Hisia tofauti uteuzi wa mawaziri, Mkurugenzi wa Uchaguzi

Hisia tofauti uteuzi wa mawaziri, Mkurugenzi wa Uchaguzi

Dar es Salaam. Kufuatia mabadiliko ya baadhi ya viongozi yaliotangazwa leo Februari, 26 ambapo Rais Samia Suluhu Hassan, amewateua na kuwahamisha wizara baadhi ya  mawaziri na naibu mawaziri, wakuu wa mikoa, makatibu na naibu makatibu wakuu pamoja na kumteua Mkurugenzi wa Uchaguzi wadau mbalimbali wametoa maoni yao juu ya mabadiliko hayo.

Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa Chama cha wananchi CUF, Mohamed Ngulangwa amesema ni jambo la Kawaida kwa Rais kuteua na kutengua na kuhusu Tume ya Uchaguzi, wenyewe kama chama cha Wananchi CUF wanasubiri Tume huru itakayosimamia Uchaguzi Mkuu na Uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Vilevile amesema mabadiliko yoyote yatakayofanyika katika muundo wa Tume ya Uchaguzi iliyopo sasa hayawezi kuwa na tija kwenye demokrasia.

Victoria Mwanziva ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Ludewa katika maoni yake ya mtandao wa Twitter amesema anawatakia kazi njema wote viongozi wote waliochaguliwa huku akiwataka waweke mbele maslahi ya Taifa.

“Kila la Kheri viongozi wetu, tunazidi kuwaombea na kuwatakia Kheri katika utumishi wenu kwa Taifa letu, Tanzania.” Amesema Mwanziva.

Kwa upande wake Askofu William Mwamalanga ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya kitaifa ya Maaskofu na Mashekhe ya maadili, amani na haki za binadamu kwa jamii ya madhehebu ya dini nchini amesema uteuzi wa leo umetiwa doa kwa kuteuliwa  kwa Mawaziri na Manaibu ambao wizara   walizotoka hawakufanya vizuri.

“Tukichukulia kwa mfano wizara ya Ardhi, Elimu, Afya na kilimo ni muhimu kuleta sura za kazi zaidi watu wanaothubutu badala ya kuwapa watu uwaziri, ukatibu mkuu na ukuu wa mkoa kwa kisiasa, hatuwezi kuingia kwenye hatua za kweli za kimaendeleo” amesema Mwamalanga.   

Yohana Msita kutoka Twitter amewahasa viongozi hao kwa kuwataka kuchapa kazi ili kuendana na ndoto za Rais.

“Nendeni mkapambane kutimiza ndoto za Rais Samia” amesema Msita.

John Pambalu mwenyekiti wa Baraza la vijana Chadema (Bavicha) amesema bado kuna haja ya kuwa na katiba mpya kwa ajili ya kupunguza mamlaka makubwa anayopewa Rais katika kufanya uteuzi.

“Katika madai ya Katiba, moja kati ya jambo linalopigiwa kelele na wadau wote wa demokrasia na utawala bora, ni mamlaka makubwa ya Rais kuteua watu bila ya kuwa na vyombo vya kisheria vilivyopewa mamlaka ya kumbana ili achague watu ambao wamekidhi vigezo na matarajio chanya ya walio wengi,”amesema.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania today declared the end of Marburg virus disease outbreak after recording no new cases over 42 days since the death of the last confirmed case on 28 January 2025.

The outbreak, in which two confirmed and eight probable cases were recorded (all deceased), was the second the country has experienced. Both this outbreak, which was declared on 20 January 2025, and the one in 2023 occurred in the north-eastern Kagera region.

In response to the latest outbreak, Tanzania’s health authorities set up coordination and response systems, with support from World Health Organization (WHO) and partners, at the national and regional levels and reinforced control measures to swiftly detect cases, enhance clinical care, infection prevention as well as strengthen collaboration with communities to raise awareness and help curb further spread of the virus.

Growing expertise in public health emergency response in the African region has been crucial in mounting effective outbreak control measures. Drawing on experience from the response to the 2023 Marburg virus disease outbreak, WHO worked closely with Tanzanian health authorities to rapidly scale up key measures such as disease surveillance and trained more than 1000 frontline health workers in contact tracing, clinical care and public health risk communication. The Organization also delivered over five tonnes of essential medical supplies and equipment.

“The dedication of frontline health workers and the efforts of the national authorities and our partners have paid off,” said Dr Charles Sagoe-Moses, WHO Representative in Tanzania. “While the outbreak has been declared over, we remain vigilant to respond swiftly if any cases are detected and are supporting ongoing efforts to provide psychosocial care to families affected by the outbreak.”

Building on the momentum during the acute phase of the outbreak response, measures have been put in place to reinforce the capacity of local health facilities to respond to potential future outbreaks. WHO and partners are procuring additional laboratory supplies and other equipment for disease detection and surveillance and other critical services.

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Source: allafrica.com

Continue Reading

High Court rejects Transworld’s application
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

High Court rejects Transworld’s application

The High Court in Dar es Salaam has struck out an application in which Transworld Aviation, a ground handler at the Abeid Aman Karume International Airport (AAKIA) was seeking permission to sue the Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).Continue Reading