Huduma Zimezorota Hospitali Ya Rufaa Mnazi Mmoja Zanzibar

Huduma Zimezorota Hospitali Ya Rufaa Mnazi Mmoja Zanzibar

HUDUMA ZIMEZOROTA HOSPITALI YA RUFAA MNAZI MMOJA ZANZIBAR

Huduma katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Zanzibar zimezidi kuzorota huku wananchi wengi wakilalamikia uongozi wa Hospitali hiyo na watendaji wake.

Wananchi mbalimbali wanaofika katika Hospitali hiyo wanalalamikia kuzorota kwa huduma na kutolewa kwa huduma duni kwa baadhi ya mahitaji pamoja na wagonjwa na wanaokuja ama kutazama wagonjwa au kuwaleta wanatolewa lugha isiyo ya kiungwana.

“Uzembe umekuwa mkubwa katika Hospitali hii, dawa nyingi hakuna, hapa kilichokuepo ni kumuona daktari tu na huyu daktari wakati mwengine humuoni unaambiwa hayupo au kamfuate sehemu fulani na teksi” Alilalamika mmoja wa wananchi aliyempeleka Baba ake mzazi kutibiwa.

Habari zaidi zinaeleza kuwa kumekuwa na tatizo la upatikanaji wa dawa wagonjwa wanaelekezwa wakanunue katika maduka ya kuuza dawa yaliyopo nje ya Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja.

Mama mmoja aliyempeleka mwanae kujifungua akitokea Hospitali ya Makunduchi Mkoa Kusini Unguja alikumbana na kauli mbaya na uzembe kutoka kwa wafanyakazi huku akisubiri kwa saa kadhaa kumuona daktari licha ya kupelekwa hapo akitokea Makunduchi.

Huduma za Lifti katika Hospitali hiyo nazo si za kuridhisha, mara kwa mara wananchi wamelamika kutumia ngazi badala ya Lifti zinakwama na inachukua muda kuzikwamua.

Taarifa zaidi kutoka kwa wagonjwa waliolazwa katika Hospitali hiyo zinasema kwamba wodi wanakolazwa Watoto wenye matatizo mbalimbali, wodi ya watu wazima wanaume na wanawake hazina wavu wa kuzuia mbu.

“Hali ndio kama hivi unavyojionea mwenyewe, saizi ni Magharibi madirisha hayafungi, hakuna wavu wa kuzuia mbu na hapa pana mbu wengi sana unaletwa kwa maradhi mengine unakuja kupata Malaria hapa Hospitali” Alilalamika Mgonjwa Mmoja katika Wodi walioumia miguu.

Aidha, huduma za vyoo katika Hospitali hiyo ni mbaya, hakuna usafi unaozingatiwa wahudumu hawasafishi kwa wakati na inavyostahiki zaidi ya kuondosha njiani.

Baadhi ya huduma katika Hospitali hiyo lazima ue na uenyeji bila ya hivyo itakuchukua muda na hata siku kadhaa kuweza kupata. Mmoja wa wafanyakazi ambaye hakutaka kutaja jina lake alisema wanakabiliwa na changamoto nyingi huku akilaumu uongozi wa Hospitali hiyo kutosikiliza maoni yao wafanyakazi.

kwa muda mrefu sasa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja imekuwa
ikilalamikiwa na watu wengi sana kutokana na huduma ambazo zinatolewa na wahudumu wake baadhi yao, kuwa wanawatolea maneno na kauli mbaya kwa wagonjwa.

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year’s Most Read News Stories

Britam half-year net profit hits Sh2bn on higher investment income
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Britam half-year net profit hits Sh2bn on higher investment income

Insurer and financial services provider Britam posted a 22.5 percent jump in net earnings for the half-year ended June 2024, to Sh2 billion, buoyed by increased investment income.

The rise in half-year net profit from Sh1.64 billion posted in a similar period last year came on the back of net investment income rising 2.5 times to Sh13.27 billion from Sh5.3 billion.

“We are confident in the growth and performance trend that Britam has achieved, supported by its subsidiaries in Kenya and the region. Our business is expanding its revenue base while effectively managing costs,” Britam Chief Executive Officer Tom Gitogo said.

“Our customer-centric approach is fueling growth in our customer base and product uptake, particularly through micro-insurance, partnerships, and digital channels.”

The investment income growth was fueled by interest and dividend income rising 34 percent to Sh9.1 billion, which the insurer attributed to growth in revenue and the gains from the realignment of the group’s investment portfolio.

Britam also booked a Sh3.79 billion gain on financial assets at a fair value, compared with a Sh1.8 billion loss posted in a similar period last year.

The increased investment income helped offset the 12.7 percent decline in net insurance service result to Sh2.13 billion in the wake of claims paid out rising at a faster pace than that of premiums received.

Britam said insurance revenue, which is money from written premiums, increased to Sh17.8 billion from Sh16.6 billion, primarily driven by growth in the Kenya insurance business and regional general insurance businesses, which contributed 30 percent of the revenue.

The group has a presence in seven countries in Africa namely Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, South Sudan, Mozambique, and Malawi.

Britam’s insurance service expense hit Sh13.6 billion from Sh11.3 billion, while net insurance finance expenses rose 2.6 times to Sh12.3 billion during the same period.

“Net insurance finance expenses increased mainly due to growth in interest cost for the deposit administration business driven by better investment performance. This has also been impacted by a decline in the yield curve, which has led to an increase in the insurance contract liabilities. The increase has been offset by a matching increase in fair value gain on assets,” said Britam.

Britam’s growth in profit is in line with that of other Nairobi Securities Exchange-listed insurers, which have seen a rise in profits.

Jubilee Holdings net profit in the six months increased by 22.7 percent to Sh2.5 billion on increased income from insurance, helping the insurer maintain Sh2 per share interim dividend.

CIC Insurance Group posted a 0.64 percent rise in net profit to Sh709.99 million in the same period as net earnings of Liberty Kenya nearly tripled to Sh632 million from Sh213 million, while Sanlam Kenya emerged from a loss to post a Sh282.2 million net profit.

Continue Reading

Muslims in Pemba conduct special prayer against ZAA decision
Popular
Investment News Editor

Muslims in Pemba conduct special prayer against ZAA decision

ZANZIBAR: More than 200 Muslims in Vitongoji Village, South Pemba Region over the weekend conducted a special prayer to condemn the Zanzibar Airports Authority (ZAA) move to appoint DNATA as the sole ground handler in Terminal III of the International Airport of Zanzibar. Abeid Amani Karume.Continue Reading