Kampuni ya Elon Musk kuzindua mtandao Tanzania

Kampuni ya Elon Musk kuzindua mtandao Tanzania

Kwenye tovuti yao rasmi, Starlink ilitangaza mpango wao wa kuleta huduma hizo kati ya mwezi Januari na Machi kulingana na idhini ya udhibiti.

Huduma ya mtandao ya Elon Musk ya Starlink inatarajiwa kupatikana nchini Tanzania katika robo ya kwanza ya 2023, huku wachambuzi wakisema maendeleo hayo mapya yatakuza uchumi wa kidijitali.

Kulingana na gazeti la The Citizen Tanzania, huduma hiyo, ambayo inamilikiwa na Kampuni ya SpaceX, imekuwa ikitoa muunganisho wa intaneti kwa kutumia maelfu ya satelaiti angani ambazo huwasiliana na vipitishio vilivyoteuliwa vya ardhini.

Waliozungumza na The Citizen wanasema kuwa huduma hiyo mpya itachochea tu sekta ya kidijitali iwapo itauzwa kwa bei nafuu na kutoa mtandao wa kasi.

Kwenye tovuti yao rasmi, Starlink ilitangaza mpango wao wa kuleta huduma hizo kati ya mwezi Januari na Machi kulingana na idhini ya udhibiti.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Jabiri Bakari alithibitisha kwa The Citizen kuwa Kampuni ya Starlink ilituma maombi.

Alipoulizwa iwapo anafahamu kuhusu kuwasili kwa Starlink Corporation, Dk Bakari alijibu: “Ndiyo, ninafahamu kuwa kampuni hiyo ilituma maombi kupitia tovuti.

Mataifa pekee ya Kiafrika ambayo hadi sasa yameiruhusu Starlink kufanya kazi ni Nigeria na Msumbiji.

Hii ilifanyika baada ya kupata vibali vya udhibiti kutoka kwa mataifa yote mawili.

Ikiwa Starlink itakuwa na athari kubwa au la itategemea jinsi biashara hiyo inatarajia kutoa huduma kwa haraka na kwa bei nafuu, kulingana na mwanauchumi Abel Kinyondo kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

“Huduma ya mtandao sio anasa bali ni hitaji la msingi. Kasi yake ya juu na uwezo wake wa kumudu inaweza kumaanisha kasi kubwa na upatikanaji wa haraka wa habari,” alisimulia.

Original Media Source

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year’s Most Read News Stories

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’
Top News
Chief Editor

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Monrovia — The Rwanda Minister of State responsible for Health, Dr. Yvan Butera, cautioned that while the country is beginning to see positive signals in its fight against the Marburg virus, the outbreak is “not yet over”. He, however, expressed hope that  “we are headed in that direction”. The minister said the epidemiology trend, since the disease was first discovered in the country more than a month ago, is moving towards fewer cases.

Dr. Butera, who was giving updates during an online briefing yesterday, said in the past two weeks, only two deaths were recorded while 14 people recovered from the disease. He said Rwanda was expanding its testing capacity with 16,000 people already inoculated against the disease.

The priority right now, Butera said, is “rapid testing and detection”.

Marburg is a highly virulent disease transmitted through human-to-human contact or contact with an infected animal. The fatality rate of cases, which has varied over the period, is more than 50%, according to the World Health Organization.  WHO said the highest number of new confirmed cases in Rwanda were reported in the first two weeks of the outbreak. There’s been a “sharp decline” in the last few weeks, with the country now tackling over 60 cases.

At Thursday’s briefing, a senior official of the Africa Centers for Disease Control, Dr. Ngashi Ngongo, said mpox – the other infectious disease outbreak that countries in the region are fighting – was been reported in 19 countries, with Mauritius being the latest country to confirm a case. He said although no new cases have been recorded in recent weeks in several countries where outbreaks occurred previously –  including Cameroon, South Africa, Guinea, and Gabon – Uganda confirmed its first Mpox death. This, he said, is one of two fatalities reported outside Central Africa.

Dr. Ngashi revealed that there was an increase in cases in Liberia and Uganda. He said mpox cases were still on an upward trend.

“The situation is not yet under control.”

Source: allafrica.com

Continue Reading

Zanzibar Commerce
Top News
Investment News Editor

Zanzibar Airports Authority enforces Dnata monopoly

. Airlines that have not joined the Zanzibar Airports Authority’s (ZAA) preferred ground handler, Dnata, at the Abeid Amani Karume International Airport (AAKIA) face eviction from the Terminal Three building Dnata is the sole ground handler authorised to provide services for flights that operate at Terminal 3.Continue Reading