Kikwete ataja kilichomsukuma kumteua Jaji Werema kuwa Mwanasheria Mkuu

Kikwete ataja kilichomsukuma kumteua Jaji Werema kuwa Mwanasheria Mkuu

Kikwete ataja kilichomsukuma kumteua Jaji Werema kuwa Mwanasheria Mkuu

Dar es Salaam. Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametaja umahiri wa sheria na misimamo katika kutaka haki kuwa miongoni mwa mambo yaliyomshawishi kumteua Frederick Werema kuwa Jaji wa Mahakama Kuu mwaka 2006.

Kikwete amesema hayo leo Januari 2, 2025 kwenye hafla ya kitaifa ya kuaga mwili wa Werema aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Jaji mstaafu, shughuli iliyofanyika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa.

Jaji Werema aliyeshika wadhifa wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuanzia mwaka 2009 hadi 2014, alifariki dunia Desemba 30, 2024 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alikokuwa akipatiwa matibabu.

Akizungumza katika shughuli hiyo, Kikwete amesema Jaji Werema aliteuliwa katika wadhifa huo na wenzake 20 pamoja na mahakimu kujibu kilio cha wakati huo cha uhaba wa wataalamu hao.

“Sifa zinazotajwa kwa Jaji Werema ndizo zilizonishawishi mwaka 2006 nimteue kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

“Mwaka ule Jaji Mkuu Barnabas Samatta alileta kwangu maombi ya kutaka majaji 10 lakini wakati ule kulikuwa na kilio kikubwa cha upungufu wa majaji na mahakimu.”

Amesema kilio cha upungufu wa wataalamu hao kilijengwa na hoja ya kwamba kuna ucheleweshaji hukumu za kesi zilizokuwa mahakamani.

“Nilipozungumza na Jaji Mkuu Samatta, jawabu lake lilikuwa ni kuongezewa majaji na mahakimu wa ngazi nyingine na wakati ananiletea mapendekezo hayo mwaka wa fedha ulikuwa umepita nusu yake, lakini uzuri wake kulikuwa na mishahara ya miezi sita ambayo haijatumika,” amesema.

Amesema aliridhia ombi hilo na kumuahidi kuwaongezea majaji wengine 10 ili kufikia idadi ya 20, kwa kuwa mishahara yao ilikuwepo.

“2006 ulikuwa mwaka wa kwanza kwa Mahakama kupata majaji 20 na mmoja wao alikuwa Jaji Werema na wakati wote ilikuwa ukikutana naye alikuwa na mawazo ya namna gani ya kuboresha tasnia ya sheria na kusimamia Serikali,” amesema.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amesema mwaka 1998, Jaji Werema aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa masuala ya Katiba na haki za binadamu katika Wizara ya Katiba na Sheria ambako alionyesha umahiri.

Amesema katika nafasi hiyo aliratibu marekebisho ya Katiba na kuanzishwa kwa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na alishiriki kikamilifu katika mageuzi ya michakato ya uchaguzi.

“Jaji Werema amechangia kuimarisha mifumo ya sheria na utawala bora pamoja na kuandaa mikataba mbalimbali ya kimataifa kwa niaba ya Serikali,” amesema.

Hamza ametaja miongoni mwa baadhi ya kazi alizowahi kufanya Jaji Werema ni sheria ya mabadiliko ya Katiba, sheria ya tume ya mabadiliko ya Katiba, sheria ya uchaguzi.

“Nyingine ni Sheria ya Mtoto, Sheria ya Watu Wenye Ulemavu na Sheria ya Madini,” amesema.

Pia Hamza amebainisha kuwa Jaji Werema ni miongoni mwa wanasheria waliokuwa wanaongoza mazungumzo ya kupata suluhu ya mgogoro wa ziwa Nyasa kati ya Tanzania na Malawi.

“Katika timu hiyo na mimi nilikuwepo alikuwa anatupa ushauri mzuri mazungumzo yalikuwa yanafanyika Maputo Msumbiji alikuwa mwenye uzalendo mkubwa,” amesema.

Awali, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Ally Possi amesema katika kesi ya Ziwa Nyasa, Jaji Werema alikuwa mstari wa mbele, huku wakieleza mambo yote aliyoyafanya yataendelea kutumika katika sekta ya sheria.

“Ameacha miongozo mizuri inayoendelea kutumika, kuna maamuzi kama 28 aliyoyatoa yenye tija ambayo tunaendelea kuyatumia kama marejeo,” amesema.

Mwili Werema umesafirishwa leo kuelekea mkoani Mara, ambapo mazishi yatafanyika nyumbani kwake Wilaya ya Butiama Jumamosi Januari 4, 2025.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading