Kanisa jipya la Anglikana laanzishwa Tanzania

Kanisa jipya la Anglikana laanzishwa Tanzania

Dar es Salaam. Kanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 Kongwa mkoani Dodoma.

Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kutawapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini.

Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana kama ilivyokuwa miaka 60.

Akizungumza na wanahabari, Askofu wa kanisa hilo, Elibariki Kutta amesema kuanzishwa kwa kanisa jipya hakumaaanishi kuwa kanisa la Anglikana limemeguka, bali linatanua wigo kwa waumini kuamua wasimame na imani ipi.

“Anglikana haijameguka. Ni moja, ila uhuru wa wewe unataka kuwa na mtazamo gani au njia ipi katika maono yako,” amesema Kutta.

Amesema kuanzishwa kwa kanisa hilo haimaanishi kuwa wameondoka Anglikana lakini wanajaribu kusimama katika misingi ya kanisa mama la Kianglikana.

“Sisi ndiyo tunataka kushikilia hiyo misingi, tunataka kubaki na kutunza imani iliyo safi ya kanisa la Anglikana na si mpya ni ileile iliyopanda uanglikana tangu kabla ya uhuru hadi mwaka 1965 na si kweli kuwa tunapinga imani iliyopo, bali tunakuza imani hii,” amesema Kutta.

Mbali na hilo, Kutta amesema ujio wa jimbo hilo utasaidia Serikali katika kuboresha utoaji wa huduma za kijamii kupitia sadaka za waumini wanazotoa katika maeneo wanayoabudu.

Amesema kupitia sadaka hiyo waumini watakuwa na uwezo wa kuamua nini wafanye kwa ajili ya kuboresha huduma katika maeneo yao, ikiwemo kuanzisha vituo vya afya na shughuli mbalimbali za kiuchumi.

“Miradi yetu itamilikiwa na watu waliopo katika maeneo hayo, sehemu ambayo kutakuwa na kanisa letu tutahakikisha jamii inafaidika kupitia huduma mbalimbali za kijamii zitakazoanzishwa na wao watakuwa wasimamizi wakuu,” amesema Kutta.

Amesema wao wanaamini kuwa maendeleo ni kwa ajili ya watu na si ya askofu na kufafanua kuwa askofu ni mtumishi wa watu ambaye yupo kama daraja la kuwasaidia.

“Kuwasaidia wananchi kupata maendeleo na si kwa ajili ya maisha yake bora,” amesema.

Mke wa Askofu na mlezi wa umoja wa wanawake wa kanisa hilo, Nora Kutta amesema moja ya mambo wanayofanya ni kuhakikisha wanawake wanakuwa na uwezo wa kujikwamua kiuchumi.

“Kupitia umoja huu tunahakikisha si tu wanasali bali pia wananufaika kiuchumi kwa ajili ya famikia zao,” amesema Norah.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania today declared the end of Marburg virus disease outbreak after recording no new cases over 42 days since the death of the last confirmed case on 28 January 2025.

The outbreak, in which two confirmed and eight probable cases were recorded (all deceased), was the second the country has experienced. Both this outbreak, which was declared on 20 January 2025, and the one in 2023 occurred in the north-eastern Kagera region.

In response to the latest outbreak, Tanzania’s health authorities set up coordination and response systems, with support from World Health Organization (WHO) and partners, at the national and regional levels and reinforced control measures to swiftly detect cases, enhance clinical care, infection prevention as well as strengthen collaboration with communities to raise awareness and help curb further spread of the virus.

Growing expertise in public health emergency response in the African region has been crucial in mounting effective outbreak control measures. Drawing on experience from the response to the 2023 Marburg virus disease outbreak, WHO worked closely with Tanzanian health authorities to rapidly scale up key measures such as disease surveillance and trained more than 1000 frontline health workers in contact tracing, clinical care and public health risk communication. The Organization also delivered over five tonnes of essential medical supplies and equipment.

“The dedication of frontline health workers and the efforts of the national authorities and our partners have paid off,” said Dr Charles Sagoe-Moses, WHO Representative in Tanzania. “While the outbreak has been declared over, we remain vigilant to respond swiftly if any cases are detected and are supporting ongoing efforts to provide psychosocial care to families affected by the outbreak.”

Building on the momentum during the acute phase of the outbreak response, measures have been put in place to reinforce the capacity of local health facilities to respond to potential future outbreaks. WHO and partners are procuring additional laboratory supplies and other equipment for disease detection and surveillance and other critical services.

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Source: allafrica.com

Continue Reading