Dk Biteko: Rais Samia kawapaisha wanawake sekta ya madini

Dk Biteko: Rais Samia kawapaisha wanawake sekta ya madini

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kufungua fursa za kuwawezesha wananchi kiuchumi ikiwa ni pamoja na kutilia mkazo ushirikishaji wa wanawake katika uchimbaji wa madini wenye tija.

Dk Biteko amesema  hayo jijini Dar es Salaam juzi aliposhiriki kongamano maalumu kuelekea maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa  Machi 8, 2025.

Amesema kwa sasa kuna ongezeko kubwa la wanawake wanaoshiriki kwenye sekta ya madini ambayo kwa muda mrefu imeendelea kutawaliwa na wanaume.

Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, watu 6,030,575 wanajihusisha na shughuli mbalimbali za mnyororo wa thamani katika sekta ya madini na kati yao, wanawake ni 3,094,647 sawa na asilimia 51.3 ya watu wote wanaojihusisha na uchimbaji mdogo wa madini hususan katika sekta ndogo ya uziduaji.

Aidha, kati ya wachimbaji wadogo milioni 1.5, asilimia 27 kati yao wachimbaji hao ni wanawake.

“Katika kukuza ushiriki wa wanawake katika sekta hiyo, Rais Samia anasisitiza kutoa kipaumbele kwa wanawake kushiriki shughuli zote za kiuchumi kwa kuwapatia  fursa za elimu na kumiliki rasilimali zilizopo kama kupata elimu, mikopo yenye masharti nafuu na kupata vifaa na vitendea kazi na kushiriki katika vikao mbalimbali vya maamuzi,” amesema Dk Biteko.

Amesema ushiriki wa wanawake katika sekta ya madini, ni msingi muhimu wa kukuza mnyororo wa thamani ndani ya jamii.

 “Kutambua na kuthamini mchango wao, kunachangia maendeleo endelevu katika sekta hiyo,”amesema Dk Biteko.

Pia, amesema Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wanawake kushiriki kikamilifu kupitia utekelezaji wa sera, sheria na taratibu mbalimbali.

Kupitia Sera ya Taifa ya Jinsia na Maendeleo ya Wanawake (2023) na Sheria ya Madini (2017), pamoja na kanuni za ‘Local Content,’ Serikali inahakikisha wanawake wanapata fursa na rasilimali zinazowawezesha kushiriki kikamilifu sekta ya madini.

 Amesema hatua za uwezeshaji wa kifedha na kitaaluma zinaendelea kutekelezwa kupitia taasisi za Serikali na wadau ikiwamo Kamisheni ya Madini Tanzania na Umoja wa Wachimba Madini Wanawake Tanzania (Tawoma).

Katika hafla hiyo, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amewapongeza waandaaji wa mkutano huo kwa juhudi zao za kuendeleza ushiriki wa wanawake katika sekta ya uziduaji.

“Nimshukuru Rais Samia kwa juhudi zake za ushawishi wa kutaka mabadiliko ya Sheria ya Madini (2017), ambayo imeongeza ushiriki wa wanawake katika sekta ya madini,” amesema Mavunde.

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mwanaidi Ali Khamis amesema maono ya Rais Samia ya kuunda taasisi inayoshughulikia masuala ya wanawake moja kwa moja ni hatua muhimu katika kuwawezesha wanawake, hasa  wanaofanya kazi katika sekta ya madini.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease

Dodoma — Tanzania today confirmed an outbreak of Marburg virus disease in the northwestern Kagera region after one case tested positive for the virus following investigations and laboratory analysis of suspected cases of the disease.

President of the Republic of Tanzania, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, made the announcement during a press briefing alongside World Health Organization (WHO) Director-General, Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, in the country’s administrative capital Dodoma.

“Laboratory tests conducted in Kabaile Mobile Laboratory in Kagera and later confirmed in Dar es Salaam identified one patient as being infected with the Marburg virus. Fortunately, the remaining suspected patients tested negative,” the president said. “We have demonstrated in the past our ability to contain a similar outbreak and are determined to do the same this time around.”

A total of 25 suspected cases have been reported as of 20 January 2025, all of whom have tested negative and are currently under close follow-up, the president said. The cases have been reported in Biharamulo and Muleba districts in Kagera.

“We have resolved to reassure the general public in Tanzania and the international community as a whole of our collective determination to address the global health challenges, including the Marburg virus disease,” said H.E President Hassan.

WHO is supporting Tanzanian health authorities to enhance key outbreak control measures including disease surveillance, testing, treatment, infection prevention and control, case management, as well as increasing public awareness among communities to prevent further spread of the virus.

“WHO, working with its partners, is committed to supporting the government of Tanzania to bring the outbreak under control as soon as possible, and to build a healthier, safer, fairer future for all the people of Tanzania,” said Dr Tedros. “Now is a time for collaboration, and commitment, to protecting the health of all people in Tanzania, and the region, from the risks posed by this disease.”

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

“The declaration by the president and the measures being taken by the government are crucial in addressing the threat of this disease at the local and national levels as well as preventing potential cross-border spread,” said Dr Matshidiso Moeti, WHO Regional Director for Africa. “Our priority is to support the government to rapidly scale up measures to effectively respond to this outbreak and safeguard the health of the population,”

Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in March 2023 – the country’s first – in Kagera region, in which a total of nine cases (eight confirmed and one probable) and six deaths were reported, with a case fatality ratio of 67%.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Marburg virus is transmitted to people from fruit bats and spreads among humans through direct contact with the bodily fluids of infected people, surfaces and materials. Although several promising candidate medical countermeasures are currently undergoing clinical trials, there is no licensed treatment or vaccine for effective management or prevention of Marburg virus disease. However, early access to treatment and supportive care – rehydration with oral or intravenous fluids – and treatment of specific symptoms, improve survival.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania Declares End of Marburg Virus Disease Outbreak

Tanzania today declared the end of Marburg virus disease outbreak after recording no new cases over 42 days since the death of the last confirmed case on 28 January 2025.

The outbreak, in which two confirmed and eight probable cases were recorded (all deceased), was the second the country has experienced. Both this outbreak, which was declared on 20 January 2025, and the one in 2023 occurred in the north-eastern Kagera region.

In response to the latest outbreak, Tanzania’s health authorities set up coordination and response systems, with support from World Health Organization (WHO) and partners, at the national and regional levels and reinforced control measures to swiftly detect cases, enhance clinical care, infection prevention as well as strengthen collaboration with communities to raise awareness and help curb further spread of the virus.

Growing expertise in public health emergency response in the African region has been crucial in mounting effective outbreak control measures. Drawing on experience from the response to the 2023 Marburg virus disease outbreak, WHO worked closely with Tanzanian health authorities to rapidly scale up key measures such as disease surveillance and trained more than 1000 frontline health workers in contact tracing, clinical care and public health risk communication. The Organization also delivered over five tonnes of essential medical supplies and equipment.

“The dedication of frontline health workers and the efforts of the national authorities and our partners have paid off,” said Dr Charles Sagoe-Moses, WHO Representative in Tanzania. “While the outbreak has been declared over, we remain vigilant to respond swiftly if any cases are detected and are supporting ongoing efforts to provide psychosocial care to families affected by the outbreak.”

Building on the momentum during the acute phase of the outbreak response, measures have been put in place to reinforce the capacity of local health facilities to respond to potential future outbreaks. WHO and partners are procuring additional laboratory supplies and other equipment for disease detection and surveillance and other critical services.

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Source: allafrica.com

Continue Reading