Dakika saba za Kamala Harris Makumbusho ya Taifa

Dakika saba za Kamala Harris Makumbusho ya Taifa

Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Haris ametembelea Makumbusho ya Taifa leo Alhamisi Machi 30, 2023 na kuweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu ya mabomu yaliyolipuka kwenye balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya mwaka 1998.

Kamala ametembelea mnara huo wa kumbukumbu ambao upo katika Makumbusho ya Taifa ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tatu nchini Tanzania.

Kabla ya kuwasili kwake, ulinzi uliimarishwa kwenye eneo hilo kukiwa na watu wachache walioshuhudia tukio hilo wakiwemo maofisa wa ubalozi wa Marekani.

Saa 9: 34 alasiri Kamala aliwasili katika viwanja vya Makumbusho na kupokelewa na waliokuwa na wafanyakazi wa ubalozi wa Marekani wakati mlipuko unatokea wakiongozwa na aliyekuwa balozi Charles Stith.

Baada ya kusalimiana na wafanyakazi hao wa zamani wa ubalozi moja kwa moja Kamala alielekea eneo ulipo mnara na kuweka shada la maua kisha kuwaombea kwa dakika moja kabla ya kuondoka.

Kamala ambaye aliwasili nchini jana saa 5:05 usiku, leo alianza kwa mazungumzo na mwenyeji wake Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu jijini Dar es Salaam.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania: Exim to Raise Fund for Mental Health Facilities Upgrades
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania: Exim to Raise Fund for Mental Health Facilities Upgrades

Tanzania: Exim to Raise Fund for Mental Health Facilities Upgrades

EXIM Bank to raise 300m/- over the next three years for financing essential services and infrastructure upgrades in mental health facilities.

The bank’s Head of Marketing and Communications Stanley Kafu unveiled this when introducing Exim Bima Festival 2024 as a platform for bringing together individuals, organisations and various sectors for raising the funds.

“Exim’s initiative aligns with the government’s broader goals to ensure that every citizen has access to quality healthcare, including mental health services,” he said.

The initiative, which is one of the events for celebrating the bank’s 27th anniversary is scheduled for Wednesday this week in Dar es Salaam.

Mr Kafu highlights that this year’s festival is not only about raising awareness of the importance of insurance in the society but also focuses on enhancing access to mental health services and improving the overall well-being of the nation.

Statistics from the Ministry of Health shows a staggering 82 per cent increase in mental health cases over the past decade.

Mental cases have risen from 386,358 in 2012 to 2,102,726 in 2021, making the need for mental health services more urgent than ever.

ALSO READ: NBC’s Saving Campaign Empowers Customers Nationwide

Unfortunately, the country’s ability to address this growing challenge is hindered by a shortage of mental health professionals, infrastructure, medical equipment and essential medication.

For example, out of the 28 regions in the country, only five have facilities that provide adequate mental health services.

The most affected group is the youth aged 15 to 39, who represent the nation’s workforce, underscoring the need for intensified efforts to safeguard this generation for Tanzania’s future well-being and development.

Mr Kafu said by improving mental health services, Exim aims to contribute to the creation of a network of communities that can access care quickly and affordably.

Exim Insurance Department Manager Tike Mwakyoma said they are appreciating the support from partners in the insurance industry, who have stood by them since the last festival.

“Let’s continue this unity for the development of all Tanzanians and our nation as a whole,” the manager said.

Source: allafrica.com

Continue Reading