Lipumba akumbuka alivyopewa mbuzi, kura sifuri alia na rafu

Lipumba akumbuka alivyopewa mbuzi, kura sifuri alia na rafu

Lipumba akumbuka alivyopewa mbuzi, kura sifuri alia na rafu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema rafu zilizojitokeza katika chaguzi za serikali za mitaa tangu wa mwaka 2019 na huu wa 2024, pamoja na Uchaguzi Mkuu 2020 zinamkumbusha mambo mengi.

Profesa Lipumba ameyasema hayo leo Jumatano, Desemba 18, 2024 wakati akitoa tathmini ya chaguzi hizo zilizofanyika ndani ya miaka mitano.

Akitolea mfano wa mwaka 2019, Profesa Lipumba amesema walisimamisha wagombea wao ambao walienguliwa karibia nchi nzima kwa sababu alizoziita si za msingi.

“Wengine walikuwa wenyeviti wa vijiji na mitaa waliambiwa hawana sifa kwa sababu hawajui kusoma na kuandika jambo ambalo halikuwa kweli, wengine waliambiwa wameshindwa kujaza fomu vizuri. Tulilalamika tukatoa taarifa na mwisho wa siku wagombea wetu hawakushiriki,” amesema.

Hata hivyo, Profesa Lipumba amesisitiza kwamba hawakukata tamaa wala kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, ingawa matokeo yake yaliwashangaza.

“Pamoja na kufanya kampeni nchi nzima katika uchaguzi wa mwaka 2020, tulipata kura za urais 75,000, mbunge mmoja bara na Zanzibar wabunge wawili,” amesema Profesa Lipumba.

Akikumbuka hali iliyowashangaza, amesema; “Kuna wilaya moja niliyofanya kampeni ambapo nilikaribishwa kwa heshima kubwa na hata kupewa mbuzi, lakini matokeo yalipotangazwa wilaya nzima yenye majimbo mawili sikupata hata kura moja.”

Akizungumza mkutano mkuu unaofanyika leo, Profesa Lipumba amesema una ajenda moja kuu ambayo ni uchaguzi wa viongozi watakaohudumu kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hata hivyo, amesema mkutano huo ulikuwa ufanyike Machi, ni kutokana na kukosekana kwa fedha.

“Mkutano ulipangwa ufanyike Machi, ukasogezwa hadi Septemba 15, 2024, lakini tena ukaahirishwa hadi Desemba 13, na hatimaye unafanyika leo,” amesema Profesa Kabudi.

Wajumbe wa mkutano huo watamchagua mwenyekiti, makamu mwenyekiti wa Bara na Zanzibar sambamba na wajumbe wa Baraza Kuu la chama. Profesa Lipumba ambaye anatetea kiti cha mwenyekiti, ameshahudumu kwenye nafasi hiyo kwa miaka 25.

Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, ameipongeza CUF kwa kufanikisha mkutano mkuu na kuendeleza demokrasia ndani ya chama hicho.

“Ofisi yetu ipo kuhakikisha vyama vya siasa vinazingatia demokrasia kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, sura ya 258, inayotaka viongozi wa vyama wachaguliwe au kuteuliwa kwa kufuata katiba ya chama husika,” amesema Nyahoza.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Samia Hands Over NBC’s 354m/ – Crop Insurance Compensation to Farmers Affected By Hailstorms

President Samia Suluhu Hassan, has handed over a cheque of 354m/- from the National Bank of Commerce (NBC) as compensation to tobacco farmers, who were affected by hailstorms during the previous farming season in various regions across the country.

Handing over the cheque in Dodoma, the compensation is part of the crop insurance service provided by NBC in collaboration with the National Insurance Corporation (NIC).

Furthermore, President Samia has also handed over health insurance coverage to members of the Lindi Mwambao Cooperative Union based in Lindi Region, through the Farmers’ Health Insurance service provided by the bank in partnership with Assurance Insurance Company.

While visiting the bank’s pavilion at the Nanenane Agricultural Exhibition and being received and briefed by the bank’s Managing Director, Mr. Theobald Sabi, she said: “This crop insurance is one of the crucial solutions in ensuring farmers have a reliable income, without fear of challenges such as natural disasters, including hailstorms.

“I call upon all farmers in the country to make the best use of this important opportunity by accessing these kinds of insurance services. I also highly commend NBC and all the stakeholders participating in this programme.”

Elaborating further on the crop insurance service, the Minister of Agriculture, Hussein Bashe, stated that it will help to recover the loss farmers incurred, especially in various calamities beyond their control.

Citing them as floods, fires, and hailstorms, which have significantly affected the well-being of farmers and caused some to be reluctant to invest in the crucial sector, Mr Bashe added: “However, our President, this step by NBC is just the beginning, as this is the second year since they started offering this service, and the results are already visible.

“As the government, we promise to continue supporting the wider implementation of this service, with the goal of ensuring that this crop insurance service reaches more farmers.”

ALSO READ: NBC participates in TFF 2023/24 awards, promises to enhance competition

On his part, Mr Sabi said that the farmers who benefited from the compensations are from 23 primary cooperative unions in the regions of Shinyanga, Geita, Tabora, Mbeya, Katavi, and Kigoma.

He added: “In addition to these insurance services, as a bank, through this exhibition, we have continued with our programme of providing financial education and various banking opportunities to farmers, alongside offering them various loans, including loans for agricultural equipment, particularly tractors, to eligible farmers.:

At the NBC booth, President Samia also had the opportunity to be briefed on the various services offered by the bank to the farmers namely crop insurance and health insurance services.

There, the President had the chance to speak with some of the beneficiaries of the services, including the Vice-Chairman of the Lindi Mwambao Primary Cooperative Union, Mr. Hassan Mnumbe, whose union has been provided with a health insurance card from the bank.

Source: allafrica.com

Continue Reading