Kikwete ataja kilichomsukuma kumteua Jaji Werema kuwa Mwanasheria Mkuu

Kikwete ataja kilichomsukuma kumteua Jaji Werema kuwa Mwanasheria Mkuu

Kikwete ataja kilichomsukuma kumteua Jaji Werema kuwa Mwanasheria Mkuu

Dar es Salaam. Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametaja umahiri wa sheria na misimamo katika kutaka haki kuwa miongoni mwa mambo yaliyomshawishi kumteua Frederick Werema kuwa Jaji wa Mahakama Kuu mwaka 2006.

Kikwete amesema hayo leo Januari 2, 2025 kwenye hafla ya kitaifa ya kuaga mwili wa Werema aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Jaji mstaafu, shughuli iliyofanyika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa.

Jaji Werema aliyeshika wadhifa wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuanzia mwaka 2009 hadi 2014, alifariki dunia Desemba 30, 2024 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alikokuwa akipatiwa matibabu.

Akizungumza katika shughuli hiyo, Kikwete amesema Jaji Werema aliteuliwa katika wadhifa huo na wenzake 20 pamoja na mahakimu kujibu kilio cha wakati huo cha uhaba wa wataalamu hao.

“Sifa zinazotajwa kwa Jaji Werema ndizo zilizonishawishi mwaka 2006 nimteue kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

“Mwaka ule Jaji Mkuu Barnabas Samatta alileta kwangu maombi ya kutaka majaji 10 lakini wakati ule kulikuwa na kilio kikubwa cha upungufu wa majaji na mahakimu.”

Amesema kilio cha upungufu wa wataalamu hao kilijengwa na hoja ya kwamba kuna ucheleweshaji hukumu za kesi zilizokuwa mahakamani.

“Nilipozungumza na Jaji Mkuu Samatta, jawabu lake lilikuwa ni kuongezewa majaji na mahakimu wa ngazi nyingine na wakati ananiletea mapendekezo hayo mwaka wa fedha ulikuwa umepita nusu yake, lakini uzuri wake kulikuwa na mishahara ya miezi sita ambayo haijatumika,” amesema.

Amesema aliridhia ombi hilo na kumuahidi kuwaongezea majaji wengine 10 ili kufikia idadi ya 20, kwa kuwa mishahara yao ilikuwepo.

“2006 ulikuwa mwaka wa kwanza kwa Mahakama kupata majaji 20 na mmoja wao alikuwa Jaji Werema na wakati wote ilikuwa ukikutana naye alikuwa na mawazo ya namna gani ya kuboresha tasnia ya sheria na kusimamia Serikali,” amesema.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amesema mwaka 1998, Jaji Werema aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa masuala ya Katiba na haki za binadamu katika Wizara ya Katiba na Sheria ambako alionyesha umahiri.

Amesema katika nafasi hiyo aliratibu marekebisho ya Katiba na kuanzishwa kwa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na alishiriki kikamilifu katika mageuzi ya michakato ya uchaguzi.

“Jaji Werema amechangia kuimarisha mifumo ya sheria na utawala bora pamoja na kuandaa mikataba mbalimbali ya kimataifa kwa niaba ya Serikali,” amesema.

Hamza ametaja miongoni mwa baadhi ya kazi alizowahi kufanya Jaji Werema ni sheria ya mabadiliko ya Katiba, sheria ya tume ya mabadiliko ya Katiba, sheria ya uchaguzi.

“Nyingine ni Sheria ya Mtoto, Sheria ya Watu Wenye Ulemavu na Sheria ya Madini,” amesema.

Pia Hamza amebainisha kuwa Jaji Werema ni miongoni mwa wanasheria waliokuwa wanaongoza mazungumzo ya kupata suluhu ya mgogoro wa ziwa Nyasa kati ya Tanzania na Malawi.

“Katika timu hiyo na mimi nilikuwepo alikuwa anatupa ushauri mzuri mazungumzo yalikuwa yanafanyika Maputo Msumbiji alikuwa mwenye uzalendo mkubwa,” amesema.

Awali, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Ally Possi amesema katika kesi ya Ziwa Nyasa, Jaji Werema alikuwa mstari wa mbele, huku wakieleza mambo yote aliyoyafanya yataendelea kutumika katika sekta ya sheria.

“Ameacha miongozo mizuri inayoendelea kutumika, kuna maamuzi kama 28 aliyoyatoa yenye tija ambayo tunaendelea kuyatumia kama marejeo,” amesema.

Mwili Werema umesafirishwa leo kuelekea mkoani Mara, ambapo mazishi yatafanyika nyumbani kwake Wilaya ya Butiama Jumamosi Januari 4, 2025.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Karume faults lease of Zanzibar Islets
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

Karume faults lease of Zanzibar Islets

Diplomat Ali Karume has faulted the decision by the revolutionary government of Zanzibar to lease the islets that surround the islands of Unguja and Pemba to private developers saying it was absolutely not in Zanzibar’s national interests.Continue Reading

Popular
Chief Editor

Zanzibar airport operators decry job losses over Dubai deal

Tanzania air operators say over 600 workers are set to lose their jobs after the semi-autonomous government of Zanzibar awarded a Dubai-based company exclusive rights to handle ground services at a refurbished airport.

The Tanzania Air Operators Association (Taoa) said in a statement that the contract awarded to Dnata, which is registered at the London Stock Exchange, was in breach of the law banning any company from having exclusive rights to ground-handling services at major airports.Continue Reading

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania today declared the end of Marburg virus disease outbreak after recording no new cases over 42 days since the death of the last confirmed case on 28 January 2025.

The outbreak, in which two confirmed and eight probable cases were recorded (all deceased), was the second the country has experienced. Both this outbreak, which was declared on 20 January 2025, and the one in 2023 occurred in the north-eastern Kagera region.

In response to the latest outbreak, Tanzania’s health authorities set up coordination and response systems, with support from World Health Organization (WHO) and partners, at the national and regional levels and reinforced control measures to swiftly detect cases, enhance clinical care, infection prevention as well as strengthen collaboration with communities to raise awareness and help curb further spread of the virus.

Growing expertise in public health emergency response in the African region has been crucial in mounting effective outbreak control measures. Drawing on experience from the response to the 2023 Marburg virus disease outbreak, WHO worked closely with Tanzanian health authorities to rapidly scale up key measures such as disease surveillance and trained more than 1000 frontline health workers in contact tracing, clinical care and public health risk communication. The Organization also delivered over five tonnes of essential medical supplies and equipment.

“The dedication of frontline health workers and the efforts of the national authorities and our partners have paid off,” said Dr Charles Sagoe-Moses, WHO Representative in Tanzania. “While the outbreak has been declared over, we remain vigilant to respond swiftly if any cases are detected and are supporting ongoing efforts to provide psychosocial care to families affected by the outbreak.”

Building on the momentum during the acute phase of the outbreak response, measures have been put in place to reinforce the capacity of local health facilities to respond to potential future outbreaks. WHO and partners are procuring additional laboratory supplies and other equipment for disease detection and surveillance and other critical services.

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Source: allafrica.com

Continue Reading