rejesta yameambatishwa na pia yanapatikana kwenye ya Baraza la Veterinari ambayo ni www.vct.go.tz,” imeandikwa kwenye taarifa hiyo.

Baraza la Vetenari Tanzania limeundwa chini ya kifungu cha 3 cha Sheria ya Veterinari, sura 319 likiwa na jukumu la kusimamia wataalamu wa afya ya wanyama na utolewaji wa huduma ya afya ya wanyama nchini.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’
Top News
Chief Editor

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Monrovia — The Rwanda Minister of State responsible for Health, Dr. Yvan Butera, cautioned that while the country is beginning to see positive signals in its fight against the Marburg virus, the outbreak is “not yet over”. He, however, expressed hope that  “we are headed in that direction”. The minister said the epidemiology trend, since the disease was first discovered in the country more than a month ago, is moving towards fewer cases.

Dr. Butera, who was giving updates during an online briefing yesterday, said in the past two weeks, only two deaths were recorded while 14 people recovered from the disease. He said Rwanda was expanding its testing capacity with 16,000 people already inoculated against the disease.

The priority right now, Butera said, is “rapid testing and detection”.

Marburg is a highly virulent disease transmitted through human-to-human contact or contact with an infected animal. The fatality rate of cases, which has varied over the period, is more than 50%, according to the World Health Organization.  WHO said the highest number of new confirmed cases in Rwanda were reported in the first two weeks of the outbreak. There’s been a “sharp decline” in the last few weeks, with the country now tackling over 60 cases.

At Thursday’s briefing, a senior official of the Africa Centers for Disease Control, Dr. Ngashi Ngongo, said mpox – the other infectious disease outbreak that countries in the region are fighting – was been reported in 19 countries, with Mauritius being the latest country to confirm a case. He said although no new cases have been recorded in recent weeks in several countries where outbreaks occurred previously –  including Cameroon, South Africa, Guinea, and Gabon – Uganda confirmed its first Mpox death. This, he said, is one of two fatalities reported outside Central Africa.

Dr. Ngashi revealed that there was an increase in cases in Liberia and Uganda. He said mpox cases were still on an upward trend.

“The situation is not yet under control.”

Source: allafrica.com

Continue Reading