Jeshi la Zimamoto kuajiri watumishi wapya 1,000

Jeshi la Zimamoto kuajiri watumishi wapya 1,000

Jeshi la Zimamoto kuajiri watumishi wapya 1,000

Morogoro. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi, amesema katika bajeti ijayo Serikali imepanga kuajiri watumishi wapya 1,000 wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini.

Mkomi amesema hayo leo Jumatatu, Machi 10, 2025, wakati akifungua kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kilichofanyika mkoani Morogoro.

Pia, amelitaka jeshi hilo kuziwajibisha ofisi zote ambazo hazitakuwa na vifaa vya kuzimia moto, kwani kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria za zimamoto.

Amesema kwenye bajeti ya mwaka 2025/2026 Serikali imepanga kuajiri watumishi 1,000 kwenye Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Pia, amelitaka jeshi hilo kufuata utaratibu wakati wa kufanya mchujo wa kuwapata watumishi wapya na kusisitiza vipimo vifanyike kabla ya kuajiri watumishi wapya.

Mkomi, kwenye hotuba yake, pia amelitaka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini kufanya ukaguzi wa vifaa vya kuzimia moto kwenye ofisi za umma ili kuona kama vinafanya kazi ama vimewekwa kama mapambo.

“Ukaguzi huo uende sambamba na utoaji wa elimu ya kutosha kwa umma kuhusu namna ya kuzuia majanga ya moto na kukabiliana nayo. Kitengo cha mawasiliano kwa umma kiongezewe nguvu, kuna mambo mengi yanayohusu Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ambayo wananchi wanapaswa kujua kupitia kitengo hiki,” amesema Mkomi.

Akitoa taarifa ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Jenerali wa Zimamoto na Uokoaji, John Masunga, amesema katika mwaka wa fedha 2024/2025 jeshi hilo limetenga zaidi ya Sh6.5 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ikiwemo uendelezaji wa ujenzi wa vituo saba vya kuzimia moto na uokoaji katika mikoa ya Songwe, Simiyu, Kagera, Njombe, Manyara, Katavi, na Geita.

Aidha, katika bajeti hiyo wataweza kununua vifaa vya kuzimia moto na uokoaji, pamoja na uchunguzi na ukarabati wa kituo cha kuzimia moto na uokoaji katika Mkoa wa Morogoro na kuendeleza ujenzi wa majengo mawili ya ghorofa kwa ajili ya makazi ya askari Kikombo, jijini Dodoma.

Kamishna Masunga amesema jeshi lina jumla ya vituo 80 vya zimamoto na uokoaji katika mikoa ya Tanzania Bara, ambapo kati ya vituo hivyo, 56 vipo katika ngazi ya wilaya na 24 kwenye viwanja vya ndege.

“Jeshi lina uhitaji wa vituo vipya 237 katika wilaya na maeneo mengine ili kusogeza huduma karibu zaidi na wananchi,” amesema Kamishna Masunga.

Amesema utaratibu wa upatikanaji wa mkopo wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 tayari umesainiwa Februari 15, 2024, kati ya Serikali na Taasisi ya Abu Dhabi Export Office (ADEX) kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Mkopo huo ni kwa ajili ya ununuzi wa vitendeakazi mbalimbali, vikiwemo magari 150 ya kuzima moto na uokoaji, magari 40 ya kubebea wagonjwa, boti 23 za kuzimia moto, na helikopta moja ya kuzimia moto.

Kamishna Masunga ametaja changamoto zinazolikabili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuwa ni pamoja na uhaba wa vifaa na vitendeakazi kwa ajili ya utoaji huduma, uchache wa vituo vya kujazia maji ya kuzimia moto, na ujenzi holela katika maeneo mengi hasa mijini, hali inayosababisha askari kushindwa kufika kwa urahisi wakati wa dharura za moto na majanga mengine.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading

ZAA to audit ground handlers
Popular
Investment News Editor

Zanzibar Airport Authority to audit ground handlers

Unguja. The Zanzibar Airports Authority (ZAA) is set to conduct an audit on ground handling companies that currently operate at the Abeid Amani Karume Airport with effect from Monday. The week-long audit is set to include Transworld, ZAT and the newcomer Dnata Zanzibar who were licensed in June plus exclusive rights to manage Terminal 3 building by ZAA.Continue Reading