Fukwe Zanzibar zatengewa Sh661 milioni

Fukwe Zanzibar zatengewa Sh661 milioni

Dodoma. Katika mwaka wa fedha 2024/25 Serikali imetenga Sh661 milioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya ujenzi wa fukwe zilizoathirika na mabadiliko ya tabianchi upande wa Zanzibar.

 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Khamis Hamza Khamis amesema hayo leo Jumanne  Mei 14, 2024 alipojibu swali la mbunge wa Baraza la Wawakilishi, Suleiman Haroub Suleiman.

Mbunge huyo alihoji Serikali ina mpango gani wa kutengeneza fukwe za bahari zilizoathirika upande wa Zanzibar.

Naibu Waziri Khamis amesema kwa mwaka wa fedha 2024/25, Serikali imepanga kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo kwa ajili ya ujenzi wa fukwe zilizoathirika kwa upande wa Zanzibar.

Amesema Sh661 milioni zimetengwa kwa ajili ya miradi hiyo na kuwa kati ya fedha hizo, Sh300 milioni zitatumika kukamilisha ujenzi wa matuta ya kuzuia maji ya bahari kuingia sehemu ya mashamba ya mpunga katika Shehia ya Kwa mgogo, Kusini Pemba katika ufukwe wa Sipwese.

“Sh361 milioni ni kwa ajili ya kufanya tathmini katika eneo la Nungwi ili kusanifu namna bora ya kudhibiti uharibifu unaoendelea,” amesema.

Katika swali la nyongeza, Suleiman amehoji Serikali ina mpango gani wa kwenda kurekebisha fukwe zilizoathirika na mabadiliko ya tabianchi.

Pia, amesema kuna fukwe zina takataka nyingi, akihoji Serikali ina mpango gani wa kuzidhibiti.

Naibu Waziri, Khamis amesema zipo hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na Serikali ya Jamhuri ya Muungano katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

Amesema hatua hizo ni kuanzisha miradi inayoenda kutatua changamoto ya mabadiliko ya tabianchi, kutoa elimu na kuchukua hatua kuona namna wanavyoweza kushurutisha wananchi kuepukana na mambo yanayoweza kusababisha athari.

Amesema tayari hatua kadhaa ikiwamo ya kufanya usafi katika maeneo ya mji wa Zanzibar ili kuondoa takataka, zimechukuliwa.

Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amesema kwa sababu ya mvua kubwa zilizonyesha baadhi ya mito imepanuka kufikia mita 300.

Kutokana na hilo, amehoji licha ya kutolewa fedha, waziri ana mpango gani wa kuongozana naye kwenda kuangalia athari za mito hiyo?

Khamis amesema yuko tayari kuambatana na mbunge huyo kwenda kuangalia athari na kuwasaidia wananchi.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Karume faults lease of Zanzibar Islets
Tanzania Foreign Investment News
Investment News Editor

Karume faults lease of Zanzibar Islets

Diplomat Ali Karume has faulted the decision by the revolutionary government of Zanzibar to lease the islets that surround the islands of Unguja and Pemba to private developers saying it was absolutely not in Zanzibar’s national interests.Continue Reading

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Air Tanzania Banned From EU Airspace Due to Safety Concerns

Several airports have since locked Air Tanzania, dealing a severe blow to the Tanzanian national carrier that must now work overtime to regain its certification or go the wet lease way

The European Commission has announced the inclusion of Air Tanzania on the EU Air Safety List, effectively banning the airline from operating in European airspace.

The decision, made public on December 16, 2024, is based on safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA), which also led to the denial of Air Tanzania’s application for a Third Country Operator (TCO) authorisation.

The Commission did not go into the specifics of the safety infringement but industry experts suggest it is possible that the airline could have flown its Airbus A220 well past its scheduled major checks, thus violating the airworthiness directives.

“The decision to include Air Tanzania in the EU Air Safety List underscores our unwavering commitment to ensuring the highest safety standards for passengers in Europe and worldwide,” said Apostolos Tzitzikostas, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism.

“We strongly urge Air Tanzania to take swift and decisive action to address these safety issues. I have offered the Commission’s assistance to the Tanzanian authorities in enhancing Air Tanzania’s safety performance and achieving full compliance with international aviation standards.”

Air Tanzania has a mixed fleet of modern aircraft types including Boeing 787s, 737 Max jets, and Airbus A220s.

It has been flying the B787 Dreamliner to European destinations like Frankfurt in Germany and Athens in Greece and was looking to add London to its growing list with the A220.

But the ban not only scuppers the London dream but also has seen immediate ripple effect, with several airports – including regional like Kigali and continental – locking out Air Tanzania.

Tanzania operates KLM alongside the national carrier.

The European Commission said Air Tanzania may be permitted to exercise traffic rights by using wet-leased aircraft of an air carrier which is not subject to an operating ban, provided that the relevant safety standards are complied with.

A wet lease is where an airline pays to use an aircraft with a crew, fuel, and insurance all provided by the leasing company at a fee.

Two more to the list

The EU Air Safety List, maintained to ensure passenger safety, is updated periodically based on recommendations from the EU Air Safety Committee.

The latest revision, which followed a meeting of aviation safety experts in Brussels from November 19 to 21, 2024, now includes 129 airlines.

Of these, 100 are certified in 15 states where aviation oversight is deemed insufficient, and 29 are individual airlines with significant safety deficiencies.

Alongside Air Tanzania, other banned carriers include Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), and Iran Aseman Airlines (Iran).

Commenting on the broader implications of the list, Tzitzikostas stated, “Our priority remains the safety of every traveler who relies on air transport. We urge all affected airlines to take these bans seriously and work collaboratively with international bodies to resolve the identified issues.”

In a positive development, Pakistan International Airlines (PIA) has been cleared to resume operations in the EU following a four-year suspension. The ban, which began in 2020, was lifted after substantial improvements in safety performance and oversight by PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA).

“Since the TCO Authorisation was suspended, PIA and PCAA have made remarkable progress in enhancing safety standards,” noted Tzitzikostas. “This demonstrates that safety issues can be resolved through determination and cooperation.”

Another Pakistani airline, Airblue Limited, has also received EASA’s TCO authorisation.

Decisions to include or exclude airlines from the EU Air Safety List are based on rigorous evaluations of international safety standards, particularly those established by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

The process involves thorough review and consultation among EU Member State aviation safety experts, with oversight from the European Commission and support from EASA.

“Where an airline currently on the list believes it complies with the required safety standards, it can request a reassessment,” explained Tzitzikostas. “Our goal is not to penalize but to ensure safety compliance globally.”

Airlines listed on the EU Air Safety List face significant challenges to their international operations, as the bans highlight shortcomings in safety oversight by their home regulatory authorities.

For Air Tanzania, this inclusion signals an urgent need for reform within Tanzania’s aviation sector to address these deficiencies and align with global standards.

The path forward will require immediate and sustained efforts to rectify safety concerns and regain access to one of the world’s most critical aviation markets.

Source: allafrica.com

Continue Reading