Utitiri wa Wachina kila kona ni fursa au janga
Kwa mujibu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), hadi Februari 2024, China imeshasajili miradi 1,274 yenye thamani ya Dola 11.4 bilioni, ikilenga kuzalisha ajira 149,759, ikiwa ni matunda ya ushirikiano wake na Tanzania.Continue Reading