HUDUMA ZIMEZOROTA HOSPITALI YA RUFAA MNAZI MMOJA ZANZIBAR
Huduma katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Zanzibar zimezidi kuzorota huku wananchi wengi wakilalamikia uongozi wa Hospitali hiyo na watendaji wake.
Wananchi mbalimbali wanaofika katika Hospitali hiyo wanalalamikia kuzorota kwa huduma na kutolewa kwa huduma duni kwa baadhi ya mahitaji pamoja na wagonjwa na wanaokuja ama kutazama wagonjwa au kuwaleta wanatolewa lugha isiyo ya kiungwana.
“Uzembe umekuwa mkubwa katika Hospitali hii, dawa nyingi hakuna, hapa kilichokuepo ni kumuona daktari tu na huyu daktari wakati mwengine humuoni unaambiwa hayupo au kamfuate sehemu fulani na teksi” Alilalamika mmoja wa wananchi aliyempeleka Baba ake mzazi kutibiwa.
Habari zaidi zinaeleza kuwa kumekuwa na tatizo la upatikanaji wa dawa wagonjwa wanaelekezwa wakanunue katika maduka ya kuuza dawa yaliyopo nje ya Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja.
Mama mmoja aliyempeleka mwanae kujifungua akitokea Hospitali ya Makunduchi Mkoa Kusini Unguja alikumbana na kauli mbaya na uzembe kutoka kwa wafanyakazi huku akisubiri kwa saa kadhaa kumuona daktari licha ya kupelekwa hapo akitokea Makunduchi.
Huduma za Lifti katika Hospitali hiyo nazo si za kuridhisha, mara kwa mara wananchi wamelamika kutumia ngazi badala ya Lifti zinakwama na inachukua muda kuzikwamua.
Taarifa zaidi kutoka kwa wagonjwa waliolazwa katika Hospitali hiyo zinasema kwamba wodi wanakolazwa Watoto wenye matatizo mbalimbali, wodi ya watu wazima wanaume na wanawake hazina wavu wa kuzuia mbu.
“Hali ndio kama hivi unavyojionea mwenyewe, saizi ni Magharibi madirisha hayafungi, hakuna wavu wa kuzuia mbu na hapa pana mbu wengi sana unaletwa kwa maradhi mengine unakuja kupata Malaria hapa Hospitali” Alilalamika Mgonjwa Mmoja katika Wodi walioumia miguu.
Aidha, huduma za vyoo katika Hospitali hiyo ni mbaya, hakuna usafi unaozingatiwa wahudumu hawasafishi kwa wakati na inavyostahiki zaidi ya kuondosha njiani.
Baadhi ya huduma katika Hospitali hiyo lazima ue na uenyeji bila ya hivyo itakuchukua muda na hata siku kadhaa kuweza kupata. Mmoja wa wafanyakazi ambaye hakutaka kutaja jina lake alisema wanakabiliwa na changamoto nyingi huku akilaumu uongozi wa Hospitali hiyo kutosikiliza maoni yao wafanyakazi.
kwa muda mrefu sasa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja imekuwa
ikilalamikiwa na watu wengi sana kutokana na huduma ambazo zinatolewa na wahudumu wake baadhi yao, kuwa wanawatolea maneno na kauli mbaya kwa wagonjwa.
Share this news Unguja. The Zanzibar Airports Authority (ZAA) is set to conduct an audit on ground handling companies that currently operate at the Abeid Amani Karume Airport with effect from Monday. The week-long audit is set to include Transworld, ZAT and the newcomer Dnata Zanzibar who were licensed in June plus exclusive rights to manage Terminal 3 building by ZAA.Continue Reading Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus. The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease. While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories. “We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday). “The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district. Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak. Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths. The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases. “We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said. She said her administration immediately investigated the WHO’s alert. “The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added. Cross-border transmission The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024. The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations. Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required. “We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.” The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts. The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever. Transparency urged Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures. Get the latest in African news delivered straight to your inbox “This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said. WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important. “We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised. The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced. This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk. Source: allafrica.com Zanzibar investment lease controversy rumbles on after President Hussein Mwinyi claims the land lease was terminated following a court case which the developer lost Contradictory details come to light.Continue ReadingThis Year’s Most Read News Stories
Zanzibar Airport Authority to audit ground handlers
Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Sign up for free AllAfrica Newsletters
Zanzibar land lease controversy with British Developer